Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lissu achambua ubovu wa Katiba

MWANASHERIA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lisu, ameendelea kuiponda Katiba iliyopendekezwa akidai kuwa ni ya kisanii na haijawahi kutokea duniani. Akituhubia maelfu ya wananchi waliofurika kwenye viwanja...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND AANIKA SABABU 5 ZA KUMPENDA ZARI, ACHAMBUA UBOVU WA WEMA, PENNY NA JOKATE

Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa na mwanamama anayekimbiza Uganda, Zarinah Hassan a.k.a Zari au The Boss Lady.Mapenzi bhana! Baada ya kutoka kimalavu na kumwagana na mwanadada mwenye mvuto Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kisha kuangukia kwenye ‘utamu’ wa penzi la mwanamama anayekimbiza Uganda, Zarinah Hassan a.k.a Zari au The Boss Lady, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameamua kuanika siri tano za kilichomvutia kwa staa huyo gumzo Afrika Mashariki.Akizungumza katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Kenya na ubovu wa upinzani, Katiba na tatizo la usalama

Tangu wiki iliyopita, Bunge la Kenya limeendelea kujadili muswada wa mabadiliko ya Sheria (Security Laws Amendment Bill 2014) ambao ulitarajiwa kuleta mabadiliko makubwa katika mustakabali mzima wa usalama wa nchi.

 

10 years ago

Mwananchi

KATIBA: Kura ya Maoni hakuna-Lissu

>Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu amesema Kura ya Maoni kwa ajili ya kupitisha Katiba Inayopendekezwa haitaendeshwa bila kuifanyia marekebisho sheria inayoongoza mchakato huo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lissu: Wajumbe wa Bunge la Katiba hawana sifa

MBUNGE wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, amesema wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba walioteuliwa hivi karibuni wengi wao hawana sifa ya kuingia katika bunge hilo. Akizungumza na Tanzania Daima kwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Lissu: Marehemu amepiga kura Katiba ya Sitta

MWANASHERIA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amesema mchakato wa kutengeneza katiba mpya ni wa kihistoria kwani jina la marehemu lilipiga kura. Akifafanua kauli hiyo alisema jina...

 

11 years ago

Mwananchi

KATIBA MPYA: Wassira, Lipumba, Lissu ‘wanyukana’

>Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Uhusiano na Uratibu, Stephen Wassira akiwakilisha CCM, Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu na Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, jana walitoana jasho katika mdahalo wa Katiba ulioandaliwa na East African Business and Media Institute.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Lissu: Katiba ya wananchi haiwezi kupitishwa kwa mitutu ya bunduki

MWANASHERIA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), Tundu Lissu, amesema Katiba ya Wananchi haiwezi kupitishwa chini ya ulinzi mkali wa vikosi vya ulinzi na usalama vyenye mitutu ya bunduki,...

 

5 years ago

Michuzi

WADHAMINI WA LISSU WAOMBA AMRI ITOLEWE YA KUMKAMATA KWA LISSU

WADHAMINI wa aliyekuwa mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu, Ibrahim Ahmed na Robart Katula wamefungua maombi  katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakiomba itolewe amri ya kukamatwa kwa mshtakiwa huyo kwa kuwa wao wameshindwa kumpata.
Madai hayo yamewasilishwa leo Februari 20, 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba wakati kesi dhidi ya Lissu ilipopangwa kwa ajili ya kutajwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam.
Mapema wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yajitetea ubovu miundombinu

Wizara ya Ujenzi imesema kuwa asilimia kubwa ya miundombinu iliyoharibiwa na mafuriko haikujengwa chini ya kiwango kama inavyodaiwa, bali ni matokeo ya uharibifu wa mazingira.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani