Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lissu: Marehemu amepiga kura Katiba ya Sitta

MWANASHERIA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amesema mchakato wa kutengeneza katiba mpya ni wa kihistoria kwani jina la marehemu lilipiga kura. Akifafanua kauli hiyo alisema jina...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

KATIBA: Kura ya Maoni hakuna-Lissu

>Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu amesema Kura ya Maoni kwa ajili ya kupitisha Katiba Inayopendekezwa haitaendeshwa bila kuifanyia marekebisho sheria inayoongoza mchakato huo.

 

11 years ago

Mwananchi

Lissu amkubali Sitta

>Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema) amesema ameupokea kwa furaha, uteuzi na uamuzi wa Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta wa kugombea Uenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba.

 

11 years ago

TheCitizen

Lissu now puts Sitta on notice

A Constituent Assembly (CA) member vowed here on Monday that the opposition bench would never sit back and watch the assembly’s Standing Orders being violated.

 

11 years ago

Mwananchi

Tundu Lissu: Sitta ananitonesha vidonda

>Mjumbe wa Kamati ya Kanuni za Bunge Maalumu la Katiba, Tundu Lissu amesema ktendo cha Mwenyekiti wa Bunge la Katiba kubadilisha kanuni kwa kutoa muda zaidi wa kuwasilishwa kwa rasimu ya katiba, kinamkera.

 

11 years ago

Mwananchi

KURA YA NDIYO: Lissu: Arfi ni mpinzani jina

>Mwanasheria  wa Chadema, Tundu Lissu amesema kitendo cha makamu mwenyekiti wa zamani wa chama hicho, Said Arfi kupiga kura ya ‘ndiyo’ kuunga mkono Bajeti ya Serikali kimedhihirisha kuwa mbunge huyo sasa ni mpinzani jina.

 

10 years ago

Michuzi

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta awaahidi walemavu kutendewa haki katika Katiba Mpya


MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel  Sitta amewahakikishia Watu wenye Ulemavu nchini kuwa wanatendewa haki katika Katiba Mpya itakayopatikana.


Mhe. Sitta ameyasema hayo leo Septemba Mosi, 2014 katika mkutano wake na baadhi ya viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA) ambalo lilikuja katika Bunge Maalum kwa lengo la kuwasilisha hoja zenye msisitizo kuhusu haki za watu wenye ulemavu katika mchakato Katiba Mpya.


Mhe. Sitta amesema kuwa kazi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Lissu achambua ubovu wa Katiba

MWANASHERIA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lisu, ameendelea kuiponda Katiba iliyopendekezwa akidai kuwa ni ya kisanii na haijawahi kutokea duniani. Akituhubia maelfu ya wananchi waliofurika kwenye viwanja...

 

5 years ago

Michuzi

WALEMAVU WAMKARIBISHA RASMI TUNDU LISSU WAMWAMBIA KURA ZAO ZOTE KWA JPM

 Mwenyekiti wa Jumuiya ya Walemavu kupitiaChama Cha Mapinduzi(CCM)Peter Sarungi(kushoto) akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 21 ,2020 jijini Dar es Salaam kuhusu tamko lao kuelekea uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 25 mwaka huu.Kulia ni Katibu Mkuu wa jumuiya hiyo John Mlabu.  Kulia ni Katibu Mkuu wa jumuiya hiyo John Mlabu(kulia) akifafanua jambo wakati wa mkutano huo.Kushoto ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Walemavu kupitiaChama Cha Mapinduzi(CCM)Peter Sarungi.  Mwenyekiti wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani