Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lissu: Katiba ya wananchi haiwezi kupitishwa kwa mitutu ya bunduki

MWANASHERIA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), Tundu Lissu, amesema Katiba ya Wananchi haiwezi kupitishwa chini ya ulinzi mkali wa vikosi vya ulinzi na usalama vyenye mitutu ya bunduki,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Katiba Inayopendekezwa haiwezi kuleta mabadiliko kwa Watanzania

Rasimu iliyopitishwa na Bunge Maalumu la Katiba mjini Dodoma, ni kielelezo cha wazi cha ukweli huu kwamba ujinga ni mtaji mkubwa wa kisiasa unaotumiwa na chama tawala kwa wananchi wasiojitambua.

 

5 years ago

Michuzi

WADHAMINI WA LISSU WAOMBA AMRI ITOLEWE YA KUMKAMATA KWA LISSU

WADHAMINI wa aliyekuwa mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu, Ibrahim Ahmed na Robart Katula wamefungua maombi  katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakiomba itolewe amri ya kukamatwa kwa mshtakiwa huyo kwa kuwa wao wameshindwa kumpata.
Madai hayo yamewasilishwa leo Februari 20, 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba wakati kesi dhidi ya Lissu ilipopangwa kwa ajili ya kutajwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam.
Mapema wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo...

 

11 years ago

Mwananchi

Ukawa: CCM haiwezi kuleta Katiba Mpya

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) nje ya Bunge umesema hatima ya kupata Katiba Mpya utaamuliwa na wananchi na wala siyo chama tawala.

 

10 years ago

Mwananchi

Mvua yasababisha Bajeti ya Elimu kupitishwa kwa kulipuliwa

>Licha ya kuwa na upungufu kadhaa uliobainika, Kamati ya Huduma za Jamii imepitisha bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ya 2015/16, tayari kwenda kuwasilishwa bungeni kwenye Bunge la Bajeti linalotarajiwa kuanza Mei, 12.

 

11 years ago

Habarileo

Kinana- Wananchi mpuuzeni Tundu Lissu

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimekemea vitendo vya baadhi ya wabunge kuwakataza wananchi kuchangia miradi mbalimbali ya maendeleo katika maeneo yao kwani tabia hiyo inadhoofisha juhudi za Serikali kupambana na umasikini.

 

10 years ago

GPL

LISSU: MARUFUKU WANANCHI KUNYANYASWA KISA MICHANGO

Singida Mashariki ni moja kati ya majimbo ya uchaguzi yaliyopo Wilaya ya Singida Vijijini mkoani Singida, likiongozwa na Mheshimiwa Tundu Antipas Lissu kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Awali, jimbo hilo lilikuwa likijulikana kama Singida Kusini kabla ya kugawanywa mwaka 2010 na kupata majimbo mawili, Singida Mashariki na Singida Magharibi. Mheshimiwa Tundu Antipas Lissu kwa tiketi ya Chama cha...

 

10 years ago

GPL

MKOA WA DODOMA UMEPOKEA NAKALA 61,290 ZA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KWA AJILI YA KUZIGAWA KWA WANANCHI

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya mapokezi ya nakala za katiba inayopendekezwa na maendeleo ya usambazaji wake kwa wananchi Mkoani Dodoma mapema leo. Waandishi wa Habari wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Dodoma (hayupo pichani) wakati akiwasilisha taarifa ya mapokezi na usabazaji kwa wananchi wa Nakala za… ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Lissu achambua ubovu wa Katiba

MWANASHERIA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lisu, ameendelea kuiponda Katiba iliyopendekezwa akidai kuwa ni ya kisanii na haijawahi kutokea duniani. Akituhubia maelfu ya wananchi waliofurika kwenye viwanja...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Katiba ya wananchi itapatikana kwa mapambano!

RAIS wangu, huko nyuma tuliandika kwa nia njema kuwa kilichoingia kwa hila, kitaondoka kwa hila! Tukaandika tena kuwa katiba ya wananchi itapatikana kwa mapambano! Tuliwahi kuyaandika haya haya hata nyuma...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani