Katiba ya wananchi itapatikana kwa mapambano!
RAIS wangu, huko nyuma tuliandika kwa nia njema kuwa kilichoingia kwa hila, kitaondoka kwa hila! Tukaandika tena kuwa katiba ya wananchi itapatikana kwa mapambano! Tuliwahi kuyaandika haya haya hata nyuma...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi16 Mar
Katiba itapatikana kwa maridhiano
11 years ago
Mwananchi12 Mar
Mbatia: Katiba itapatikana kwa maridhiano
10 years ago
Mwananchi17 Sep
Katiba itapatikana kwa maridhiano, siyo takwimu
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Katiba sasa itapatikana kwa kutumia vyombo vya dola?
EEEEEH! Eti hivi ndivyo Katiba tarajiwa italindwa? Haya ndiyo maridhiano katika kuandika katiba mpya? Polisi, virungu na mbwa ndio mjadala wa kukamilisha katiba mpya enyi wanadamu? Kama Katiba ni ya...
11 years ago
Habarileo09 Aug
‘Katiba mpya itapatikana tu’
MJUMBE wa Bunge la Katiba, Abdallah Bulembo amesema ni hisia tu watu wanazitengeneza kuhusu kupatikana au kutopatikana kwa theluthi mbili kutakakowezesha kupata katiba mpya.
11 years ago
Habarileo05 Aug
JK aamini Katiba mpya itapatikana
WAKATI Bunge Maalumu la Katiba likitarajiwa kuanza leo, huku mjadala mkali kuhusu mchakato wa Katiba mpya ukiendelea katika makongamano mbali mbali, Rais Jakaya Kikwete amesema ana matumaini baada ya mjadala na changamoto, Katiba mpya itapatikana.
11 years ago
Habarileo16 Jul
Chadema: Katiba mpya itapatikana
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema Katiba mpya ya Tanzania itapatikana na kusisitiza kuwa suala la kundi la wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba linalounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kurejea bungeni, linategemea utekelezaji wa masharti yao.
11 years ago
Tanzania Daima04 May
Ngeleja: Katiba mpya itapatikana
MCHAKATO wa uundwaji wa katiba mpya katika siku za hivi karibuni umepata mtikisiko mkubwa baada ya baadhi ya wajumbe wanaounda Bunge Maalumu la Katiba kuamua kususia mchakato huo. Wajumbe hao...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xblQYeTELv8/XqcrZwO73OI/AAAAAAALoZs/isrh0B5HreEyiZwA9QWaYJ5nyR9zGBwiwCLcBGAsYHQ/s72-c/4-4-1024x944.jpg)
TAASISI YA AMANI KWA WAISLAMU TANZANIA YAMPONGEZA RAIS MAGUFULI MAPAMBANO DHIDI YA CORON, YATOA RAI KWA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-xblQYeTELv8/XqcrZwO73OI/AAAAAAALoZs/isrh0B5HreEyiZwA9QWaYJ5nyR9zGBwiwCLcBGAsYHQ/s400/4-4-1024x944.jpg)
TAASISI ya Amani kwa Waislamu Tanzania (TIPF) kupitia Mwenyekiti wake Sadiki Godigodi imeipongeza hotuba ya Rais Dk. John Magufuli ambayo ameitoa siku za karibuni kuhusu hali halisi ya janga la ugonjwa wa Covid-19 nchini.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti huyo ni kwamba hotuba ya Rais Magufuli imejaa matumaini hususn katika matumizi ya dawa za kujifukiza huku akiwataka wataalamu wa kitaifa na kimataifa kuhakikisha wanafanyia kazi dawa hizo za asili zilizoonesha matumaini...