Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LISSU: MARUFUKU WANANCHI KUNYANYASWA KISA MICHANGO

Singida Mashariki ni moja kati ya majimbo ya uchaguzi yaliyopo Wilaya ya Singida Vijijini mkoani Singida, likiongozwa na Mheshimiwa Tundu Antipas Lissu kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Awali, jimbo hilo lilikuwa likijulikana kama Singida Kusini kabla ya kugawanywa mwaka 2010 na kupata majimbo mawili, Singida Mashariki na Singida Magharibi. Mheshimiwa Tundu Antipas Lissu kwa tiketi ya Chama cha...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

WANAWAKE LIVE: Kisa cha Mustapha kunyanyaswa na mkewe, unafahamu alichokuwa anakitaka?

joyce kiria

Mwendeshaji wa Kipindi cha Wanawake Live, Joyce Kiria.

mustapha

Mustapha Manga katika mahojiano na Wanawake Live.

Je, umepata nafasi ya kufuatilia kisa hiki? Ni suala la kweli lililomkuta Mustapha ambaye analalamikia kunyanyaswa na mke wake. Joyce Kiria na Wanawake Live tulipata nafasi ya kufuatilia kwa undani suala hili na hapa, pata sehemu ya kwanza na ya pili ya mazungumzo kati ya Super Woman Joyce Kiria na Mustapha kisha na mke wake Mustapha kufahamu mustakabali mzima wa familia hii.

mke wa mustapha na joyce kiria

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Jinsi marufuku ya kutoka nje ya virusi vya corona inavyowaathiri wanawake kwa kunyanyaswa

Umoja wa Mataifa unaonya kuwa unyanyasaji na vurugu za kijinsia kwa wakati huu ni jambo la haraka kama matibabu.

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII,LAZARO NYALANDU AUNDA TUME YA KUCHUNGUZA MALALAMIKO YA WANANCHI KUNYANYASWA

 Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akizungumza na wananchi wa Kata ya Buger wilaya ya Karatu mkoa wa Arusha leo katika ziara ya siku moja kuzungumza na wananchi baada ya mwananchi mmoja kuuawa kwenye msitu wa Marang unaohifadhiwa na Shirika la Hifadhi ya Taifa(Tanapa).Waziri Nyalandu ameunda Tume ya kuchunguza mgogoro huo ambayo itatoa mapendekezo serikalini kwa utekelezaji. Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akizungumza na mmoja  wa wananchi wa Kata ya Buger...

 

11 years ago

Habarileo

Kinana- Wananchi mpuuzeni Tundu Lissu

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimekemea vitendo vya baadhi ya wabunge kuwakataza wananchi kuchangia miradi mbalimbali ya maendeleo katika maeneo yao kwani tabia hiyo inadhoofisha juhudi za Serikali kupambana na umasikini.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Lissu: Katiba ya wananchi haiwezi kupitishwa kwa mitutu ya bunduki

MWANASHERIA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), Tundu Lissu, amesema Katiba ya Wananchi haiwezi kupitishwa chini ya ulinzi mkali wa vikosi vya ulinzi na usalama vyenye mitutu ya bunduki,...

 

5 years ago

Michuzi

WADHAMINI WA LISSU WAOMBA AMRI ITOLEWE YA KUMKAMATA KWA LISSU

WADHAMINI wa aliyekuwa mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu, Ibrahim Ahmed na Robart Katula wamefungua maombi  katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakiomba itolewe amri ya kukamatwa kwa mshtakiwa huyo kwa kuwa wao wameshindwa kumpata.
Madai hayo yamewasilishwa leo Februari 20, 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba wakati kesi dhidi ya Lissu ilipopangwa kwa ajili ya kutajwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam.
Mapema wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wananchi Ludewa wamzomea mgombea ubunge aokolewa kupigwa kisa uongo kumtukana Filikunjombe

Kada wa CCM anayeomba  kuteuliwa  kugombea ubunge jimbo la Ludewa kepten mstaafu Jacob Mpangala ambae jana amezomewa mkutanoni na kuokolewa  kichapwa baada ya kujinadi kwa kutumia lugha za matusi na uongo dhidi ya mbunge Deo  Filikunjombe. Mbunge Filikunjombe akiwapungia mkoano  wananchi wa mndindi baada ya kujinadi. Wananchi wa kata ya Ibumi  wakiwa  wametuliwa wakimsikiliza kwa makini mbunge Filikunjombe wakati akiomba  kura zao. Filikunjombe akisisitiza jambo wakati akiomba kura kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wauguzi wa Ebola hawafai kunyanyaswa

Kuwatenga wauguzi wa wagonjwa wa Ebola ni kama kuwanyanyasa watu hao, asema balozi wa Marekani anayezuru Afrika Magharibi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani