WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII,LAZARO NYALANDU AUNDA TUME YA KUCHUNGUZA MALALAMIKO YA WANANCHI KUNYANYASWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-W9O2NviWmrk/VW4XD0NI_ZI/AAAAAAAHbhQ/sJotW4VT25s/s72-c/1.jpg)
Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akizungumza na wananchi wa Kata ya Buger wilaya ya Karatu mkoa wa Arusha leo katika ziara ya siku moja kuzungumza na wananchi baada ya mwananchi mmoja kuuawa kwenye msitu wa Marang unaohifadhiwa na Shirika la Hifadhi ya Taifa(Tanapa).Waziri Nyalandu ameunda Tume ya kuchunguza mgogoro huo ambayo itatoa mapendekezo serikalini kwa utekelezaji.
Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akizungumza na mmoja wa wananchi wa Kata ya Buger...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, LAZARO NYALANDU AFANYA ZIARA KATIKA VIJIJI VINAVYOZUNGUKA HIFADHI YA RUAHA KUTATUA MIGOGORO YA WANANCHI NA WAWEKEZAJI
10 years ago
Mwananchi22 Apr
Lazaro Nyalandu: Waziri wa Maliasili na Utalii
11 years ago
Uhuru NewspaperZIARA YA WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII MH. LAZARO NYALANDU NCHINI MAREKANI
10 years ago
VijimamboWaziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu alipokutana na baadhi aya madiwani wa Loliondo
10 years ago
MichuziWAZIRI WA UTALII NA MALIASILI MHE. LAZARO NYALANDU AFUNGUA MKUTANO WA UHIFADHI WA WANYAMAPORI TANZANIA
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA MALIASILI NA UTALII,LAZARO NYALANDU ATEMBELEA OFISI ZA HIFADHI YA TAIFA YA ARUSHA (TANAPA)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-IlUX14oJkoE/VoJZY-7_rNI/AAAAAAAAASs/Iz1fKrcaDRI/s72-c/DSC_4403.jpg)
WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII PFOF. JUMANNE MAGHEMBE AKABIDHIWA RASMI OFISI LEO NA ALIYEKUWA WAZIRI WA WIZARA HIYO LAZARO NYALANDU
![](http://3.bp.blogspot.com/-IlUX14oJkoE/VoJZY-7_rNI/AAAAAAAAASs/Iz1fKrcaDRI/s640/DSC_4403.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-b1A2YvSAAcw/VoJZcRwLIQI/AAAAAAAAAS4/2ZSG905gCwQ/s640/DSC_4409.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bacGNLBxUjQ/VT5OBhBwhLI/AAAAAAAHTnQ/9SSuzziUUwA/s72-c/11.jpg)
WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, LAZARO NYALANDU ATEMBELEA CHUO CHA USIMAMIZI WANYAMAPORI PASIANSI-MWANZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-bacGNLBxUjQ/VT5OBhBwhLI/AAAAAAAHTnQ/9SSuzziUUwA/s1600/11.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-V4uhsRZ7WFk/VT5OHJx2ylI/AAAAAAAHTn8/DAHNdREx0kM/s1600/7.jpg)
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akijaribu akikagua moja ya vitanda na hema linazotumiwa na wanafunzi wa Chuo cha Usimamizi Wanyamapori Pasiansi mjini Mwanza...
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Ninazo picha za Lazaro Nyalandu akikabidhi rasmi ofisi kwa Waziri mpya wa Maliasili na Utalii
Dec 23 2015 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alimalizia kujaza nafasi za uteuzi wa Mawaziri na Naibu Waziri alizobakiza wakati akitangaza baraza la Mawaziri la kwanza katika awamu ya tano ya utawala wake. Sasa leo Dec 29, 2015 aliyekuwa waziri wa Utalii na Maliasili, Lazaro Nyalandu amekabidhi rasmi ofisi […]
The post Ninazo picha za Lazaro Nyalandu akikabidhi rasmi ofisi kwa Waziri mpya wa Maliasili na Utalii appeared first on TZA_MillardAyo.