Wauguzi wa Ebola hawafai kunyanyaswa
Kuwatenga wauguzi wa wagonjwa wa Ebola ni kama kuwanyanyasa watu hao, asema balozi wa Marekani anayezuru Afrika Magharibi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 Oct
Ebola:TZ yapeleka wauguzi S.Leone
Serikali ya Tanzania imepeleka wataalam wa afya nchini Sierra Leone na Liberia kwa ajili ya kuongeza nguvu vita dhidi ya Ebola.
10 years ago
BBCSwahili13 Oct
Ebola:Wauguzi waombwa wasigome Liberia
Maafisa wa afya Liberia,wanawaomba wauguzi na wasaidizi wao kusitisha mpango wao wa mgomo wa kitaifa huku mlipuko wa Ebola ukiendelea kukithiri nchini humo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yKEq0zL6lrq-jWDR0vdZ5I-T-x*M4Wk38Qdab2YSwApzDcTCrRAOwj9a8FmNBfx0RLbqQ8P*5kPcrYrv2smfuwS/nesiiiii2.jpg?width=650)
JK AUNGANA NA WAUGUZI KUSHEREHEKEA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI JIJINI ARUSHA JANA
Baadhi ya Wauguzi wakila kiapo cha uaminifu na kutunza siri za wagonjwa wakati wa maadhimisho ya siku ya wauguzi duniani yaliyofanyika katika uwanja wa michezo wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha jana
Baadhi ya wauguzi waliohudhuria sherehe za siku ya wauguzi duniani wakifuatilia kwa makini Hotuba ya mgeni rasmi Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete mjini Arusha jana…
...
10 years ago
Mwananchi24 Mar
‘Asilimia 80 ya wabunge hawafai’
Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa amesema zaidi ya asilimia 80 ya wabunge waliopo bungeni sasa hawakustahili kuwa wabunge kwa sababu baadhi yao wana uwezo mdogo kiakili alioulinganisha na GB moja ya kompyuta.
11 years ago
Tanzania Daima27 Apr
Wanamtandao hawafai kugombea urais
WENGI wetu bado tuna kumbukumbu za kundi la wanamtandao kutoka ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) lililokuwa chini ya uongozi wa Rostam Aziz na Edward Lowassa, lilivyofanikisha Rais Jakaya Kikwete...
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
Uganda:Spika asema waliokeketwa hawafai
Spika wa Bunge la Uganda Bi Rebecca Kadaga amewashauri wanaume kutowaoa wanawake waliokeketwa.
10 years ago
Mwananchi19 Aug
Hiki ni kipindi cha wachezaji kunyanyaswa
Hiki ni kipindi cha usajili, utasikia mchezaji fulani anatakiwa na klabu fulani, mchezaji fulani anaachwa na klabu fulani, wachezaji fulani mikataba yao imekwisha yaani huwa ni kipindi cha wasiwasi mkubwa kwa baadhi ya wachezaji na pia ni kipindi kizuri kwa baadhi ya wachezaji.
9 years ago
BBCSwahili28 Aug
Wapenzi wa jinsia moja wadai kunyanyaswa
Kundi la kuteta haki za kibinadam nchini Tanzania la LGBT limedai sheria za Tanzania zawakandamiza wapenzi wa jinsia moja
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Viongozi wa ukoo wakerwa Graca kunyanyaswa
Baada ya mjane wa aliyekuwa Rais wa Kwanza mzalendo wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, Graca Machel kutakiwa kuondoka katika familia hiyo na kurudi kwao Msumbiji, viongozi wa ukoo wamewajia juu watoto wa Mandela.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania