Uganda:Spika asema waliokeketwa hawafai
Spika wa Bunge la Uganda Bi Rebecca Kadaga amewashauri wanaume kutowaoa wanawake waliokeketwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi31 Dec
Naibu Spika awaangukia wapinzani Uganda
Naibu Spika wa Uganda Jacob Oulanyah amelazimika kumwomba radhi mgombea urais wa Chama cha Umoja wa Mabadiliko ya Kidemokrasia na viongozi wengine wa upinzani kutokana na kuathiriwa na vurugu zilizojitokeza wiki iliyopita katika jimbo lake la Omoro.
5 years ago
BBCSwahili01 Apr
Coronavirus: Spika Ndugai asema 'Hatuwezi kuchukua hatua kama za Ulaya'
Wakati nchi mbalimbali barani Afrika zikichukua hatua ya kudhibiti kuenea kwa virusi vya corona, Spika wa Tanzania, Job Ndugai amesema kuwa taifa hilo haliwezi kuchukua hatua zinazotumika na mataifa mengine barani Ulaya.
5 years ago
Michuzi
BAJETI KUU YA SERIKALI YAPITA KWA KISHINDO,SPIKA NDUGAI ASEMA IMEVUNJA REKODI NA YAJAYO YANAFURAHISHA
Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
BAJETI imepita!Hiyo ndio habari ya Mjini kwa siku ya leo baada ya wabunge kupitisha kwa kishindo Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa Fedha 2020/2021 yenye jumla ya Sh.trilioni 34.88.
Kura ambazo zimepigwa na wabunge na kufanikisha kuipitisha bejeti hiyo ni kura za ndio 304 huku kura , 63 za hapana huku wabunge 18.Hata hivyo safari hii wabunge wa vyama vya upinzani wengi wao wamepiga kura ya ndio.
Kwa kukumbusha tu bajeti ya mwaka huu ndio ambayo imeungwa mkono zaidi...
BAJETI imepita!Hiyo ndio habari ya Mjini kwa siku ya leo baada ya wabunge kupitisha kwa kishindo Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa Fedha 2020/2021 yenye jumla ya Sh.trilioni 34.88.
Kura ambazo zimepigwa na wabunge na kufanikisha kuipitisha bejeti hiyo ni kura za ndio 304 huku kura , 63 za hapana huku wabunge 18.Hata hivyo safari hii wabunge wa vyama vya upinzani wengi wao wamepiga kura ya ndio.
Kwa kukumbusha tu bajeti ya mwaka huu ndio ambayo imeungwa mkono zaidi...
11 years ago
BBCSwahili17 Mar
Waliokeketwa wanyimwa 'Hisia' Burkina Faso
Hospital ya kwanza kuwahi kujengwa kwa ajili ya kuwasaidia wanawake waathiriwa wa ukeketaji nchini Burkinafasso haitafuuliwa kamwe
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Bondia wa Uganda asema Mayweather atalimwa
Mayweather, ambaye hajashindwa kwa mapigano yote 47 ni bingwa wa dunia uzani wa welter WBC na WBA naye Pacman ni bingwa wa WBO
10 years ago
Mwananchi24 Mar
‘Asilimia 80 ya wabunge hawafai’
Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa amesema zaidi ya asilimia 80 ya wabunge waliopo bungeni sasa hawakustahili kuwa wabunge kwa sababu baadhi yao wana uwezo mdogo kiakili alioulinganisha na GB moja ya kompyuta.
11 years ago
Tanzania Daima27 Apr
Wanamtandao hawafai kugombea urais
WENGI wetu bado tuna kumbukumbu za kundi la wanamtandao kutoka ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) lililokuwa chini ya uongozi wa Rostam Aziz na Edward Lowassa, lilivyofanikisha Rais Jakaya Kikwete...
11 years ago
BBCSwahili26 Oct
Wauguzi wa Ebola hawafai kunyanyaswa
Kuwatenga wauguzi wa wagonjwa wa Ebola ni kama kuwanyanyasa watu hao, asema balozi wa Marekani anayezuru Afrika Magharibi
10 years ago
Bongo528 Sep
Picha: Eddy Kenzo akutana na Van Damme Marekani, asema atampeleka Uganda soon
Mwimbaji wa wa Uganda, Eddy Kenzo ambaye yuko kwenye ziara ya muziki nchini Marekani, amekutana na star wa movie Jean-Claude Van Damme. Eddy Kenzo akiwa na Van Damme Star huyo wa ‘Sitya Loss’ amepost picha akiwa na muigizaji huyo mkongwe na kumshukuru kwa kukutana naye, na kuongeza kuwa atampeleka Uganda soon. “Thank you for everything […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania