Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bondia wa Uganda asema Mayweather atalimwa

Mayweather, ambaye hajashindwa kwa mapigano yote 47 ni bingwa wa dunia uzani wa welter WBC na WBA naye Pacman ni bingwa wa WBO

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Bondia wa zamani asema Mayweather atajuta

Zaidi ya dola milioni 200 zinapiganiwa, Mayweather akipokea asilimia 60 na Pacman asilimia 40, zikiwa ndizo fedha za juu zaidi kupiganiwa

 

10 years ago

Bongo5

Floyd Mayweather asisitiza Andre Berto ni bondia wa mwisho kupigana naye

Bondia Floyd Mayweather amesisitiza kwa mara nyingine kuwa Andre Berto ndiye bondia wa mwisho kupigana naye katika pambano lao la Jumamosi. Mayweather amesema watu wengi wanafikiri tofauti kwamba atapigana tena. Pambano hilo la 49 ndilo litakuwa la mwisho kwake na anataka kushinda kubaki na rekodi yake ya kutopigwa daima katika ngumi za kulipwa. Andre Berto […]

 

9 years ago

MillardAyo

Kufuru nyingine ya bondia Floyd Mayweather na hii saa ya milioni 200..

Bondia maarufu duniani, Floyd Mayweather yupo mapumzikoni dubai. Kama sehemu yake ya matumizi ya kawaida bondia huyo ameamua kuonyesha jeuri nyingine ya fedha baada ya kununua saa ya mkononi yenye thamani ya dola milioni 1 sawa na fedha za kitanzania zaidi ya milioni 200. Saa hiyo aina ya Hublot ndio saa ghali zaidi duniani kwa sasa. […]

The post Kufuru nyingine ya bondia Floyd Mayweather na hii saa ya milioni 200.. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Michuzi

news alert: bondia floyd mayweather avuliwa mkanda kwa kushindwa kulipa ada ya pambano wake na Manny Pacquiao

 Na Sultani KipingoBingwa wa dunia wa masumbi Floyd Mayweather (kushoto) amevuliwa mkanda wa WBO alioupata baada ya kumshinda Manny (kulia)
Pacquiao mwezi Mei Mwaka huu.Uamuzi huo umekuja baada ya bondia huyo mwenye umri wa miaka 38 kushindwa kuilipa shirikisho la ndondi la WBO ada ya dola laki mbili kabla ya Julai 3, mwaka huu.Hata hivyo Mayweather mwenyewe alitegemewa kuutema mkanda huo, kufuatia ushindi wa pointi dhidi ya Pacquiao. Mmarekami mwenzie Timothy Bradley ndiye ataepewa mkanda...

 

10 years ago

BBCSwahili

Uganda:Spika asema waliokeketwa hawafai

Spika wa Bunge la Uganda Bi Rebecca Kadaga amewashauri wanaume kutowaoa wanawake waliokeketwa.

 

10 years ago

Michuzi

BONDIA MOHAMED MATUMLA AMTANDIKA KWA POINT BONDIA WANG XIN HUA KUTOKA CHINA

Mwamuzi wa Mpambano wa Masumbwi uliowakutanisha mabondia Mohamed Matumla (Tanzania) na Wang Xin Hua (China) katika Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam usiku huu,akiwa amemnyanyua mkono Bondia Mohamed Matumla baada ya kumchapa kwa Point bondia mwenzake kutoka nchini China katika mpambano wa raundi 10 wa kuwania nafasi ya kucheza katika pambano la utangulizi kwenye mpambano mkali na unaosubiriwa kwa hamu na wapenzi wengi wa masumbwi Duniani kati ya mabondia Floyd Mayweather, Jr. na...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Eddy Kenzo akutana na Van Damme Marekani, asema atampeleka Uganda soon

Mwimbaji wa wa Uganda, Eddy Kenzo ambaye yuko kwenye ziara ya muziki nchini Marekani, amekutana na star wa movie Jean-Claude Van Damme. Eddy Kenzo akiwa na Van Damme Star huyo wa ‘Sitya Loss’ amepost picha akiwa na muigizaji huyo mkongwe na kumshukuru kwa kukutana naye, na kuongeza kuwa atampeleka Uganda soon. “Thank you for everything […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani