Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viongozi wa ukoo wakerwa Graca kunyanyaswa

Baada ya mjane wa aliyekuwa Rais wa Kwanza mzalendo wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, Graca Machel kutakiwa kuondoka katika familia hiyo na kurudi kwao Msumbiji, viongozi wa ukoo wamewajia juu watoto wa Mandela.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kalenga watachagua ukoo au ukombozi?

PAMOJA na kuwa na ustaarabu wa miaka mingi, Bara Hindi linasifika kwa mifumo ya kibaguzi chini ya mfumo wa ‘caste’, unyanyasaji wa kina mama na ubaguzi wa watu wengine hasa wasio...

 

10 years ago

GPL

MWANAMKE AKIOLEWA KUNA ULAZIMA AITWE JINA LA UKOO WA MUMEWE?-2

KARIBUNI tena na tena mashabiki wa safu hii ya ukweli inayozungumzia maisha kwa ujumla.
Wiki iliyopita tulianza na mada yenye kichwa cha habari hapo juu ‘Mwanamke akioelewa kuna ulazima wa kutumia jina la ukoo wa mumewe? Mada hii ni pana, nilifafanua mengi likiwemo suala la asili ya wanawake kuitwa kwa majina ya waume zao. Nikatoa mfano wa wanawake maarufu ambao wanatumia majina ya ukoo wa waume zao, wakiwemo wake wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Ajali ya gari Mbeya yaua watu watano wa ukoo mmoja

Watu watano wa ukoo mmoja wamefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea Songwe, jirani na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Songwe (Sia), Wilaya ya Mbeya Vijijini baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana na lori usiku.

 

10 years ago

GPL

MWANAMKE AKIOLEWA KUNA ULAZIMA AITWE JINA LA UKOO WA MUMEWE?

KARIBUNI tena na tena, wasomaji wa safu hii motomoto inayozungumzia maisha kwa ujumla. Lengo sa safu hii ni kuwekana sawa katika mazingira ya maisha ya uhusiano tunayoishi.
Mada yetu ya leo imetokana na kuzidi kushamiri kwa hoja kwamba je, mwanamke akishaoelewa kuna umuhimu wa kuitwa kwa jina la ukoo wa mumewe?Mfano, awali mwanamke aliitwa Julieth Thomas Rupia, akaolewa na Samuel Aloyce Masumbuko. Je, Julieth akishaolewa aitwe...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wauguzi wa Ebola hawafai kunyanyaswa

Kuwatenga wauguzi wa wagonjwa wa Ebola ni kama kuwanyanyasa watu hao, asema balozi wa Marekani anayezuru Afrika Magharibi

 

9 years ago

BBCSwahili

Wapenzi wa jinsia moja wadai kunyanyaswa

Kundi la kuteta haki za kibinadam nchini Tanzania la LGBT limedai sheria za Tanzania zawakandamiza wapenzi wa jinsia moja

 

10 years ago

Mwananchi

Hiki ni kipindi cha wachezaji kunyanyaswa

Hiki ni kipindi cha usajili, utasikia mchezaji fulani anatakiwa na klabu fulani, mchezaji fulani anaachwa na klabu fulani, wachezaji fulani mikataba yao imekwisha yaani huwa ni kipindi cha wasiwasi mkubwa kwa baadhi ya wachezaji na pia ni kipindi kizuri kwa baadhi ya wachezaji.

 

10 years ago

Michuzi

Wafanyabiashara Namanga walalamikia kunyanyaswa nchini Kenya

Wafanyabiashara wa Namanga na Wilaya ya Longido wameiomba Serikali iwajengee Soko kubwa Namanga ili waepukane na usumbufu wanaoupata wanapokwenda Kenya kuuza mifugo, mazao na bidhaa nyingine.
Wafanyabiashara hao walitoa ombi lao jana Septemba 19 wakati wa mkutano na Maofisa wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki wanaotembelea mipaka mbalimbali kwa ajili ya kutoa elimu ya Mtangamano wa Afrika Mashariki.
Baadhi ya manyanyaso wanayopata wanadai ni kuombwa kitu kidogo, kupewa malipo kidogo...

 

11 years ago

Mwananchi

Minara ya simu sababu ya raia kunyanyaswa Kagera

Mapato yanayotokana na ujenzi wa minara ya simu, yanadaiwa kuwa ndiyo chanzo cha kunyanyaswa kwa wakazi 41 wa Kijiji cha Murongo, wilayani Kyerwa katika Mkoa wa Kagera.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani