Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola:Wauguzi waombwa wasigome Liberia

Maafisa wa afya Liberia,wanawaomba wauguzi na wasaidizi wao kusitisha mpango wao wa mgomo wa kitaifa huku mlipuko wa Ebola ukiendelea kukithiri nchini humo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Wauguzi waombwa wasigome Liberia

Maafisa wa afya nchini Liberia, wanawaomba wauguzi na wasaidizi wao kusitisha mpango wao wa mgomo wa kitaifa huku mlipuko wa Ebola ukiendelea kukithiri nchini humo.

Chama cha kitaifa cha wafanyakazi wa afya, kinataka serikali iwaongeze marupurupu kwa kuhatarisha maisha yao hasa kwa wale wanaowatibu wagonjwa wa Ebola.

Rais wa Marekani Barack Obama, ameamuru hatua zaidi kuchukuliwa za kuhakikisha wauguzi hawapatwi na ugonjwa huo.

Muuguzi mmoja ambaye alikuwa anamtibu mgonjwa wa Ebola yeye...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ebola: World Bank Group Provides New Financing to Help Guinea, Liberia and Sierra Leone Recover from Ebola Emergency

World Bank President Jim Yong Kim speaks during a news conference in New Delhi March 13, 2013. REUTERS/B Mathur (INDIA - Tags: BUSINESS)

New GDP Estimates Show International Support Vital to Speed Recovery

The World Bank Group (WBG) announced today that it would provide at least US$650 million during the next 12 to 18 months to help Guinea, Liberia and Sierra Leone recover from the devastating social and economic impact of the Ebola crisis and advance their longer-term development needs. The new WBG pledge brings the organization’s total financing for Ebola response and recovery efforts to date to US$1.62 billion.

The...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:TZ yapeleka wauguzi S.Leone

Serikali ya Tanzania imepeleka wataalam wa afya nchini Sierra Leone na Liberia kwa ajili ya kuongeza nguvu vita dhidi ya Ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wauguzi wa Ebola hawafai kunyanyaswa

Kuwatenga wauguzi wa wagonjwa wa Ebola ni kama kuwanyanyasa watu hao, asema balozi wa Marekani anayezuru Afrika Magharibi

 

9 years ago

BBCSwahili

Ebola: Waathiriwa waombwa kutumia kondomu

Waathiriwa wa Ebola wametakiwa kutumia kondomu baada ya matokeo ya utafiti kuonyesha virusi vya ugonjwa huo husalia katika majimaji ya mbegu za kiume muda mrefu.

 

11 years ago

GPL

JK AUNGANA NA WAUGUZI KUSHEREHEKEA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI JIJINI ARUSHA JANA

Baadhi ya Wauguzi wakila kiapo cha uaminifu na kutunza siri za wagonjwa wakati wa maadhimisho ya siku ya wauguzi duniani yaliyofanyika katika uwanja wa michezo wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha jana
Baadhi ya wauguzi waliohudhuria sherehe za siku ya wauguzi duniani wakifuatilia kwa makini Hotuba ya mgeni rasmi Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete mjini Arusha jana…
...

 

10 years ago

BBC

VIDEO: WHO: Ebola in Liberia 'now over'

The World Health Organisation has declared Liberia free of Ebola, after the country reached the milestone of no new cases in 42 days.

 

11 years ago

Habarileo

Liberia yaelemewa na ebola

WAZIRI wa Habari nchini Liberia amekiri kuwa mfumo wa huduma za afya, umezidiwa kutokana na kasi ya kusambaa kwa virusi vya ugonjwa wa ebola nchini humo.

 

11 years ago

BBC

Liberia 'buckles under Ebola strain'

The charity Medecins sans Frontieres tells the BBC that Liberia's health services have been completely overwhelmed by the Ebola outbreak.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani