Wauguzi waombwa wasigome Liberia
Maafisa wa afya nchini Liberia, wanawaomba wauguzi na wasaidizi wao kusitisha mpango wao wa mgomo wa kitaifa huku mlipuko wa Ebola ukiendelea kukithiri nchini humo.
Chama cha kitaifa cha wafanyakazi wa afya, kinataka serikali iwaongeze marupurupu kwa kuhatarisha maisha yao hasa kwa wale wanaowatibu wagonjwa wa Ebola.
Rais wa Marekani Barack Obama, ameamuru hatua zaidi kuchukuliwa za kuhakikisha wauguzi hawapatwi na ugonjwa huo.
Muuguzi mmoja ambaye alikuwa anamtibu mgonjwa wa Ebola yeye...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili13 Oct
Ebola:Wauguzi waombwa wasigome Liberia
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yKEq0zL6lrq-jWDR0vdZ5I-T-x*M4Wk38Qdab2YSwApzDcTCrRAOwj9a8FmNBfx0RLbqQ8P*5kPcrYrv2smfuwS/nesiiiii2.jpg?width=650)
JK AUNGANA NA WAUGUZI KUSHEREHEKEA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI JIJINI ARUSHA JANA
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Wauguzi kujinoa Marekani
CHAMA cha Wauguzi Tanzania (Tana), kimesaini mkataba wa makubaliano na Shirika la Colom Foundation Inc kuendesha mafunzo ya uuguzi yatakayofanyika nchini Marekani. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es...
11 years ago
Mwananchi28 Feb
Changamoto kwa wauguzi
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
Wauguzi wa ‘machizi’ hawatoshi
RAIS wa Chama cha Wauguzi Tanzania, Paul Magesa amesema lipo tatizo la uhaba wa wauguzi nchini hasa wanaoshughulikia wagonjwa wa akili. Akizungumza na Tanzania Daima ofisini kwake Dar es Salaam...
9 years ago
Habarileo14 Oct
Shinyanga waombwa kumpigia Magufuli
WANANCHI wametakiwa kujitokeza kwa wingi ifikapo Oktoba 25, mwaka huu na kuipigia kura Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mgombea wake, Dk John Magufuli (pichani). Kauli hiyo imetolewa na kada wa CCM, Mwigulu Nchemba katika mikutano ya kampeni ya kuwanadi wagombea wa urais, ubunge na udiwani jimbo la Shinyanga mjini.
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
Watafiti waombwa kugeukia ufugaji
WATAALAMU wa utafiti nchini wameombwa kujikita kwenye utafiti wa mifugo na kutoa elimu kwa wafugaji ili waboreshe shughuli zao na kuleta tija kwa kufuga kisasa. Ombi hilo lilitolewa jana na...
10 years ago
Michuzi13 Nov
WANANCHI WAOMBWA KUCHANGIA DAMU
![](https://4.bp.blogspot.com/-AsUH_qwLQGs/VGSr7e5svtI/AAAAAAAGw8g/mFo8s5pkN9M/s640/unnamed%2B(5).jpg)
Hayo yalisemwa leo na Afisa Habari wa Mpango wa Taifa wa Damu Salama Tanzania Bw. Rajab Mwenda (pichani) katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika ilala...
9 years ago
Habarileo24 Oct
Wananchi waombwa kuitii NEC
TAASISI ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) imetoa mwito kwa wananchi kutii sheria na taratibu zilizowekwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ili kuepuka vurugu wakati wa upigaji kura katika uchaguzi mkuu mkuu unaotarajiwa kufanyika kesho.