Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wauguzi waombwa wasigome Liberia

Maafisa wa afya nchini Liberia, wanawaomba wauguzi na wasaidizi wao kusitisha mpango wao wa mgomo wa kitaifa huku mlipuko wa Ebola ukiendelea kukithiri nchini humo.

Chama cha kitaifa cha wafanyakazi wa afya, kinataka serikali iwaongeze marupurupu kwa kuhatarisha maisha yao hasa kwa wale wanaowatibu wagonjwa wa Ebola.

Rais wa Marekani Barack Obama, ameamuru hatua zaidi kuchukuliwa za kuhakikisha wauguzi hawapatwi na ugonjwa huo.

Muuguzi mmoja ambaye alikuwa anamtibu mgonjwa wa Ebola yeye...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Wauguzi waombwa wasigome Liberia

Maafisa wa afya Liberia,wanawaomba wauguzi na wasaidizi wao kusitisha mpango wao wa mgomo wa kitaifa huku mlipuko wa Ebola ukiendelea kukithiri nchini humo.

 

11 years ago

GPL

JK AUNGANA NA WAUGUZI KUSHEREHEKEA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI JIJINI ARUSHA JANA

Baadhi ya Wauguzi wakila kiapo cha uaminifu na kutunza siri za wagonjwa wakati wa maadhimisho ya siku ya wauguzi duniani yaliyofanyika katika uwanja wa michezo wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha jana
Baadhi ya wauguzi waliohudhuria sherehe za siku ya wauguzi duniani wakifuatilia kwa makini Hotuba ya mgeni rasmi Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete mjini Arusha jana…
...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wauguzi kujinoa Marekani

CHAMA cha Wauguzi Tanzania (Tana), kimesaini mkataba wa makubaliano na Shirika la Colom Foundation Inc kuendesha mafunzo ya uuguzi yatakayofanyika nchini Marekani. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es...

 

11 years ago

Mwananchi

Changamoto kwa wauguzi

Wauguzi na waganga wameshauriwa kujenga tabia ya huruma ikiwamo kuthamini, kuheshimu na kuwasaidia wazee pindi wanapokwenda katika vituo vya afya,zahanati na hospitali kupata matibabu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wauguzi wa ‘machizi’ hawatoshi

RAIS wa Chama cha Wauguzi Tanzania, Paul Magesa amesema lipo tatizo la uhaba wa wauguzi nchini hasa wanaoshughulikia wagonjwa wa akili. Akizungumza na Tanzania Daima ofisini kwake Dar es Salaam...

 

9 years ago

Habarileo

Shinyanga waombwa kumpigia Magufuli

WANANCHI wametakiwa kujitokeza kwa wingi ifikapo Oktoba 25, mwaka huu na kuipigia kura Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mgombea wake, Dk John Magufuli (pichani). Kauli hiyo imetolewa na kada wa CCM, Mwigulu Nchemba katika mikutano ya kampeni ya kuwanadi wagombea wa urais, ubunge na udiwani jimbo la Shinyanga mjini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watafiti waombwa kugeukia ufugaji

WATAALAMU wa utafiti nchini wameombwa kujikita kwenye utafiti wa mifugo na kutoa elimu kwa wafugaji ili waboreshe shughuli zao na kuleta tija kwa kufuga kisasa. Ombi hilo lilitolewa jana na...

 

10 years ago

Michuzi

WANANCHI WAOMBWA KUCHANGIA DAMU

MPANGO Taifa wa Damu Salama Tanzania (NBTS) unatoa rai kwa wananchi wote wenye sifa za kuchangia damu wajitokeze kuchangia damu katika vituo vya Damu salama hasa kipindi cha mwezi Novemba mpaka Januari mwakani , kipindi ambacho wanafunzi wa sekondari wanakuwa likizo hivyo kusababisha kuongezeka kwa uhaba wa damu nchini.
Hayo yalisemwa leo na Afisa Habari wa Mpango wa Taifa wa Damu Salama Tanzania Bw. Rajab Mwenda (pichani) katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika ilala...

 

9 years ago

Habarileo

Wananchi waombwa kuitii NEC

TAASISI ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) imetoa mwito kwa wananchi kutii sheria na taratibu zilizowekwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ili kuepuka vurugu wakati wa upigaji kura katika uchaguzi mkuu mkuu unaotarajiwa kufanyika kesho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani