Shinyanga waombwa kumpigia Magufuli
WANANCHI wametakiwa kujitokeza kwa wingi ifikapo Oktoba 25, mwaka huu na kuipigia kura Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mgombea wake, Dk John Magufuli (pichani). Kauli hiyo imetolewa na kada wa CCM, Mwigulu Nchemba katika mikutano ya kampeni ya kuwanadi wagombea wa urais, ubunge na udiwani jimbo la Shinyanga mjini.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog10 Sep
Shytown waombwa kumpigia kura kwa wingi NASSIB FONABO BSS 2015
Mshiriki wa Shindano la BSS 2015, Nassib Fonabo pichani
Na Andrew Chale-modewjiblog
Wadau wa Mkoa wa Shinyanga wameombwa kujitokeza kwa wingi kumpigia kura Nassib Fonabo ambaye ni mwakilishi pekee anayeiwakilisha Mkoa katika shindano la kusaka vipaji la Bongo Star Search (BSS) kwa mwaka huu wa 2015.
Fonabo ambaye anatumia namba BSS 103, Ambapo unaweza kumpigia kura kwa wingi kwa kuandika BSS103 kwenda namba 15522. Kumpigia kura kwa wingi Fonabo zitamwezesha kijana huyo kuwa na nafasi...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar08 Oct
Dr. Slaa Aanza Rasmi Kumpigia Kampeni Magufuli……Asema Lowassa Hafai Kuwa Rais
Thursday, October 8, 2015 Siku chache baada ya chama cha ACT-Wazalendo kutoa tamko rasmi kuwa hawataweza kumruhusu Dk. Wilbroad Slaa kupanda kwenye jukwaa lao kumnadi mgombea urais wa chama hicho kwa sababu za kiusalama, jana mwanasiasa […]
The post Dr. Slaa Aanza Rasmi Kumpigia Kampeni Magufuli……Asema Lowassa Hafai Kuwa Rais appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ojo6ZIAp-S0/Vga2S7HV14I/AAAAAAAAocA/wRctY5PxDZc/s72-c/1.jpg)
MAGUFULI AWASHA MOTO SHINYANGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ojo6ZIAp-S0/Vga2S7HV14I/AAAAAAAAocA/wRctY5PxDZc/s640/1.jpg)
Alisema pia kuwa Serikali yake itakuwa rafiki wa sekta binafsi na kuwajengea uwezo wafanya biashara ndogo ndogo ili waweze kujiendeleza.
![](http://1.bp.blogspot.com/-YfGNfae_fV0/Vga2zO3LojI/AAAAAAAAod4/ZXya-LTbnJs/s640/4.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/magufuli-akifanya-mkutano-wake-wa-mwisho-mjini-kahama-leo-katika-viwanja-vya-UWT-CCM-Kahama.jpg)
MAGUFULI ATIKISA MIKOA YA GEITA NA SHINYANGA
9 years ago
TheCitizen27 Sep
Credit to govt for Shinyanga water project, says Magufuli
10 years ago
MichuziWANA CCM MKOANI SINGIDA, TABORA NA SHINYANGA WAJITOKEZA KUMDHAMINI WAZIRI MAGUFULI
9 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA SHINYANGA AFANYA ZIARA SOKO KUU SHINYANGA.
9 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA SHINYANGA AFANYA MKUTANO NA AKINA MAMA ZAIDI YA 300 KUPAMBA NA KIPINDUPINDU SHINYANGA
Hapa ni katika ukumbi wa NSSF mjini Shinyanga ambako wanawake/akina mama zaidi ya 300 wa manispaa ya Shinyanga wamekutana kujadili namna ya kupambana na ugonjwa wa Kipindupindu ambao umeukumba mkoa wa Shinyanga.Mkutano huo umeitishwa na mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro.Akina mama hao waliojitokeza kwa wingi leo jioni Oktoba 06,2015 wameweka mikakati mbalimbali ya kutokemeza ugonjwa kipindupindu ambapo Jana pekee wagonjwa 9 wamelazwa katika kambi maalum jirani na hospital ya...
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Lema aendelea kumpigia debe Lowassa