Lema aendelea kumpigia debe Lowassa
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Godbless Lema amesema chama hicho bado kinaamini kuwa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa anaweza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Â Â Â
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog19 Feb
Serikali ya wanafunzi Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM-SO) yakanusha kumpigia debe Lowassa
Rais wa Serikali ya Wanafunzi IFM-SO, Clinton Boniface.
Serikali ya wanafunzi wa chuo cha usimamizi wa fedha (IFMSO), kupitia msemaji wake mkuu ambaye ni Rais wa Serikali ya wanafunzi, ndugu Clinton Boniface inakanusha taarifa zilizotolewa na gazeti la NIPASHE toleo namba 0578395 la tarehe 19/02/2015, lenye kichwa cha habari “WANAFUNZI WA IFM WAMTAKA LOWASA URAIS” na kwamba habari hizo hazijatolewa na uongozi wa IFMSO, wala hakuna mkutano wowote uliofanyika katika eneo la chuo cha usimamizi...
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Wazazi wapanda jukwaani kumpigia debe mtoto wao
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_d2BEp1d5NI/VOX9YL0tUKI/AAAAAAAC0Iw/4WS4d_h6kYk/s72-c/unnamed.jpg)
SERIKALI YA WANAFUNZI CHUO CHA USIMAMIZI WA FEDHA (IFM-SO) YAKANUSHA KUMPIGIA DEBE LOWASA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-_d2BEp1d5NI/VOX9YL0tUKI/AAAAAAAC0Iw/4WS4d_h6kYk/s1600/unnamed.jpg)
msemaji wake mkuu ambaye ni Rais wa Serikali ya wanafunzi, ndugu
Clinton Boniface inakanusha taarifa zilizotolewa na gazeti la NIPASHE
toleo namba 0578395 la tarehe 19/02/2015, lenye kichwa cha habari
“WANAFUNZI WA IFM WAMTAKA LOWASA URAIS” na kwamba habari hizo
hazijatolewa na uongozi wa IFMSO, wala hakuna mkutano wowote
uliofanyika katika eneo la chuo cha usimamizi wa fedha kati ya
waandishi wa habari na uongozi wa serikali ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-SeY8l4L54Mk/VOY5DIVxkII/AAAAAAADZ4w/xv_iGXKwP7E/s72-c/20150219_153019.jpg)
TAARIFA KWA UMMA. SERIKALI YA WANAFUNZI CHUO CHA USIMAMIZI WA FEDHA (IFM-SO) YAKANUSHA KUMPIGIA DEBE LOWASA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-SeY8l4L54Mk/VOY5DIVxkII/AAAAAAADZ4w/xv_iGXKwP7E/s1600/20150219_153019.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-9Dpcenwt5Ug/VXE-eTVTs_I/AAAAAAAAUgU/QpvHtQqxbuE/s72-c/hamjamboo1.jpg)
DKT. SLAA, AENDELEA NA ZIARA YA MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI, APIGA DEBE WANANCHI KUJIANDIKISHA TAYARI KWA UCHAGUZI MKUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-9Dpcenwt5Ug/VXE-eTVTs_I/AAAAAAAAUgU/QpvHtQqxbuE/s640/hamjamboo1.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar08 Oct
Dr. Slaa Aanza Rasmi Kumpigia Kampeni Magufuli……Asema Lowassa Hafai Kuwa Rais
Thursday, October 8, 2015 Siku chache baada ya chama cha ACT-Wazalendo kutoa tamko rasmi kuwa hawataweza kumruhusu Dk. Wilbroad Slaa kupanda kwenye jukwaa lao kumnadi mgombea urais wa chama hicho kwa sababu za kiusalama, jana mwanasiasa […]
The post Dr. Slaa Aanza Rasmi Kumpigia Kampeni Magufuli……Asema Lowassa Hafai Kuwa Rais appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi12 Nov
Lowassa kumnadi Lema Arusha Mjini
9 years ago
TheCitizen10 Dec
Vote for Lema, Lowassa urges Arusha residents
9 years ago
StarTV17 Nov
Ukosefu Soko La Vitunguu Swaumu lasababisha Debe mbili kuthamanishwa kwa debe moja
Ukosefu wa soko la uhakika la Vitunguu Swaumu umesababisha wakulima wa zao hilo kuingia hasara baada ya wanunuzi kuwataka wauze debe mbili kwa malipo ya debe moja.
Wakulima wa Vitunguu Swaumu katika eneo la Ilula wilayani Kilolo mkoani Iringa wamesema changamoto hiyo inawakwamisha kutokana na kilimo hicho kutokuwa mkombozi kwao.
Vitunguu swaumu ni jamii ya vitunguu ambayo ilianza kutumika duniani kwa zaidi ya miaka 100 iliyopita, na nchi za awali kabisa kulitumia zao hili zinatajwa kuwa...