Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lema aendelea kumpigia debe Lowassa

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Godbless Lema amesema chama hicho bado kinaamini kuwa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa anaweza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.     

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Serikali ya wanafunzi Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM-SO) yakanusha kumpigia debe Lowassa

082f060

Rais wa Serikali ya Wanafunzi IFM-SO, Clinton Boniface.

Serikali ya wanafunzi wa chuo cha usimamizi wa fedha (IFMSO), kupitia msemaji wake mkuu ambaye ni Rais wa Serikali ya wanafunzi, ndugu Clinton Boniface inakanusha taarifa zilizotolewa na gazeti la NIPASHE toleo namba 0578395 la tarehe 19/02/2015, lenye kichwa cha habari “WANAFUNZI WA IFM WAMTAKA LOWASA URAIS” na kwamba habari hizo hazijatolewa na uongozi wa IFMSO, wala hakuna mkutano wowote uliofanyika katika eneo la chuo cha usimamizi...

 

11 years ago

Mwananchi

Wazazi wapanda jukwaani kumpigia debe mtoto wao

Zikiwa zimebaki siku 11 kabla ya kufanyika uchaguzi wa Jimbo la Kalenga, mkoani Iringa, baba mzazi wa mgombea wa Chadema, Victor Tendega mwishoni mwa wiki iliyopita, alipanda jukwaani na kumpigia debe mtoto wake, Grace Tendega.

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YA WANAFUNZI CHUO CHA USIMAMIZI WA FEDHA (IFM-SO) YAKANUSHA KUMPIGIA DEBE LOWASA.

Serikali ya wanafunzi wa chuo cha usimamizi wa fedha (IFMSO), kupitia
msemaji wake mkuu ambaye ni Rais wa Serikali ya wanafunzi, ndugu
Clinton Boniface inakanusha taarifa zilizotolewa na gazeti la NIPASHE
toleo namba 0578395 la tarehe 19/02/2015, lenye kichwa cha habari
“WANAFUNZI WA IFM WAMTAKA LOWASA URAIS” na kwamba habari hizo
hazijatolewa na uongozi wa IFMSO, wala hakuna mkutano wowote
uliofanyika katika eneo la chuo cha usimamizi wa fedha kati ya
waandishi wa habari na uongozi wa serikali ya...

 

10 years ago

Vijimambo

TAARIFA KWA UMMA. SERIKALI YA WANAFUNZI CHUO CHA USIMAMIZI WA FEDHA (IFM-SO) YAKANUSHA KUMPIGIA DEBE LOWASA.

Serikali ya wanafunzi wa chuo cha usimamizi wa fedha (IFMSO), kupitiamsemaji wake mkuu ambaye ni Rais wa Serikali ya wanafunzi, nduguClinton Boniface inakanusha taarifa zilizotolewa na gazeti la NIPASHEtoleo namba 0578395 la tarehe 19/02/2015, lenye kichwa cha habari“WANAFUNZI WA IFM WAMTAKA LOWASA URAIS” na kwamba habari hizohazijatolewa na uongozi wa IFMSO, wala hakuna mkutano wowoteuliofanyika katika eneo la chuo cha usimamizi wa fedha kati yawaandishi wa habari na uongozi wa serikali ya...

 

10 years ago

Vijimambo

DKT. SLAA, AENDELEA NA ZIARA YA MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI, APIGA DEBE WANANCHI KUJIANDIKISHA TAYARI KWA UCHAGUZI MKUU

Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dr. Wilibrod Slaa, akiwasalimia wanachama, wapenzi, wafuasi na mashabiki wa chama hicho, wakati akiwasili katika ofisi za wilaya za chama mjini Mpanda, mkoani Katavi akiwa katika mwendelezo wa ziara yake maeneo mbalimbali ya mikoa ya Mbeya, Rukwa na Katavi ambako mbali ya kukagua zoezi la uandikishaji wa wapiga kura amekuwa akihamasisha wananchi wenye sifa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kwa ajili ya kupiga kura Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu huku pia akikagua...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Dr. Slaa Aanza Rasmi Kumpigia Kampeni Magufuli……Asema Lowassa Hafai Kuwa Rais

Thursday, October 8, 2015 Siku chache baada ya chama cha ACT-Wazalendo kutoa tamko rasmi kuwa hawataweza kumruhusu Dk. Wilbroad Slaa kupanda kwenye jukwaa lao kumnadi mgombea urais wa chama hicho kwa sababu za kiusalama, jana mwanasiasa […]

The post Dr. Slaa Aanza Rasmi Kumpigia Kampeni Magufuli……Asema Lowassa Hafai Kuwa Rais appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa kumnadi Lema Arusha Mjini

Aliyekuwa mgombea wa urais wa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa anatarajiwa kupanda jukwaani Jumamosi kumuombea kura mgombea wa ubunge wa Chadema Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema.

 

9 years ago

TheCitizen

Vote for Lema, Lowassa urges Arusha residents

Former premiers Edward Lowassa and Frederick Sumaye urged Arusha residents to vote for Godbless Lema to become their MP because he was best placed in fighting graft alongside President John Magufuli.

 

9 years ago

StarTV

Ukosefu Soko La Vitunguu Swaumu lasababisha Debe mbili kuthamanishwa kwa debe moja

Ukosefu wa soko la uhakika la Vitunguu Swaumu umesababisha wakulima wa zao hilo kuingia hasara baada ya wanunuzi kuwataka wauze debe mbili kwa malipo ya debe moja.

Wakulima wa Vitunguu Swaumu katika eneo la Ilula wilayani Kilolo mkoani Iringa wamesema changamoto hiyo inawakwamisha kutokana na kilimo hicho kutokuwa mkombozi kwao.

Vitunguu swaumu ni jamii ya vitunguu ambayo  ilianza kutumika duniani kwa zaidi ya miaka 100 iliyopita,  na nchi za awali kabisa kulitumia  zao hili zinatajwa kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani