Lowassa kumnadi Lema Arusha Mjini
Aliyekuwa mgombea wa urais wa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa anatarajiwa kupanda jukwaani Jumamosi kumuombea kura mgombea wa ubunge wa Chadema Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo23 Nov
Ataka Lema awekwe kando Arusha Mjini
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Arusha Mjini, God Mwalusamba amewataka wakazi wa Jiji la Arusha kutomchagua mgombea ubunge wa Chadema, Godbless Lema, kwani endapo atapewa fursa ya kwenda bungeni huenda akaishia kususa vikao badala ya kupigania maendeleo ya Wana-Arusha.
9 years ago
TheCitizen10 Dec
Vote for Lema, Lowassa urges Arusha residents
9 years ago
AllAfrica.Com10 Dec
Tanzania: Vote for Lema, Lowassa Urges Arusha Residents
Tanzania: Vote for Lema, Lowassa Urges Arusha Residents
AllAfrica.com
Arusha — Former premiers Edward Lowassa and Frederick Sumaye urged Arusha residents to vote for Godbless Lema to become their MP because he was best placed in fighting graft alongside President John Magufuli. Speaking at a campaign rally for Mr ...
5 years ago
MichuziMBUNGE WA ARUSHA MJINI GODBLESS LEMA ADAKWA MKOANI SINGIDA KWA TUHUMA ZA KUSAMBAZA TAARIFA ZA UWONGO
Na Ismail Luhamba, SingidaJESHI la Polisi Mkoa wa Singida linamshikilia Mbunge wa Jimbo la Arusha mjini Godbless Lema kwa tuhuma za kusamabaza taarifa za uongo kuwa watu 14 Wilayani Manyoni walifariki kwa kuchinjwa katika matukio mbalimbali.Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ASP) Sweetbert Njewike (pichani kulia) alisema wamemkamata Mbunge...
9 years ago
Mtanzania08 Oct
Kingunge kumnadi Lowassa leo
NA FREDY AZZAH, LONGIDO
SIKU chache baada ya mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale Mwiru, kutangaza kukihama Chama Cha Mapinduzi (CCM), leo anatarajiwa kusimama kwenye jukwaa la vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi
(Ukawa) jijini Arusha kumnadi mgombea urais wa Chadema kupitia umoja huo, Edward Lowassa.
Meneja kampeni wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mrema, aliliambia gazeti hili kuwa mwanasiasa huyo atahutubia mkutano huo utakaoanza mchana.
“Kesho (leo),...
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Mgombea ubunge wa ACT Arusha Mjini amwombea kura Lowassa
10 years ago
Mtanzania06 Feb
Sina haja ya kutumia fedha kumnadi mtu — Lowassa
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu wa Zamani Edward Lowassa, amekanusha taarifa zilizochapishwa na gazeti moja la kila wiki iliyosema “Lowassa apanga safu”, akisema hana haja ya kufanya hivyo wala kutumia fedha kumnadi mgombea yeyote.
Taarifa iliyotolewa ofisi yaje jana, ilisema habari hiyo ilijengwa na taswira ya uongo kwamba kuna mpango wa kupanga nani atagombea ubunge katika Jimbo la Monduli baada ya Lowassa kumaliza muda wake.
“Taarifa hiyo potofu ilikuwa na lengo la kumshushia...
10 years ago
Daily News04 May
Arusha demo wants Lema out
Arusha demo wants Lema out
Daily News
MORE than 1,000 youths have demonstrated against Arusha Urban Member of Parliament Godbless Lema's intention to defend his parliamentary seat in the coming general elections, describing him as “the mastermind behind all the life-costing bedlams in ...
11 years ago
Mwananchi25 Apr
RC Arusha anusuru mikutano ya Lema