Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ataka Lema awekwe kando Arusha Mjini

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Arusha Mjini, God Mwalusamba amewataka wakazi wa Jiji la Arusha kutomchagua mgombea ubunge wa Chadema, Godbless Lema, kwani endapo atapewa fursa ya kwenda bungeni huenda akaishia kususa vikao badala ya kupigania maendeleo ya Wana-Arusha.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Lowassa kumnadi Lema Arusha Mjini

Aliyekuwa mgombea wa urais wa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa anatarajiwa kupanda jukwaani Jumamosi kumuombea kura mgombea wa ubunge wa Chadema Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema.

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE WA ARUSHA MJINI GODBLESS LEMA ADAKWA MKOANI SINGIDA KWA TUHUMA ZA KUSAMBAZA TAARIFA ZA UWONGO

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ASP) Sweetbert Njewike 





















Na Ismail Luhamba, SingidaJESHI la Polisi Mkoa wa Singida linamshikilia Mbunge wa Jimbo la Arusha mjini  Godbless Lema kwa tuhuma za kusamabaza taarifa za uongo kuwa watu 14 Wilayani Manyoni walifariki kwa kuchinjwa katika matukio mbalimbali.Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ASP) Sweetbert Njewike (pichani kulia) alisema wamemkamata Mbunge...

 

11 years ago

Michuzi

KIKWANGUA ANGA KANDO KANDO YA MTO UNAOKATIZA BONDE LA JANGWANI JIJINI DAR

 Kamera yetu leo inakuletea Taswira hii ya kikwangua anga kinachoibuka kwa kasi kando kando ya mto unaokatiza bonde la Jangwani na barabara ya Morogoro rodi,jijini Dar.

 

10 years ago

Michuzi

mtu mmoja akutwa amekufa kando kando ya mto Ilolo,jijini Mbeya

 Asubuhii hii mtu mmoja amekutwa kando kando ya mto wa ilolo uliopo jijini mbeya akiwa amepoteza maisha,haijafahamika mpaka sasa ni kitu gani kilichomsibu mtu huyo mpaka kufukwa na mauti hayo.mpaka sasa hakuna alieweza kumtambua mtu huyo haifahamiki kuwa ni mkazi wa wapi.Kumradhi kwa picha    mwili wa marehemu huyo ukiwa kando ya mto huo. Wakazi wa maeneo ya jitani na mto huo wakiuangalia mwili huo kuona kama wanaweza kumtambua.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

11 years ago

Michuzi

SHERIA GANI INATUMIKA KURUHUSU UHIFADHI TAKA WA AINA HII,KANDO KANDO YA BARABARA KUU??

 Kamera ya Globu ya Jamii,mchana wa leo imepita kwenye barabara ya Morogoro rodi kuanzia Magomeni mpaka Shekilango na kukuta malundo ya taka ngumu yakiwa yamekusanywa kwa mafungu mafungu namna hii.hapo ndipo swali likanijia,kwamba hivi uhifadhi taka wa namna hii umeruhusiwa kisheria ama ni ndio mambo yetu yake yale kuleana.?? na kama ni Sheria ni ipi inayoruhusu uchafuzi wa mazingira namna hii?? nilijikuta nikikosa majibu na ndipo ilipobidi kuja na mada hii hapa Globu ya Jamii ili tuweze...

 

11 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM,KINANA ATEMBELEA WANANCHI WAISHIO KANDO KANDO YA BANDARI YA KASANGA,WILAYA MPYA YA KALAMBO MKOANI RUKWA

 Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana na baadhi ya viongozi wa chama Wilaya ya Kalambo,wakikatiza kwenye Ofisi ya CHADEMA,ambayo inadaiwa imefungwa yapata miaka mitatu sasa, kwa kushindwa kulipia pango.  Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akibeba tofali aliyoifyatua,ikiwa ni sehemu ya uzinduzi wa jengo la CCM,wilayani Kalambo.  Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akiwahutubia wakazi wa kata ya Kasanga,iliopo ndani ya wilaya mpya ya Kalambo,mkoani Rukwa mapema jana jioni.Kinana bado...

 

10 years ago

Daily News

Arusha demo wants Lema out


Arusha demo wants Lema out
Daily News
MORE than 1,000 youths have demonstrated against Arusha Urban Member of Parliament Godbless Lema's intention to defend his parliamentary seat in the coming general elections, describing him as “the mastermind behind all the life-costing bedlams in ...

 

11 years ago

Mwananchi

RC Arusha anusuru mikutano ya Lema

Hatimaye Jeshi la Polisi wilayani Arusha limeruhusu mikutano ya hadhara ya Mbunge wa Arusha (Chadema), Godbless Lema baada ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Magessa Mulongo kuingilia kati.

 

10 years ago

TheCitizen

Lema is our choice for Arusha, says Chadema

Chadema has defended Arusha Urban Member of Parliament God bless Lema, saying the main opposition party still needed the lawmaker for another five-year tenure.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani