Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sina haja ya kutumia fedha kumnadi mtu — Lowassa

mNa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

WAZIRI Mkuu wa Zamani Edward Lowassa, amekanusha taarifa zilizochapishwa na gazeti moja la kila wiki iliyosema “Lowassa apanga safu”, akisema hana haja ya kufanya hivyo wala kutumia fedha kumnadi mgombea yeyote.

Taarifa iliyotolewa ofisi yaje jana, ilisema habari hiyo ilijengwa na taswira ya uongo kwamba kuna mpango wa kupanga nani atagombea ubunge katika Jimbo la Monduli baada ya Lowassa kumaliza muda wake.

“Taarifa hiyo potofu ilikuwa na lengo la kumshushia...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

PARIS HILTON: SINA HAJA YA KUTEMBEA NA VIVULANA VIDOGO

Mwimbaji wa Pop, Paris Hilton. Los Angeles,Marekani
MWIMBAJI wa Pop, Paris Hilton, amezindua video ya wimbo wake mpya unaoitwa High Off My Love, ambao amemshirikisha rapa, Bryan Williams ‘Birdman’ lakini kile alichosema ndicho kimekuwa gumzo wakati wa uzinduzi huo. Uzinduzi wa wimbo huo wa Hilton, 34, ulienda sambamba na uzinduzi wa mavazi yake ya ndani kwa wanawake.
“Kwa sasa mimi nimeshakuwa mtu mzima,...

 

9 years ago

Mtanzania

Kingunge kumnadi Lowassa leo

pic+kingungeNA FREDY AZZAH, LONGIDO

SIKU chache baada ya mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale Mwiru, kutangaza kukihama Chama Cha Mapinduzi (CCM), leo anatarajiwa kusimama kwenye jukwaa la vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi
(Ukawa) jijini Arusha kumnadi mgombea urais wa Chadema kupitia umoja huo, Edward Lowassa.

Meneja kampeni wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mrema, aliliambia gazeti hili kuwa mwanasiasa huyo atahutubia mkutano huo utakaoanza mchana.

“Kesho (leo),...

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa kumnadi Lema Arusha Mjini

Aliyekuwa mgombea wa urais wa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa anatarajiwa kupanda jukwaani Jumamosi kumuombea kura mgombea wa ubunge wa Chadema Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema.

 

10 years ago

Bongo Movies

Aunt Ezekiel: Sitaki na Sina Tatizo na Mtu

Kutoka Mitandaoni: Staa wa bongo movies, Aunt Ezekiel ameamua kuvunya ukimya fufuatia comment mablimbali za mashabiki juu ya kile kinacho daiwa kuwa urafiki wake na staa mwenzake Wema Sepetu umeyumba.

Madai ya kuyumba kwa  ufafiki baina ya mastaa hao yameibuka kwa kasi baada ya hivi juzi kati kufanyika kwa baby shower ya Aunt na Wema kutokuwepo kwenye pati hiyo, kitu ambacho mashabiki na wapenzi wa mastaa hao wamekuwa wakihoji ina wezekana vipi Wema kukosa kwenye pati hiyo.

Kifuatia...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yaona haja ya kuongeza fedha CDCF

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, William LukuviSERIKALI imekiri kuwa kuna haja ya kuongeza fedha za Mfuko wa Kuchochea Maendeleo ya Jimbo (CDCF) kutokana na faida na manufaa yake kwa jamii.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je ipo haja ya kutumia vidonge vya vitamin D?

Baadhi ya watu huenda wakaamua kutumia virutubisho vya vitamin D wakati wa janga la corona. Hii hapa sababu.

 

10 years ago

Mtanzania

Lowassa: Sina mpango wa kushindwa

lowassaNA WAANDISHI WETU, DODOMA
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amechukua rasmi fomu ya kuomba kuteuliwa kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), huku akisema hana mpango wa kushindwa.
Lowassa aliwasili katika Makao Makuu ya CCM mjini hapa jana saa 10:20 jioni akiambatana na mkewe, Regina huku akisindikizwa na wabunge mbalimbali pamoja na wanachama wa CCM.
Akizungumza na waandishi wa habari pamoja na wanachama waliokuwapo katika Ukumbi wa Makao Makuu ya CCM mara baada ya kuchukua...

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa: Sina tena rafiki CCM

Mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa amesema hana rafiki yeyote CCM kwani yeye tayari alishapakia basi la Chadema.

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa: Sina mpango wa kutangaza nia

>Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema hana mpango wa kutangaza nia ya kugombea urais kwa sasa, bali anapenda kushirikiana na waumini na wananchi katika shughuli zao za kimaendeleo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani