Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PARIS HILTON: SINA HAJA YA KUTEMBEA NA VIVULANA VIDOGO

Mwimbaji wa Pop, Paris Hilton. Los Angeles,Marekani
MWIMBAJI wa Pop, Paris Hilton, amezindua video ya wimbo wake mpya unaoitwa High Off My Love, ambao amemshirikisha rapa, Bryan Williams ‘Birdman’ lakini kile alichosema ndicho kimekuwa gumzo wakati wa uzinduzi huo. Uzinduzi wa wimbo huo wa Hilton, 34, ulienda sambamba na uzinduzi wa mavazi yake ya ndani kwa wanawake.
“Kwa sasa mimi nimeshakuwa mtu mzima,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Contactmusic.Com

Paris Hilton | Paris Hilton's family donate $10M towards Covid-19 relief efforts

Paris Hilton | Paris Hilton's family donate $10M towards Covid-19 relief efforts  Contactmusic.comView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Bongo5

Video: Paris Hilton akiigiza kupata ‘orga*m’ mbele ya umati wa watu

Paris Hilton aliamua kuwapa raha mashabiki wake jijini Las Vegas baada ya kufeki orgasm mbele ya mamia ya watu. Ni utata! Tazama video hiyo hapo chini. Ilikuwa kwenye bachelorette party ya binamu yake, Brooke Wiederhorn.

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Flaviana Matata na Rosemary Kokuhilwa wajichanganya na Paris na Nicky Hilton kwenye New York Fashion Week

Mrembo wa kimataifa kutoka Tanzania, Flaviana Matata pamoja na stylist wa Tanzania aishiye nchini Marekani, Kokuhilwa Rosemary Jumanne hii walijichanganya na mastaa wengine kwenye New York Fashion Week. Kutoka Kushoto, mwanamitindo Tori Praver, Paris, Nicky na Flaviana Matata Flaviana ambaye hivi karibuni alifunga ndoa naye pia anaishi jijini humo. Wawili hao walijikuta wamekaa kwenye mstari […]

 

10 years ago

Mtanzania

Sina haja ya kutumia fedha kumnadi mtu — Lowassa

mNa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

WAZIRI Mkuu wa Zamani Edward Lowassa, amekanusha taarifa zilizochapishwa na gazeti moja la kila wiki iliyosema “Lowassa apanga safu”, akisema hana haja ya kufanya hivyo wala kutumia fedha kumnadi mgombea yeyote.

Taarifa iliyotolewa ofisi yaje jana, ilisema habari hiyo ilijengwa na taswira ya uongo kwamba kuna mpango wa kupanga nani atagombea ubunge katika Jimbo la Monduli baada ya Lowassa kumaliza muda wake.

“Taarifa hiyo potofu ilikuwa na lengo la kumshushia...

 

11 years ago

Michuzi

HILTON WORLDWIDE OPENS DOUBLETREE BY HILTON ZANZIBAR

Hilton Worldwide and DoubleTree by Hilton have announced the launching of DoubleTree by Hilton Zanzibar - Stone Town, located 64 kilometers (40 miles) off the coast of mainland Tanzania. The hotel marks the brand’s third hotel to open in the country.
“Stone Town is a city of prominent historical and artistic importance, and we are proud to enter as the first global hotel brand in the city. Our newest hotel offers a perfect marriage of culture and comfort, underscored by DoubleTree by Hilton’s...

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI NAGU ATEMBELEA KIWANDA KINACHOTENGENEZA MITAMBO YA VIWANDA VIDOGO VIDOGO

Waziri wa Uwekezaji na Uwezeshaji Dr. Mary Michael Nagu akimsikiliza Meneja wa kiwanda cha kutengeza mitambo ya kutumika kwenye viwanda vidogo vya bia, maziwa ya kawaida na maziwa ya soya. Mitambo hii ni kwa ajili ya kuanzisha viwanda vidogo vidogo kwa nia ya kuwezesha watu kiuchumi, kutoa ajira kwa vijana na kuongeza thamani mazao ya kilimo. Serikali ya Ubelgiji inagharamia asilimia hamsini ya ununuzi wa mitambo hiyo. Mhe Nagu ametembelea kiwanda hicho leo Ghent Ubelgiji.

 

9 years ago

Mtanzania

Amuua mama mzazi na kukata mwili vipande vidogo vidogo

MuuajiNA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM

MTU mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Erasto Lwiza (27) amemuua mama yake mzazi, Magreth Lwiza (50), kwa kumkatakata mapanga mwili wake na kuugawa vipande vidogo vidogo.

Tukio hilo limetokea juzi Mtaa wa Butiama, eneo la Vingunguti, ambapo mtuhumiwa ambaye ni marehemu kwa sasa alitekeleza unyama huo kabla hajauawa.

Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, kabla marehemu Erasto hajamuua mama yake alianza kumshambulia kwa visu na mapanga mwanamke aliyetambuliwa kwa...

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI YAHIMIZA UJENZI WA VIWANDA VIDOGO VIDOGO NCHINI

Serikali imesema kuwa Tanzania haiwezi kubadirika ikiwa mawazo ya watu hayatabadirika katika ujenzi wa viwanda vidogo nchini kote na kuondoa mawazo ya kujenga viwanda vikubwa kama vya wafanyanyabiashara wakubwa, kwa kuwa vinahitaji mtaji mkubwa wakati ajira zake ni chache.
 Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mheshimiwa Seleman Jaffo alitoa kauli hiyo tarehe 22 Decemba, 2015 wakati alipotembelea taasisi zilizo chini ya Wizara yake ambazo LAPF, na Bodi ya Mikopo ya...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mkuu wa Mkoa wa Arusha awataka wajasiriamali wa viwanda vidogo vidogo kutengeneze bidhaa zenye ubora

IMG-20140609-WA0055

Mkuu wa mkoa wa Arusha, Magessa Mulongo akiwa anaangalia bidhaa zinazotengenezwa na kabila la Wahabeshi katika uzinduzi wa maonyesho ya  SIDO.

IMG-20140609-WA0058

 

IMG-20140609-WA0059

 

IMG-20140609-WA0025

 

IMG_7759

Baadhi ya bidhaa za Shanga zilizopo katika maonyesho ya SIDO.

IMG_7959

Mkurugenzi wa Taha, Jacqueline Mkindi akiwa anaangalia na kufurahia bidhaa zinazotengenezwa na Shanga zilizopo katika viwanja vya Makumbusho katika maonyesho ya wajasiriamali toka  viwanda vidogo vidogo.

IMG_8002

Wahazabe wakiendelea kutengeneza Mikuki yao.

IMG_8014

IMG_8133

Mkurugenzi wa Sido...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani