Video: Paris Hilton akiigiza kupata ‘orga*m’ mbele ya umati wa watu
Paris Hilton aliamua kuwapa raha mashabiki wake jijini Las Vegas baada ya kufeki orgasm mbele ya mamia ya watu. Ni utata! Tazama video hiyo hapo chini. Ilikuwa kwenye bachelorette party ya binamu yake, Brooke Wiederhorn.
Bongo5
Habari Zinazoendana
5 years ago
Contactmusic.Com10 Apr
Paris Hilton | Paris Hilton's family donate $10M towards Covid-19 relief efforts
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XkRrFz4ymKlsPH1AG5pe-Jr0Zcidv*UBsy2Ms8ZJjmcrw-vNv-C9I1ElNqYOtomc3x9YlzPqf0wB58v3h53X7quN9HDEL6M0/parishiltonnightoutstyleleavesthepalmrestaurantinlosangelesfebruary2015_6.jpg?width=650)
PARIS HILTON: SINA HAJA YA KUTEMBEA NA VIVULANA VIDOGO
9 years ago
Bongo516 Sep
Picha: Flaviana Matata na Rosemary Kokuhilwa wajichanganya na Paris na Nicky Hilton kwenye New York Fashion Week
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WRK0YwPZplM/U85lKVoozhI/AAAAAAAF4vk/ep3NGSA4lg4/s72-c/__800x800_53c0dd8b09dea.jpg)
HILTON WORLDWIDE OPENS DOUBLETREE BY HILTON ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-WRK0YwPZplM/U85lKVoozhI/AAAAAAAF4vk/ep3NGSA4lg4/s1600/__800x800_53c0dd8b09dea.jpg)
“Stone Town is a city of prominent historical and artistic importance, and we are proud to enter as the first global hotel brand in the city. Our newest hotel offers a perfect marriage of culture and comfort, underscored by DoubleTree by Hilton’s...
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Video ya Diamond alivyojitokeza mbele ya watu wake maeneo ya Karume sokoni Dar
Diamond Platnumz alijitokeza mbele ya fans December 22 2015 ikiwa ni siku chache zimebaki ili akafanye show ya Xmas Dar Live Mbagala na kwa mara ya kwanza ataonyesha kazi kwenye stage na wimbo wake wa ‘Utanipenda’ ? tazama hii video hapa chini Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na […]
The post Video ya Diamond alivyojitokeza mbele ya watu wake maeneo ya Karume sokoni Dar appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/chadema-1.jpg)
9 years ago
Dewji Blog14 Nov
Zaidi ya watu 120 wameuwa baada ya tukio la kuvamiwa kwa jiji la Paris na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi
Vikosi vya uokoaji wakiendelea na kutoa huduma wakati wa tukio hilo usiku wa kuamkia leoo katika jiji la Paris, nchini Ufaransa.
[PARIS] Watu zaidi ya 120 wameuwa na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi baada ya kuvamia jiji la Paris, Ufaransa nje ya uwanja wa uliokuwa ukichezwa mchezo wa kirafiki kati ya Ufaransa na Ujerumani (Stade de France).
Ripoti zinasema wakati mchezo huo ukiendelea ilisikika milio ya mabomu matatu (3) yakilia nje ya...
9 years ago
Bongo501 Jan
Picha: Alikiba avuta umati wa zaidi ya watu elfu 10 Machakos, Kenya
![MAIN SHOW 31ST-2901 (800x533)](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/MAIN-SHOW-31ST-2901-800x533-300x194.jpg)
Alikiba ana mashabiki lukuki nchini Kenya.
Na ndio maana weekend hii, muimbaji huyo wa Mwana aliukaribisha mwaka mpya 2016 kwa kuvuta nyomi huko Machakos.
“Show imepata mahudhurio makubwa ya wapatao watu zaidi ya 10,000,” msemaji wake ameiambia Bongo5.
“Ilihudhuriwa na viongozi wa serikali ya county ya Machakos akiwepo Gavana na familia yake. Aliperform kuanzia 00:00 mpaka 03:00.”
Jionee picha zaidi.
10 years ago
Dewji Blog08 Jul
Banda la TIGO lafurika umati wa watu kwenye maonesho ya kimataifa sabasaba
![ipp](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_20150707_141237.jpg)
![ipp](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_20150707_141251.jpg)
![ipp](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_20150707_141714.jpg)
![ipp](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_20150707_141840.jpg)
![ipp](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_20150707_142343.jpg)