Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Paris Hilton akiigiza kupata ‘orga*m’ mbele ya umati wa watu

Paris Hilton aliamua kuwapa raha mashabiki wake jijini Las Vegas baada ya kufeki orgasm mbele ya mamia ya watu. Ni utata! Tazama video hiyo hapo chini. Ilikuwa kwenye bachelorette party ya binamu yake, Brooke Wiederhorn.

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Contactmusic.Com

Paris Hilton | Paris Hilton's family donate $10M towards Covid-19 relief efforts

Paris Hilton | Paris Hilton's family donate $10M towards Covid-19 relief efforts  Contactmusic.comView Full coverage on Google News

 

10 years ago

GPL

PARIS HILTON: SINA HAJA YA KUTEMBEA NA VIVULANA VIDOGO

Mwimbaji wa Pop, Paris Hilton. Los Angeles,Marekani
MWIMBAJI wa Pop, Paris Hilton, amezindua video ya wimbo wake mpya unaoitwa High Off My Love, ambao amemshirikisha rapa, Bryan Williams ‘Birdman’ lakini kile alichosema ndicho kimekuwa gumzo wakati wa uzinduzi huo. Uzinduzi wa wimbo huo wa Hilton, 34, ulienda sambamba na uzinduzi wa mavazi yake ya ndani kwa wanawake.
“Kwa sasa mimi nimeshakuwa mtu mzima,...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Flaviana Matata na Rosemary Kokuhilwa wajichanganya na Paris na Nicky Hilton kwenye New York Fashion Week

Mrembo wa kimataifa kutoka Tanzania, Flaviana Matata pamoja na stylist wa Tanzania aishiye nchini Marekani, Kokuhilwa Rosemary Jumanne hii walijichanganya na mastaa wengine kwenye New York Fashion Week. Kutoka Kushoto, mwanamitindo Tori Praver, Paris, Nicky na Flaviana Matata Flaviana ambaye hivi karibuni alifunga ndoa naye pia anaishi jijini humo. Wawili hao walijikuta wamekaa kwenye mstari […]

 

11 years ago

Michuzi

HILTON WORLDWIDE OPENS DOUBLETREE BY HILTON ZANZIBAR

Hilton Worldwide and DoubleTree by Hilton have announced the launching of DoubleTree by Hilton Zanzibar - Stone Town, located 64 kilometers (40 miles) off the coast of mainland Tanzania. The hotel marks the brand’s third hotel to open in the country.
“Stone Town is a city of prominent historical and artistic importance, and we are proud to enter as the first global hotel brand in the city. Our newest hotel offers a perfect marriage of culture and comfort, underscored by DoubleTree by Hilton’s...

 

9 years ago

MillardAyo

Video ya Diamond alivyojitokeza mbele ya watu wake maeneo ya Karume sokoni Dar

Diamond Platnumz alijitokeza mbele ya fans December 22 2015 ikiwa ni siku chache zimebaki ili akafanye show ya Xmas Dar Live Mbagala na kwa mara ya kwanza ataonyesha kazi kwenye stage na wimbo wake wa ‘Utanipenda’ ? tazama hii video hapa chini Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na […]

The post Video ya Diamond alivyojitokeza mbele ya watu wake maeneo ya Karume sokoni Dar appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Dewji Blog

Zaidi ya watu 120 wameuwa baada ya tukio la kuvamiwa kwa jiji la Paris na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi

JS76579997Vikosi vya uokoaji wakiendelea na kutoa huduma wakati wa tukio hilo usiku wa kuamkia leoo katika jiji la Paris, nchini Ufaransa.

Na Rabi Hume, Modewjiblog na Mashirika ya Habari 

[PARIS] Watu zaidi ya 120 wameuwa na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi baada ya kuvamia jiji la Paris, Ufaransa nje ya uwanja wa uliokuwa ukichezwa mchezo wa kirafiki kati ya Ufaransa na Ujerumani (Stade de France).

Ripoti zinasema wakati mchezo huo ukiendelea ilisikika milio ya mabomu matatu (3)  yakilia nje ya...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Alikiba avuta umati wa zaidi ya watu elfu 10 Machakos, Kenya

MAIN SHOW 31ST-2901 (800x533)

Alikiba ana mashabiki lukuki nchini Kenya.

MAIN SHOW 31ST-2901 (800x533)

Na ndio maana weekend hii, muimbaji huyo wa Mwana aliukaribisha mwaka mpya 2016 kwa kuvuta nyomi huko Machakos.

MAIN SHOW 31ST-2893 (800x533)

“Show imepata mahudhurio makubwa ya wapatao watu zaidi ya 10,000,” msemaji wake ameiambia Bongo5.

“Ilihudhuriwa na viongozi wa serikali ya county ya Machakos akiwepo Gavana na familia yake. Aliperform kuanzia 00:00 mpaka 03:00.”

Jionee picha zaidi.

MAIN SHOW 31ST-3441 (800x533)

MAIN SHOW 31ST-2899 (800x533)

MAIN SHOW 31ST-2912 (800x533)

MAIN SHOW 31ST-2960 (800x533)

MAIN SHOW 31ST-2968 (800x533)

MAIN SHOW 31ST-3155 (800x533)

MAIN SHOW 31ST-3256 (800x533)

MAIN SHOW 31ST-3277 (800x533)

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Banda la TIGO lafurika umati wa watu kwenye maonesho ya kimataifa sabasaba

ipp

Watoa huduma kwa wateja wa Kampuni ya Tigo  wakiendelea na huduma zao kwa wateja waliohudhuria kwa wingi banda la Tigo kwenye maonesho wa kimataifa ya sabasaba jijini Dar Es Salaam. ipp ipp ipp ipp ipp Msanii wa bongo fleva Shilole, alikuwa mmoja kati ya waliohudhuria banda la Tigo kwenye maonesho wa kimataifa ya sabasaba jijini Dar Es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani