Serikali ya wanafunzi Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM-SO) yakanusha kumpigia debe Lowassa
Rais wa Serikali ya Wanafunzi IFM-SO, Clinton Boniface.
Serikali ya wanafunzi wa chuo cha usimamizi wa fedha (IFMSO), kupitia msemaji wake mkuu ambaye ni Rais wa Serikali ya wanafunzi, ndugu Clinton Boniface inakanusha taarifa zilizotolewa na gazeti la NIPASHE toleo namba 0578395 la tarehe 19/02/2015, lenye kichwa cha habari “WANAFUNZI WA IFM WAMTAKA LOWASA URAIS” na kwamba habari hizo hazijatolewa na uongozi wa IFMSO, wala hakuna mkutano wowote uliofanyika katika eneo la chuo cha usimamizi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_d2BEp1d5NI/VOX9YL0tUKI/AAAAAAAC0Iw/4WS4d_h6kYk/s72-c/unnamed.jpg)
SERIKALI YA WANAFUNZI CHUO CHA USIMAMIZI WA FEDHA (IFM-SO) YAKANUSHA KUMPIGIA DEBE LOWASA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-_d2BEp1d5NI/VOX9YL0tUKI/AAAAAAAC0Iw/4WS4d_h6kYk/s1600/unnamed.jpg)
msemaji wake mkuu ambaye ni Rais wa Serikali ya wanafunzi, ndugu
Clinton Boniface inakanusha taarifa zilizotolewa na gazeti la NIPASHE
toleo namba 0578395 la tarehe 19/02/2015, lenye kichwa cha habari
“WANAFUNZI WA IFM WAMTAKA LOWASA URAIS” na kwamba habari hizo
hazijatolewa na uongozi wa IFMSO, wala hakuna mkutano wowote
uliofanyika katika eneo la chuo cha usimamizi wa fedha kati ya
waandishi wa habari na uongozi wa serikali ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-SeY8l4L54Mk/VOY5DIVxkII/AAAAAAADZ4w/xv_iGXKwP7E/s72-c/20150219_153019.jpg)
TAARIFA KWA UMMA. SERIKALI YA WANAFUNZI CHUO CHA USIMAMIZI WA FEDHA (IFM-SO) YAKANUSHA KUMPIGIA DEBE LOWASA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-SeY8l4L54Mk/VOY5DIVxkII/AAAAAAADZ4w/xv_iGXKwP7E/s1600/20150219_153019.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-S_mdL3HeaGQ/Uu85GuLfqYI/AAAAAAAFKf4/Zj1mZLK3swc/s72-c/unnamed+(16).jpg)
CHUO CHA USIMAMIZI WA FEDHA (IFM) KUANZA KUJENGA ENEO LA MSATA BAGAMOYO PWANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-S_mdL3HeaGQ/Uu85GuLfqYI/AAAAAAAFKf4/Zj1mZLK3swc/s1600/unnamed+(16).jpg)
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Lema aendelea kumpigia debe Lowassa
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Godbless Lema amesema chama hicho bado kinaamini kuwa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa anaweza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Â Â Â
10 years ago
MichuziSERIKALI YA WANAFUNZI WA CHUO CHA KIMATAIFA CHA TIBA NA TEKNOLOJIA IMTU (IMTUSO), YAOMBA CHUO CHAO KISIFUNGWE
Na Dotto Mwaibale
WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Tiba na Teknolojia IMTU wameiomba Tume ya Vyuo...
10 years ago
GPLSERIKALI YA WANAFUNZI WA CHUO CHA KIMATAIFA CHA TIBA NA TEKNOLOJIA IMTU (IMTUSO), YAOMBA CHUO CHAO KISIFUNGWE
 Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Tiba na Teknolojia IMTU (IMTUSO), Meekson Mambo. Makamu wa Rais IMTUSO, Walter Nnko.…
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CkDu4Pm0EPM/XmzAmhn_osI/AAAAAAALjX4/xFNC3opQQfQc37MC2ETO0p5XsoKh7Hm3gCLcBGAsYHQ/s72-c/3-35.jpg)
SERIKALI YAKANUSHA UVUMI WA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA KAMPASI YA SINGIDA KUHAMISHIWA DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-CkDu4Pm0EPM/XmzAmhn_osI/AAAAAAALjX4/xFNC3opQQfQc37MC2ETO0p5XsoKh7Hm3gCLcBGAsYHQ/s640/3-35.jpg)
9 years ago
MichuziNSSF YADHAMINI BONANZA LA MICHEZO LA CHUO CHA IFM
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZPxh2UadXFc/VHwmguPTeiI/AAAAAAAG0cA/KKI8uz4295Y/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
Wadau walamba Nondozz zao katika Chuo cha IFM jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZPxh2UadXFc/VHwmguPTeiI/AAAAAAAG0cA/KKI8uz4295Y/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-D3wf4OFOxU0/VHwmiM07ofI/AAAAAAAG0cI/effadfq1lgk/s1600/unnamed%2B(28).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania