Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wauguzi wa ‘machizi’ hawatoshi

RAIS wa Chama cha Wauguzi Tanzania, Paul Magesa amesema lipo tatizo la uhaba wa wauguzi nchini hasa wanaoshughulikia wagonjwa wa akili. Akizungumza na Tanzania Daima ofisini kwake Dar es Salaam...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

JK AUNGANA NA WAUGUZI KUSHEREHEKEA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI JIJINI ARUSHA JANA

Baadhi ya Wauguzi wakila kiapo cha uaminifu na kutunza siri za wagonjwa wakati wa maadhimisho ya siku ya wauguzi duniani yaliyofanyika katika uwanja wa michezo wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha jana
Baadhi ya wauguzi waliohudhuria sherehe za siku ya wauguzi duniani wakifuatilia kwa makini Hotuba ya mgeni rasmi Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete mjini Arusha jana…
...

 

10 years ago

Mwananchi

Saba wa kigeni hawatoshi

Licha ya Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kubadili kanuni ya usajili wa wachezaji wa kigeni kwa kuongeza idadi kutoka watano mpaka saba, Yanga na Azam zimeonyesha kutofurahishwa na uamuzi huo.

 

11 years ago

GPL

WEMA AZUA TIMBWILI GLOBAL, AJIITA YEYE NI CHIZI KULIKO MACHIZI WOOTE!

Stori: Sifael Paul
HOVYOOO! Wema Isaac Sepetu aliye pia Miss Tanzania 2006, amejitoa fahamu kwa kupandisha mzuka na kutinga makao makuu ya Kampuni ya Global Publishers, Bamaga-Mwenge, Dar na kuzua timbwili la aina yake kisa kikiwa ni kuandikwa kwa habari zake na mpenziwe, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. Tukio hilo la kumchoresha staa huyo mwenye vituko kila kukicha, lilijiri Jumatatu iliyopita kwenye ofisi za...

 

11 years ago

Mwananchi

Changamoto kwa wauguzi

Wauguzi na waganga wameshauriwa kujenga tabia ya huruma ikiwamo kuthamini, kuheshimu na kuwasaidia wazee pindi wanapokwenda katika vituo vya afya,zahanati na hospitali kupata matibabu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wauguzi kujinoa Marekani

CHAMA cha Wauguzi Tanzania (Tana), kimesaini mkataba wa makubaliano na Shirika la Colom Foundation Inc kuendesha mafunzo ya uuguzi yatakayofanyika nchini Marekani. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wauguzi nchini wapewa somo

WAUGUZI nchini wametakiwa kufahamu kuwa wao ni nguzo muhimu katika sekta ya afya na kufanya kazi kwa uaminifu na uadilifu, ili waweze kukumbukwa na jamii pindi watakapostaafu. Kauli hiyo ilitolewa...

 

10 years ago

Mwananchi

DC abaini mchezo mchafu wa wauguzi

Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, Ahmed Kipozi amesema atawachukulia hatua baadhi ya wahudumu wa Hospitali ya Bagamoyo wanaolalamikiwa na wagonjwa kuwa huwalazimisha kwenda kununua dawa nje wakati zinapatikana hospitalini hapo.

 

9 years ago

Mtanzania

Madaktari, wauguzi wataka mabadiliko

tana 4Na Deogratias Kishombo, Bukoba

TAASISI  nne zinazojihusisha na masuala ya afya ya binadamu, zimekubaliana kwa pamoja kuunga mkono mabadiliko katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu.

Taasisi hizo ni Jumuia ya Madaktari Tanzania (MAT), Chama cha Wauguzi Tanzania (TANNA) Jumuia ya Wafamasia Tanzania (PST) pamoja na Jumuiya ya Madaktari Wasaidizi Tanzania (AMEPTA).

Viongozi wa taasisi hizo walitoa tamko hilo la pamoja katika Ukumbi wa Hoteli ya Mtakatifu Theresa, mjini Bukoba mkoani Kagera...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani