Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola: Waathiriwa waombwa kutumia kondomu

Waathiriwa wa Ebola wametakiwa kutumia kondomu baada ya matokeo ya utafiti kuonyesha virusi vya ugonjwa huo husalia katika majimaji ya mbegu za kiume muda mrefu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Maiti za waathiriwa wa Ebola kuchomwa Liberia

Serikali ya Liberia imetaka miili yote ya watu waliopoteza maisha kutokana na Virusi vya Ebola kuchomwa moto.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Wauguzi waombwa wasigome Liberia

Maafisa wa afya Liberia,wanawaomba wauguzi na wasaidizi wao kusitisha mpango wao wa mgomo wa kitaifa huku mlipuko wa Ebola ukiendelea kukithiri nchini humo.

 

10 years ago

Bongo5

Korea Kaskazini yaishutumu US kusambaza Ebola na kutumia Afrika kama sehemu ya kujaribia silaha hiyo ya Kibailojia

Koreas Kaskazini imeishutumu Marekani kwa kusambaza makusudi virusi vya ugonjwa wa Ebola na kwamba inatengeneza silaha hiyo ya kibailojia ili kuwa taifa lenye nguvu zaidi duniani. Taifa hilo limelazimika kufunga mipaka yake kuzuia watalii ikiwa ni pamoja na kumtenga kila anayeingia. Ripoti ya Korean Central News Agency (KCNA) inadai kuwa aliyekuwa msaidizi wa Rais wa […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanawake waathiriwa na mihadarati TZ

Imeelezwa kuwa utumiaji wa dawa hizo miongoni mwa wanawake ni changamoto kubwa katika jamii,visiwani Zanzibar

 

11 years ago

BBCSwahili

Waathiriwa wa vita CAR

Vita vya kidini vya zaidi ya mwaka mmoja CAR vimesababisha hali ya kusikitisha kwa wananchi

 

10 years ago

BBCSwahili

Waathiriwa wa mabomu Mbagala walalama

Mkutano wa waandishi habari na Waathirika wa Mabomu ,umefanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Mbagala Kuu ,jijini Dar-Es-Salaam .

 

11 years ago

BBCSwahili

Waathiriwa wa Osama kufidiwa Tanzania

Watanzania walioathirika na mlipuko wa mabomu katika ubalozi wa Marekani mjini Dar es Salaam wameshinda kesi yao na sasa watalipwa fidia.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mamia waathiriwa na pombe Kenya

Mamia ya Wakenya wameathirika na pombe na serikali imeanzisha mpango wa kuwarekebisha katika uwanja mmoja wa michezo

 

11 years ago

BBCSwahili

Waathiriwa wa ndege kupelekwa Ufaransa

Rais wa Ufaransa ameahidi kwamba mabaki ya raia 118 na wafanyikazi wa ndege ilioanguka Mali watapelekwa Ufaransa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani