Waathiriwa wa vita CAR
Vita vya kidini vya zaidi ya mwaka mmoja CAR vimesababisha hali ya kusikitisha kwa wananchi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili13 Jan
Waasi wasitisha vita Bangui, CAR
Wapiganaji kutoka makundi hasimu, walikumbatiana katika mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Bangui baada ya majeshi ya Ufaransa kuwapatanisha
10 years ago
BBCSwahili15 Jul
Kampuni za mbao zadaiwa kufadhili vita CAR
Kundi la kutetea haki la Global Witness limayalaumu baadhi ya makumpuni ya mbao barani Ulaya kwa kusaidia kufadhili vita nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, kupitia kusaidia kusaini mikataba ya fedha nyingi na makundi ya wapiganaji.
11 years ago
BBCSwahili04 Feb
CAR:75 wauwa katika vita vya kidini
Kasisi mmoja katika Jamhuri ya Afrika ya kati anasema kuwa katika kipindi cha wiki moja takriban wakristo 75 wameuawa kutokana na ghasia baina ya vikundi vya kidini mjini Boda.
10 years ago
BBCSwahili19 Mar
Wanawake waathiriwa na mihadarati TZ
Imeelezwa kuwa utumiaji wa dawa hizo miongoni mwa wanawake ni changamoto kubwa katika jamii,visiwani Zanzibar
10 years ago
BBCSwahili13 Sep
Waathiriwa wa mabomu Mbagala walalama
Mkutano wa waandishi habari na Waathirika wa Mabomu ,umefanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Mbagala Kuu ,jijini Dar-Es-Salaam .
11 years ago
BBCSwahili27 Jul
Waathiriwa wa ndege kupelekwa Ufaransa
Rais wa Ufaransa ameahidi kwamba mabaki ya raia 118 na wafanyikazi wa ndege ilioanguka Mali watapelekwa Ufaransa.
9 years ago
BBCSwahili02 Sep
Mamia waathiriwa na pombe Kenya
Mamia ya Wakenya wameathirika na pombe na serikali imeanzisha mpango wa kuwarekebisha katika uwanja mmoja wa michezo
9 years ago
BBCSwahili04 Dec
Chennai: Maelfu waathiriwa na mafuriko
Operesheni kubwa ya kuokoa watu waliokwama kutokana na mafuriko eneo la Chennai, jimbo la Tamil Nadu kusini mwa India inaendelea.
11 years ago
BBCSwahili02 Apr
Waathiriwa wa Osama kufidiwa Tanzania
Watanzania walioathirika na mlipuko wa mabomu katika ubalozi wa Marekani mjini Dar es Salaam wameshinda kesi yao na sasa watalipwa fidia.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania