Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waathiriwa wa vita CAR

Vita vya kidini vya zaidi ya mwaka mmoja CAR vimesababisha hali ya kusikitisha kwa wananchi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Waasi wasitisha vita Bangui, CAR

Wapiganaji kutoka makundi hasimu, walikumbatiana katika mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Bangui baada ya majeshi ya Ufaransa kuwapatanisha

 

10 years ago

BBCSwahili

Kampuni za mbao zadaiwa kufadhili vita CAR

Kundi la kutetea haki la Global Witness limayalaumu baadhi ya makumpuni ya mbao barani Ulaya kwa kusaidia kufadhili vita nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, kupitia kusaidia kusaini mikataba ya fedha nyingi na makundi ya wapiganaji.

 

11 years ago

BBCSwahili

CAR:75 wauwa katika vita vya kidini

Kasisi mmoja katika Jamhuri ya Afrika ya kati anasema kuwa katika kipindi cha wiki moja takriban wakristo 75 wameuawa kutokana na ghasia baina ya vikundi vya kidini mjini Boda.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanawake waathiriwa na mihadarati TZ

Imeelezwa kuwa utumiaji wa dawa hizo miongoni mwa wanawake ni changamoto kubwa katika jamii,visiwani Zanzibar

 

10 years ago

BBCSwahili

Waathiriwa wa mabomu Mbagala walalama

Mkutano wa waandishi habari na Waathirika wa Mabomu ,umefanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Mbagala Kuu ,jijini Dar-Es-Salaam .

 

11 years ago

BBCSwahili

Waathiriwa wa ndege kupelekwa Ufaransa

Rais wa Ufaransa ameahidi kwamba mabaki ya raia 118 na wafanyikazi wa ndege ilioanguka Mali watapelekwa Ufaransa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mamia waathiriwa na pombe Kenya

Mamia ya Wakenya wameathirika na pombe na serikali imeanzisha mpango wa kuwarekebisha katika uwanja mmoja wa michezo

 

9 years ago

BBCSwahili

Chennai: Maelfu waathiriwa na mafuriko

Operesheni kubwa ya kuokoa watu waliokwama kutokana na mafuriko eneo la Chennai, jimbo la Tamil Nadu kusini mwa India inaendelea.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waathiriwa wa Osama kufidiwa Tanzania

Watanzania walioathirika na mlipuko wa mabomu katika ubalozi wa Marekani mjini Dar es Salaam wameshinda kesi yao na sasa watalipwa fidia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani