Kampuni za mbao zadaiwa kufadhili vita CAR
Kundi la kutetea haki la Global Witness limayalaumu baadhi ya makumpuni ya mbao barani Ulaya kwa kusaidia kufadhili vita nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, kupitia kusaidia kusaini mikataba ya fedha nyingi na makundi ya wapiganaji.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog24 Mar
Tanzania na Kenya watiliana saini makubaliano ya kupiga vita biashara haramu ya mbao na mazao ya misitu
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Misitu na Nyuki nchini Tanzania, Bi. Gladness Mkamba akifafanua jambo baada ya kutia saini makubaliano kati ya Tanzania na Kenya kupiga vita biashara haramu ya mbao pamoja na mazao ya misitu inayofanyika kupitia mipaka ya nchi hizo katika mkutano uliofanyika jijini Arusha na Kuandaliwa na Shirika la kimataifa la kulinda wanyama na viumbe hai World Wildlife Foundation (WWF) ambao ni waandaaji na washirika wa makubaliano hayo pamoja na shirika la TRAFFIC....
10 years ago
MichuziBALOZI KAMALA ATEMBELEA KAMPUNI INAYOTENGENGEZA NYUMBA ZA MBAO ZA GHARAMA NAFUU
11 years ago
BBCSwahili09 Jun
Waathiriwa wa vita CAR
11 years ago
BBCSwahili13 Jan
Waasi wasitisha vita Bangui, CAR
11 years ago
BBCSwahili04 Feb
CAR:75 wauwa katika vita vya kidini
10 years ago
Habarileo03 Jun
Taasisi za serikali zadaiwa bil.20/-
TAASISI mbalimbali za serikali nchini zinadaiwa jumla ya Sh bilioni 20 ikiwa ni malimbikizo ya madeni ya huduma ya maji, Bunge limefahamishwa.
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Wilaya 31 zadaiwa kuwapo na madini
9 years ago
Mwananchi01 Nov
Karatasi 480 za kura zadaiwa kutelekezwa
11 years ago
Habarileo06 Jan
Taasisi za Serikali zadaiwa bil.10/-za maji
TAASISI mbalimbali za Serikali, ikiwemo hospitali, majeshi na magereza, zinadaiwa na mamlaka za maji nchini zaidi ya Sh bilioni 10 ambazo ni malimbikizo ya ankara za maji.