Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wilaya 31 zadaiwa kuwapo na madini

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema, tathimini iliyofanywa na Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) imebaini kuwapo kwa madini ya aina mbalimbali katika wilaya 31 nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Muungano wa Tanzania ni kama haujawahi kuwapo

MKINZANO, mtifuano hata harakati tunazoshuhudia kwa sasa kuhusiana na muungano vinafichua kitu kimoja: Muungano wetu kama upo au uliwahi kuwapo basi ni wa watawala lakini si wa wananchi. Tuna sababu...

 

10 years ago

Mwananchi

Pinda akiri kuwapo uhaba wa hoteli

Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema pamoja na Tanzania kuwa na uhaba wa hoteli za kisasa kwa ajili ya watalii, Serikali haitaacha kunadi utalii na vivutio vyake vya ndani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TMA yatahadharisha kuwapo mvua, upepo mkali

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kuwapo kwa upepo mkali, mawimbi makubwa na mvua kubwa kati ya leo hadi Januari 16, mwaka huu. Kutokana na hali...

 

11 years ago

Mwananchi

Mangula akiri kuwapo kwa mpasuko TCD

Makamu mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Philip Mangula amesema kituo hicho kimekumbwa na mpasuko baada ya vyama vya Chadema na CUF kususia kikao kilichoitishwa Jumapili iliyopita.

 

10 years ago

Habarileo

Arusha pamoja na kuwapo chakula, udumavu asilimia 44

WAKATI kiwango cha udumavu wa watoto chini ya miaka mitano nchini kikifikia asilimia 42 kitaifa, hali ni mbaya zaidi katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini ukiwemo Mkoa wa Arusha ambao una asilimia 44 ya watoto chini ya miaka mitano wanaokabiliwa na tatizo hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

Kuundwa Tume Huru ya Uchaguzi kunasubiri kuwapo machafuko?

Kama kuna jambo ambalo limewafanya wananchi wengi kukuna vichwa kwa muda mrefu pasipo kupata majibu, ni kutoundwa kwa Tume Huru ya Uchaguzi kusimamia chaguzi mbalimbali na mchakato wa kupata Katiba Mpya katika ngazi zote zilizosalia, baada ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba kumaliza kazi yake rasmi wiki ijayo.

 

10 years ago

Habarileo

Taasisi za serikali zadaiwa bil.20/-

 Naibu Waziri wa Maji, Amos MakallaTAASISI mbalimbali za serikali nchini zinadaiwa jumla ya Sh bilioni 20 ikiwa ni malimbikizo ya madeni ya huduma ya maji, Bunge limefahamishwa.

 

9 years ago

Mwananchi

Karatasi 480 za kura zadaiwa kutelekezwa

Karatasi 480 za kura kwa ajili ya Rais na mbunge ambazo zimetumika zimedaiwa kutelekezwa karibu na Chuo cha Misitu (FITI) katika Kata ya Njoro Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro.

 

11 years ago

Habarileo

Taasisi za Serikali zadaiwa bil.10/-za maji

Profesa Jumanne MaghembeTAASISI mbalimbali za Serikali, ikiwemo hospitali, majeshi na magereza, zinadaiwa na mamlaka za maji nchini zaidi ya Sh bilioni 10 ambazo ni malimbikizo ya ankara za maji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani