Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muungano wa Tanzania ni kama haujawahi kuwapo

MKINZANO, mtifuano hata harakati tunazoshuhudia kwa sasa kuhusiana na muungano vinafichua kitu kimoja: Muungano wetu kama upo au uliwahi kuwapo basi ni wa watawala lakini si wa wananchi. Tuna sababu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO P. PINDA (MB), WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WAKATI WA KUHITIMISHA SHUGHULI ZA MKUTANO WA 16 NA 17 WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TAREHE 29 NOVEMBA, 2014

I:UTANGULIZI                                  a)Masuala ya jumla
Mheshimiwa Spika,1. Leo tunahitimisha shughuli za Mkutano wa Kumi na Sita na Kumi na Saba wa Bunge lako Tukufu.  Ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu mwenye wingi wa Rehema kwa kutufikisha salama siku ya leo.
Mheshimiwa Spika,2. Mkutano huu ulijumuisha kujadili kazi kubwa zifuatazo:
Kwanza: Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka 2015/2016;
Pili:Muswada wa Sheria ya Usimamizi wa Kodi wa Mwaka 2014 [The Tax Administration...

 

9 years ago

Michuzi

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI, AKIFUNGUA RASMI BUNGE JIPYA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, DODOMA, 20 NOVEMBA 2015

Mheshimiwa Spika;
Niko hapa leo kutimiza matakwa ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 91 Ibara ndogo ya kwanza inayonitaka kulihutubia na kulifungua rasmi Bunge hili. Naomba nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia uzima na afya njema, na kutuwezesha kuwepo hapa siku ya leo. Aidha nitumie fursa hii kuwakumbuka wenzetu ambao, kwa namna na nafasi mbalimbali, walishiriki katika mchakato wa uchaguzi huu na kwa bahati mbaya walipoteza maisha yao kabla ya mchakato haujakamilika. Kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Kama tutauenzi Muungano hatuna budi kusema kweli kuulinda

Katiba inayopendekezwa kwa mujibu wa maelekezo na matakwa ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba Sura ya 83 imekwisha kabidhiwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Jakaya Kikwete pamoja na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) Dk. Ali Mohamed Shein.

 

9 years ago

Bongo5

Timbaland kuachia mixtape yake Dec 25, itakuwa na wimbo wa Aaliyah ambao haujawahi kusikika

timbaland

Producer mkongwe ambaye pia ni rapper, Timbaland ametangaza ujio wa mixtape yake mpya ‘King Stays King’ ambayo anatarajia kuiachia kwenye sikukuu ya Krismas Dec.25 mwaka huu.

timbaland

Miongoni mwa nyimbo zitakazokuwemo kwenye mixtape hiyo ni pamoja na wimbo mpya wa muimbaji wa RnB marehemu Aaliyah ambao haukuwahi kutoka wala kusikika.

Mixtape hiyo itakayokuwa na nyimbo 16 itakuwa na nyimbo walizoshirikisha Young Thug, Rich Homie Quan, Mila J pamoja na Blaze.

“It’s been a while since I’ve been able...

 

11 years ago

Mwananchi

Wilaya 31 zadaiwa kuwapo na madini

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema, tathimini iliyofanywa na Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) imebaini kuwapo kwa madini ya aina mbalimbali katika wilaya 31 nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Pinda akiri kuwapo uhaba wa hoteli

Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema pamoja na Tanzania kuwa na uhaba wa hoteli za kisasa kwa ajili ya watalii, Serikali haitaacha kunadi utalii na vivutio vyake vya ndani.

 

11 years ago

Mwananchi

Mangula akiri kuwapo kwa mpasuko TCD

Makamu mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Philip Mangula amesema kituo hicho kimekumbwa na mpasuko baada ya vyama vya Chadema na CUF kususia kikao kilichoitishwa Jumapili iliyopita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani