Kama tutauenzi Muungano hatuna budi kusema kweli kuulinda
Katiba inayopendekezwa kwa mujibu wa maelekezo na matakwa ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba Sura ya 83 imekwisha kabidhiwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Jakaya Kikwete pamoja na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) Dk. Ali Mohamed Shein.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili06 Feb
Kenyatta:'Ni aibu lakini hatuna budi'
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Askofu Tutu: Viongozi wa dunia hatuna budi kumuenzi Mandela
11 years ago
Habarileo13 Mar
‘Watanzania wafikirie kuulinda Muungano’
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wassira amesema ni vyema Watanzania wakafikiria kudumisha Muungano kwa kutazama kero zilizoonekana miaka 50 iliyopita ikiwemo kero za watendaji, sheria na kuondoa kabisa kero zote ili kuweza kusonga mbele.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Bd_b8VT1dhU/Vh_UpZPNvQI/AAAAAAADA9o/ZIl07kYZWe8/s72-c/13.jpg)
MAGUFULI AHUTUBIA KISIWANI PEMBA LEO,AAHIDI KUULINDA MUUNGANO KWA NGUVU ZOTE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Bd_b8VT1dhU/Vh_UpZPNvQI/AAAAAAADA9o/ZIl07kYZWe8/s640/13.jpg)
Katika mkutano huo wa Kampeni,Dkt Magufuli ameahidi kuwa akichaguliwa kuwa Rais wa awamu ya tano,atadumisha na kuulinda Muungano wa Zanzibar na Tanganyika ulioanzishwa na Waasisi wetu akiwemo Baba wa Taifa Hayati Julius Kambarage Nyerere pamoja na Abeid...
9 years ago
Bongo514 Dec
Kama unapata hela huna budi kuwekeza kwenye muziki wako – Master J
![MasterJ](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/MasterJ-300x194.jpg)
Mtayarishaji mkongwe wa muziki na mwanzilishi wa MJ Records, Master J, amesema muziki wa Tanzania ulipofika ni wakati wa wasanii kujitambua na kwendana na wakati kuanzia kazi zao hadi muonekano kwa watu.
Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio wiki iliyopita, Master J alisema ni vizuri msanii awe na timu itakayomsaidia kuboresha muziki wake.
“Unajua kama msanii ukishafika level fulani kwenye jamii au soko lolote, kwenye macho ya watu umekuwa kama brand tuseme,...
11 years ago
Tanzania Daima30 Jul
Wawakilishi wawe mfano wa kusema kweli
MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP) wa Zanzibar, Ibrahim Mzee, hivi karibuni aliwataka watumishi wa umma kutokutoa maelezo ya uwongo kwa wajumbe wa Kamati za Baraza la Wawakilishi (BLW). Akitoa mada juu...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/fXC81QWTphU/default.jpg)
9 years ago
Bongo513 Oct
Young Killer atoa ufafanuzi kuhusu kama kweli amejiunga rasmi Mtu Chee, na kama ana beef na Young Dee baada ya kum-unfollow Instagram
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Kweli itashinda kesho kama leo haitoshi!
RAIS wangu kilio chako ulichokitoa Uchina, Dunia imekisikia na kwa watu wako wa Tanzania kimewafikia, lakini Ulimwengu unakitafakari kilio hicho! Baba kwanini ulikwenda kulilia kwa watu baki wasiokujua? Kama kazi...