Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waathiriwa wa mabomu Mbagala walalama

Mkutano wa waandishi habari na Waathirika wa Mabomu ,umefanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Mbagala Kuu ,jijini Dar-Es-Salaam .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Waathirika mabomu ya Mbagala walia fidia finyu

Wakazi wa Mbagala Kuu jijini Dar es Salaam walioathirika na milipuko ya mabomu mwaka 2009 kambi ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Mbagala, wakiwa na bango linalomfahamisha Rais juu ya fidia ndogo waliyolipwa baada ya nyumba zao kuharibiwa na milipuko hiyo. (Picha na Yusuf Badi).ZAIDI ya waathirika 1,000 milipuko ya mabomu Mbagala, wameomba Serikali kuingilia kati na kuwasaidia, ili wapate fidia inayostahili kutokana na mali na vitu vyao vilivyoharibiwa wakati wa mlipuko huo Aprili 2009.

 

11 years ago

Mwananchi

Waathirika mabomu ya Mbagala waishinda Serikali mahakamani

>Waathirika wa mabomu yaliyolipuka Mbagala na kusababisha vifo na uharibifu mkubwa wa mali za wananchi, wameibwaga Serikali mahakamani baada ya kushinda pingamizi la Serikali dhidi ya kesi yao.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanariadha wa Kenya walalama Scotland.

Kikosi cha Kenya katika mashindao ya Jumuiya ya madola mjini Glascow kinakabiliwa na wakati mgumu kutokana na ukosefu wa vifaa

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wamiliki wa mabasi Tanga walalama

WADAU wa sekta ya usafiri wameilalamikia Halmashauri ya Jiji la Tanga kutowashirikisha katika mchakato wa kuanzisha stendi mpya ya mabasi. Hatua hiyo inatokana na kuwekwa kwa jiwe la msingi na...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wakaazi wa Dar walalama kuhusu usafiri TZ

Watu wengi hutumia mabasi madogo kusafiri kutoka eneo moja hadi jingine mjini Dar Es Salaam nchini Tanzania.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Israel kutoka Ethiopia walalama

Polisi wa Israeli waliokuwa wakitumia farasi, walikabiliana vikali na waandamanaji, wakati wa makabiliano katikati mwa mji wa Tel Aviv.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima walalama kuuziwa dawa feki

WAKULIMA kutoka maeneo ya Mbinga, Mpanda, Kigoma na Bukoba wameilalamikia Wizara ya Kilimo na Chakula kwa kuwaruhusu baadhi ya wafanyabiashara kuuza dawa feki za kilimo. Wakizungumza na waandishi wa habari...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wasomali walalama kufungwa kwa Hawala Kenya

Wasomali nchini Kenya wamelalamikia vikali hatua ya serikali nchini humo kufunga mashirika 13 ya ubadilishaji wa sarafu za kigeni

 

10 years ago

Mwananchi

Wagonjwa walalama uhaba wa dawa, huduma duni

Mikoani. Uhaba wa dawa unaozikabili hospitali mbalimbali za Serikali nchini, umesababisha kilio kutoka kwa wagonjwa ambao wamekuwa wakifika kutafuta tiba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani