Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waathirika mabomu ya Mbagala walia fidia finyu

Wakazi wa Mbagala Kuu jijini Dar es Salaam walioathirika na milipuko ya mabomu mwaka 2009 kambi ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Mbagala, wakiwa na bango linalomfahamisha Rais juu ya fidia ndogo waliyolipwa baada ya nyumba zao kuharibiwa na milipuko hiyo. (Picha na Yusuf Badi).ZAIDI ya waathirika 1,000 milipuko ya mabomu Mbagala, wameomba Serikali kuingilia kati na kuwasaidia, ili wapate fidia inayostahili kutokana na mali na vitu vyao vilivyoharibiwa wakati wa mlipuko huo Aprili 2009.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Waathirika mabomu ya Mbagala waishinda Serikali mahakamani

>Waathirika wa mabomu yaliyolipuka Mbagala na kusababisha vifo na uharibifu mkubwa wa mali za wananchi, wameibwaga Serikali mahakamani baada ya kushinda pingamizi la Serikali dhidi ya kesi yao.

 

11 years ago

Mwananchi

Waathirika wa milipuko ya Osama Dar wafurahia fidia

 Baadhi ya wanafamilia wa waliopoteza ndugu kwenye shambulio la ugaidi katika Ubalozi wa Marekani jijini Dar es Salaam mwaka 1998, wameelezea kufarijika kutokana na malipo ya fidia, licha ya kwamba hayawezi kurejesha uhai wa waliokufa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waathiriwa wa mabomu Mbagala walalama

Mkutano wa waandishi habari na Waathirika wa Mabomu ,umefanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Mbagala Kuu ,jijini Dar-Es-Salaam .

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanajeshi mabomu ya Gongo la mboto wakumbusha fidia

WANAJESHI 82 wa Kambi ya 511 ya Kikosi cha Jeshi waliopoteza mali zao binafsi katika tukio la mlipuko wa mabomu Gongo la Mboto, Dar es Salaam, wameiomba Wizara ya Ulinzi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jaji Mkuu alia bajeti finyu

WAKATI Rais Jakaya Kikwete akiwataka majaji na mahakimu kumaliza kesi kwa wakati, Jaji Mkuu, Chande Othman, amelalamikia bajeti ya Mahakama kucheleweshwa. Jaji Mkuu alitoa kilio hicho juzi mbele ya Kamati...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bajeti finyu yakwamisha ujenzi barabara

SERIKALI haina mpango wa kuijenga kwa kiwango cha lami barabara ya kutoka Kivukoni Kinesi hadi Makutano Kinesi kupitia Kuruya katika barabara kuu ya Mwanza hadi Sirari kutokana na ufinyu wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Bajeti finyu yakwamisha ufunguaji mabaraza

SERIKALI imesema ukosefu wa bajeti ya kutosha umesababisha kushindwa kutekeleza mpango wa kufungua mabaraza ya ardhi kila kata au wilaya. Hayo yalielezwa bungeni jana na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba...

 

10 years ago

BBCSwahili

TZ: Wengi wana uelewa finyu kuhusu HIV

Baadhi ya jamii ya wananchi hawana uelewa kuhusu elimu ya utoaji huduma za virusi vya ukimwi na uzuiaji virusi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mfuko wa fidia kwa wafanyakazi kusimamia Haki ya Fidia kwa wafanyakazi

MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, WCF, Masha Mshomba, akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari makao makuu ya Mfuko huo barabara ya Bagamoyyo jijini Dar es Salaam, Agosti 16, 2015. Mfuko huo ulioanzishwa kwa sheria ya bunge namba 20 kifungu cha 5 ya mwaka 2008, una madhumuni ya kutoa fidia kwa Wafanyakazi kutokana na ulemavu au vifo viinavyosababishwa na ajali au magonjwa yatokanayo na kazi sambamba na kukuza mbinu za kuzuia matukio ya ajali, alisema. (Picha na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani