Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waathirika wa milipuko ya Osama Dar wafurahia fidia

 Baadhi ya wanafamilia wa waliopoteza ndugu kwenye shambulio la ugaidi katika Ubalozi wa Marekani jijini Dar es Salaam mwaka 1998, wameelezea kufarijika kutokana na malipo ya fidia, licha ya kwamba hayawezi kurejesha uhai wa waliokufa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Waathirika mabomu ya Mbagala walia fidia finyu

Wakazi wa Mbagala Kuu jijini Dar es Salaam walioathirika na milipuko ya mabomu mwaka 2009 kambi ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Mbagala, wakiwa na bango linalomfahamisha Rais juu ya fidia ndogo waliyolipwa baada ya nyumba zao kuharibiwa na milipuko hiyo. (Picha na Yusuf Badi).ZAIDI ya waathirika 1,000 milipuko ya mabomu Mbagala, wameomba Serikali kuingilia kati na kuwasaidia, ili wapate fidia inayostahili kutokana na mali na vitu vyao vilivyoharibiwa wakati wa mlipuko huo Aprili 2009.

 

10 years ago

TheCitizen

Did intel from Dar lead US to Osama?

>Did information that led to the killing of Osama bin Laden in Pakistan in May 2011, originate from an informer in Dar es Salaam? This is the question begging an answer following new claims that a man who tipped off the US security agencies about the whereabouts of bin Laden in Dar es Salaam is now demanding his reward of $27 million.

 

11 years ago

Habarileo

Dar yachangia waathirika wa mafuriko Moro

KAMATI ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Dar es Salaam, imetoa msaada wa zaidi ya Sh milioni 117 kwa waathirika wa mafuriko yaliyotokea hivi karibuni na kusababisha kukatika kwa daraja linalounganisha Mkoa wa Morogoro na Dodoma. Misaada iliyotolewa ni pamoja na magodoro 450, vyakula, maji pamoja na mahitaji mengine muhimu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vijana 1,526 waathirika na dawa za kulevya Dar

JUMLA ya vijana 1,526 mkoani Dar es Salaam wanapatiwa huduma ya matibabu yaliyotokana na athari za matumizi ya dawa za kulevya. Kauli hiyo ilitolewa jana na Waziri wa Uchukuzi, Dk....

 

9 years ago

Global Publishers

Hoyce Temu ajumuika na waathirika wa ukoma Dar

1
2Hoyce Temu  akiongozana na kamati nzima ya Miss Tanzania kuelekea kwenye ukumbi wa Nungwi ambapo kuna  kambi ya wagonjwa wa ukoma.45…Akizungumza na baadhi ya wazee ambao ni kati ya  waathirika  wa ukoma.6…Akiwa na mzee mmoja anayeishi kituoni hapo.7
9 …Akichanganya dawa na Tausi Mwenda, mke wa aliyekuwa Meya wa Kinondoni, Yusuph Mwenda, kwa ajili ya kuulia wadudu.1011 …Akipulizia dawa  kwenye vyumba vya waathirika hao.12Tausi Mwenda (mwenye shati nyeupe) akiwa ameshika maji kwa ajili ya waathirika hao.13

 

11 years ago

Mwananchi

Malipo ya fidia yawatoa machozi wananchi Dar

>Wananchi wa Mji Mpya Majohe, Guluka Kwalala na Ulongoni katika Manispaa ya Ilala  wameiomba Serikali kuingilia kati na kumwamuru mwekezaji wa ujenzi wa njia ya umeme wa  kilovoti 220 kutoka Somanga Mtama  mpaka Kinyerezi, Kilwa Enegy kuwalipa gharama zinazoendana na hali ya maisha ya sasa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mfuko wa fidia kwa wafanyakazi (WCF), wakutana na wahariri, Dar

MKURUGENZI Mkuu wa kwanza wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, (WCF), Masha Mshomba, akiwasilisha mada wakati wa warsha iliyoandaliwa na Mfuko huo kwa Wahariri kwenye Hoteli ya Court Yard jijini Dar es Salaam, Julai 22, 2015

Na K-VIS MEDIA

MFUKO wa Fidia Kwa Wafanyakazi, (WCF), umekutana na Wahariri wa vyombo vya Habari nchini, kwenye Hoteli ya Court Yard jijini Dar es Salaam, Julai 22, 2015, kwa nia ya kujitambulisha na kuelezea mikakati yake ya kiutendaji na majukumu iliyo...

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete akagua waathirika wa Mafuriko Buguruni jijini dar leo

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Mack Sadik akimuonesha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete mfereji ulioziba kutokana na uchafu na kusababisha mafuriko katika makazi ya watu eneo la Buguruni Mnyamani jijini Dar es Salaam leo.Rais Kikwete na Mama Salma Kikwete wakipita katika mitaa mbalimbali ya Buguruni leo wakati wa zoezi la kuwafariji waathirika wa mafuriko huko Buguruni Mnyamani leo.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimsalimia mtoto Irene ambaye nyumba yao imeathiriwa na mafuriko huko Buguruni...

 

10 years ago

Michuzi

MFUKO WA FIDIA KWA WAFANYAKAZI (WCF), WAKUTANA NA WAHARIRI, DAR ES SALAAM


 MKURUGENZI Mkuu wa kwanza wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, (WCF), Masha Mshomba, akiwasilisha mada wakati wa warsha iliyoandaliwa na Mfuko huo kwa Wahariri kwenye Hoteli ya Court Yard jijini Dar es Salaam, Julai 22, 2015
 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, (SSRA), Irine Isaka, akifungua warsha hiyo Mhariri Shemax Ngahamera akizungumza kwenye warsha hiyo Mhariri wa vipindi wa ITV/Radio One, Steven Chuwa, (kulia), na Mhariri Mtendaji wa EFM, Scolastica Mazula,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani