Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bajeti finyu yakwamisha ufunguaji mabaraza

SERIKALI imesema ukosefu wa bajeti ya kutosha umesababisha kushindwa kutekeleza mpango wa kufungua mabaraza ya ardhi kila kata au wilaya. Hayo yalielezwa bungeni jana na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Bajeti finyu yakwamisha ujenzi barabara

SERIKALI haina mpango wa kuijenga kwa kiwango cha lami barabara ya kutoka Kivukoni Kinesi hadi Makutano Kinesi kupitia Kuruya katika barabara kuu ya Mwanza hadi Sirari kutokana na ufinyu wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mabomba yakwamisha ufunguaji barabara Dar

MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imesema kutokamilika kwa barabara ya Posta ya zamani hadi Kivukoni, Dar es Salaam kumekwamishwa na mabomba ya maji taka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jaji Mkuu alia bajeti finyu

WAKATI Rais Jakaya Kikwete akiwataka majaji na mahakimu kumaliza kesi kwa wakati, Jaji Mkuu, Chande Othman, amelalamikia bajeti ya Mahakama kucheleweshwa. Jaji Mkuu alitoa kilio hicho juzi mbele ya Kamati...

 

11 years ago

Tanzania Daima

SUMATRA kufuatilia ufunguaji barabara

MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) imepanga kuwafuata Wakala wa Usafiri wa Haraka (DART) kujua lini wataifungua barabara ya Posta hadi Kivukoni ambayo waliahidi itakamilika...

 

11 years ago

Habarileo

Waathirika mabomu ya Mbagala walia fidia finyu

Wakazi wa Mbagala Kuu jijini Dar es Salaam walioathirika na milipuko ya mabomu mwaka 2009 kambi ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Mbagala, wakiwa na bango linalomfahamisha Rais juu ya fidia ndogo waliyolipwa baada ya nyumba zao kuharibiwa na milipuko hiyo. (Picha na Yusuf Badi).ZAIDI ya waathirika 1,000 milipuko ya mabomu Mbagala, wameomba Serikali kuingilia kati na kuwasaidia, ili wapate fidia inayostahili kutokana na mali na vitu vyao vilivyoharibiwa wakati wa mlipuko huo Aprili 2009.

 

10 years ago

BBCSwahili

TZ: Wengi wana uelewa finyu kuhusu HIV

Baadhi ya jamii ya wananchi hawana uelewa kuhusu elimu ya utoaji huduma za virusi vya ukimwi na uzuiaji virusi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto.

 

10 years ago

GPL

SHEREHE ZA UFUNGUAJI WA MAJENGO YA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI UFARANSA‏

Rais Kikwete akiongea na wageni waalikwa. Waziri Membe akisoma muhtasari wa majengo hayo.…

 

10 years ago

Michuzi

KAIMU MKURUGENZI BOHARI YA DAWA (MSD), AZUNGUMZIA UFUNGUAJI MADUKA YAO KARIBU NA WANANCHI


 Kaimu Mkurugenzi wa Bohari ya Dawa (MSD), akimuelekeza jambo Ofisa Uhusiano wa MSD, Benjamin Massangya (kulia), katika maonyesho ya wiki ya utumishi wa umma katika viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kaimu Mkurugenzi wa Bohari ya Dawa (MSD), Cosmas Mwaifwani (kushoto), akizungumza na John Chale kuhusu kazi mbalimbali zinazpfanywa na MSD baada ya kutembelea banda la MSD katika maonyesho ya wiki ya utumishi wa umma katika viwanja vya Mnazi Mmoja mwishoni mwa wiki.Kwa...

 

10 years ago

Mtanzania

Escrow yakwamisha miradi

Na Jonas Mushi, Dar es Salaam
SAKATA la uchotwaji wa fedha katika Akaunti ya Tegeta Escrow, limechangia kukwamisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya mwaka 2014/15.
Hatua hiyo imesababisha hadi kufikia Machi mwaka huu, ni asilimia 38 tu ya miradi ndiyo iliyotekelezwa.
Hayo yalibainishwa jana na Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Dk. Philip Mpango, wakati akihojiwa na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti.
Kamati hiyo iliitaka Tume ya Mipango kutoa sababu za kutotekelezeka kwa miradi huku...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani