Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabomba yakwamisha ufunguaji barabara Dar

MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imesema kutokamilika kwa barabara ya Posta ya zamani hadi Kivukoni, Dar es Salaam kumekwamishwa na mabomba ya maji taka...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Bajeti finyu yakwamisha ufunguaji mabaraza

SERIKALI imesema ukosefu wa bajeti ya kutosha umesababisha kushindwa kutekeleza mpango wa kufungua mabaraza ya ardhi kila kata au wilaya. Hayo yalielezwa bungeni jana na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba...

 

11 years ago

Tanzania Daima

SUMATRA kufuatilia ufunguaji barabara

MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) imepanga kuwafuata Wakala wa Usafiri wa Haraka (DART) kujua lini wataifungua barabara ya Posta hadi Kivukoni ambayo waliahidi itakamilika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bajeti finyu yakwamisha ujenzi barabara

SERIKALI haina mpango wa kuijenga kwa kiwango cha lami barabara ya kutoka Kivukoni Kinesi hadi Makutano Kinesi kupitia Kuruya katika barabara kuu ya Mwanza hadi Sirari kutokana na ufinyu wa...

 

11 years ago

GPL

UCHONGAJI WA BARABARA WAKATA MABOMBA YA MAJI KIJITONYAMA

    Mkazi wa Kijitonyama akishuhudia tingatinga likiyakata mabomba yao.
    Tingatinga likiendelea na uchongaji wa barabara huku mkazi mmojawapo akiwa na vyombo vya kutekea maji.
    Mpira wa bomba mojawapo ukitiririsha maji.…

 

11 years ago

GPL

YADI YA MABOMBA YA GESI KONGOWE DAR YAFUNIKWA NA MAJI

Kutokana na hali hiyo magari yamefunikwa na maji, hivyo kusababisha kazi kusimama na wigo uliozungushiwa mabati kubomoka na 'mateja' kujitwalia mabati hayo, hivyo kuwa neema kwao. Wakati huo huo usafiri wa mabasi kutoka Mbagala kwenda Kongowe umesimama kutokana na magari mengi kuzimika katikakati ya barabara hiyo, hivyo hivi sasa kuna msururu wa watu wanaotembea kwa miguu kwenda Kongowe au kutoka Kongowe kwenda Mbagala. ...

 

11 years ago

Michuzi

KONGAMANO LA MAJI LAFANYIKA JIJINI DAR,WADAU WAJIONEA TEKNOLOJIA MPYA YA MABOMBA

Wiki hii jijini Dar es salaam kumefanyika Kongamano kubwa la wadau wa maji kutoka kila kona ya nchi hii. kubwa lililofanyiwa kazi na wataalam hao wa maji ni kujulishwa teknolojia mpya ya mabomba iliyokuwa inatambulishwa na kampuni kubwa ya teknolojia ya mambomba ya Borouge kutoka Falme za Kiarabu. 
Borouge ilileta wataalam wanne ambao ni Mario Andrade, Farraj Tashman, Andrew Wedgner na Reda Ashkar. walionufaika na mafunzo hayo ni waliotoka Mamlaka za Maji mijini na vijiji, Wahandisi,...

 

11 years ago

Michuzi

shehena ya mwisho ya mabomba kwa ajili ya ujenzi wa bomba la gesi yawasili dar

 Katibu mkuu wizaraya Nishati na Madini, Eliakim Maswi (Watatu kushoto), akizungumza jambo na Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, Victor Mwambalaswa (Wanne kushoto), wakati kamati hiyo ilipotembelea bandari ya Dar es Salaam mwishoni mwa wiki kujionea kazi ya upakuaji vifaa vya ujenzi na kupokea shehena ya mwisho ya mabomba ya kupitishia gesi. Wengine ni wajumbe wa kamati hiyo, Raha Mohammed (Kulia), Richard Ndasa (Wapili kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo...

 

11 years ago

Michuzi

DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM

Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli katikati akiwa na Balozi wa Japan Nchini Masaki Okada kulia wakipita juu ya Daraja la Lugalo mara baada ya kulikagua katika ziara ya Ukaguzi wa Barabara ya Mwenge Tegeta jijini Dar es salaam leo.

 Balozi wa Japan nchini Ndugu Masaki Okada akiwa na Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa Said Meck Sadick wakipanda ngazi za daraja la juu la watembea kwa miguu flyover Ubungo...

 

11 years ago

Michuzi

KONGAMANO LA MAJI LAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM, WADAU WAJIONEA TEKNOLOJIA MPYA YA MABOMBA

WIKI HII JIJINI DAR ES SALAAM KUMEFANYIKA KONGAMANO KUBWA LA WADAU WA MAJI KUTOKA KILA KONA YA NCHI HII.  KUBWA LILILOFANYIWA KAZI NA WATAALAM HAO WA MAJI NI KUJULISHWA TEKNOLOJIA MPYA YA MABOMBA ILIYOKUWA INATAMBULISHWA NA KAMPUNI KUBWA YA TEKNOLOJIA YA MAMBOMBA YA BOROUGE KUTOKA FALME ZA KIARABU.  BOROUGE ILILETA WATAALAM WANNE AMBAO NI MARIO ANDRADE, FARRAJ TASHMAN, ANDREW WEDGNER AND REDA ASHKAR. WALIONUFAIKA NA MAFUNZO HAYO NI WALIOTOKA MAMLAKA ZA MAJI MIJINI NA VIJIJI, WAHANDISI,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani