UCHONGAJI WA BARABARA WAKATA MABOMBA YA MAJI KIJITONYAMA
   Mkazi wa Kijitonyama akishuhudia tingatinga likiyakata mabomba yao.    Tingatinga likiendelea na uchongaji wa barabara huku mkazi mmojawapo akiwa na vyombo vya kutekea maji.    Mpira wa bomba mojawapo ukitiririsha maji.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ShxwJaAFr8Y/UySFYWh5qrI/AAAAAAAFTpg/sKvyNnevnzY/s72-c/unnamed+(13).jpg)
Rotary Club Dar es Salaam wazindua mabomba ya maji safi na salama ya kunywa katika Shule ya msingi ya Kijitonyama
![](http://1.bp.blogspot.com/-ShxwJaAFr8Y/UySFYWh5qrI/AAAAAAAFTpg/sKvyNnevnzY/s1600/unnamed+(13).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
Mabomba yakwamisha ufunguaji barabara Dar
MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imesema kutokamilika kwa barabara ya Posta ya zamani hadi Kivukoni, Dar es Salaam kumekwamishwa na mabomba ya maji taka...
10 years ago
GPLUJENZI BARABARA YA POLISI KIJITONYAMA WASUASUA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
YADI YA MABOMBA YA GESI KONGOWE DAR YAFUNIKWA NA MAJI
5 years ago
Michuzi![](https://2.bp.blogspot.com/-NSUYF4Gfpu0/Xm9-i4D9wnI/AAAAAAAA2_Q/Oz7CM0DI8nM5qEtMFchWZolRMag5VSsEwCNcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200316-WA0109.jpg)
SHUWASA YATOA UFAFANUZI MABOMBA YA MAJI KUPASUKA SHINYANGA
![](https://2.bp.blogspot.com/-NSUYF4Gfpu0/Xm9-i4D9wnI/AAAAAAAA2_Q/Oz7CM0DI8nM5qEtMFchWZolRMag5VSsEwCNcBGAsYHQ/s640/IMG-20200316-WA0109.jpg)
Kushoto ni Mkurugenzi wa SHUWASA Flaviana Kifizi akiangalia bomba la maji lililopasuka katika eneo la Kata ya Masekelo jirani na Mto Kidalu leo Jumatatu Machi 16,2020.
Na Marco Maduhu - Shinyanga
Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Shinyanga (SHUWASA),imetolea ufafanuzi kukithiri kwa upasukaji wa mabomba ya maji kuwa tatizo ni kubwa ni wananchi kupunguza matumizi ya maji hasa kipindi hiki cha Mvua hali inayosababisha mgandamizo mkubwa wa maji na hatimaye bomba kupasuka.
Hayo...
11 years ago
MichuziKATIBU MKUU WIZARA YA MAJI AJIONEA UHARIBIFU MKUBWA WA MABOMBA JANGWANI
Mabomba hayo ya inchi 16 yenye urefu wa mita 12 yamezolewa na maji kutokana na athari iliyoletwa na mvua kubwa ya mwishoni mwa wiki inayoendelea jijini Dar es Salaam.
“Ni athari kubwa ambayo imesababishwa na mvua hii na mpaka kukata mabomba ya maji, ni muda mrefu tangu mvua ya aina huu kutokea Dar es Salaam”, alisema ...
11 years ago
Michuzi07 Feb
KIJITONYAMA SASA WALIA KWA KUKOSA UMEME NA MAJI
Ila kwa sasa matatizo yetu yameongezeka maana kwa muda wa siku tatu sasa tunalala usiku bila ya huduma ya umeme na mchana tunaupata kwa mgao.
Kwa kweli wakazi wa maeneo haya tunateseka sana na huduma hizi mbili na hakuna maelezo yeyote kutoka kwa wahusika. Tunaomba mawaziri husika watusaidie kama sio kupata huduma hizo basi angalau...
11 years ago
MichuziKONGAMANO LA MAJI LAFANYIKA JIJINI DAR,WADAU WAJIONEA TEKNOLOJIA MPYA YA MABOMBA
Borouge ilileta wataalam wanne ambao ni Mario Andrade, Farraj Tashman, Andrew Wedgner na Reda Ashkar. walionufaika na mafunzo hayo ni waliotoka Mamlaka za Maji mijini na vijiji, Wahandisi,...