KIJITONYAMA SASA WALIA KWA KUKOSA UMEME NA MAJI
Uncle tumekua tukilia kilio cha muda mrefu huku kwa Ali maua Kijitonyama kuhusu tatizo la Maji, mara ya mwisho tumepata huduma hii wiki tatu zilizopita.
Ila kwa sasa matatizo yetu yameongezeka maana kwa muda wa siku tatu sasa tunalala usiku bila ya huduma ya umeme na mchana tunaupata kwa mgao.
Kwa kweli wakazi wa maeneo haya tunateseka sana na huduma hizi mbili na hakuna maelezo yeyote kutoka kwa wahusika.
Tunaomba mawaziri husika watusaidie kama sio kupata huduma hizo basi angalau...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwKT9OO7kEfljf2VdFI7EeN8ZoqyEvWomoVKe5cQLnKXmh1Nz3J3ydV9lABlZNAZDdqPy6XzEc*uUARlBdN81vbo/Kawawa.jpg?width=650)
NAMTUMBO: WANANCHI WALIA NA KERO YA UMEME, MADARASA, MAJI NA BARABARA
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Sumbawanga walia kukosa madawati
5 years ago
StarTV19 Feb
Wananchi waandamana kukosa maji baada ya mhudumu wa maji kukamatwa na DC
11 years ago
GPLUCHONGAJI WA BARABARA WAKATA MABOMBA YA MAJI KIJITONYAMA
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/1.Barabara-ya-Kawawa-maeneo-ya-Kinondoni-Biafra-hali-ilivyoonekana..jpg?width=650)
KISA UCHAGUZI...MADEREVA DALADALA DAR WALIA KUKOSA ABIRIA
10 years ago
Vijimambo23 Apr
KINDA WA ARSENAL ALIESHINDWA KUITUMIA TIMU HIYO KWA KUKOSA KIBALI SASA RUKSA.
![](http://www.tanzaniasports.com/wp-content/uploads/2015/04/Wellington-Silva-634x400.jpg)
Silva sasa ruksa Arsenal
Baada ya kushindwa kucheza Arsenal kwa miaka minne kutokana na tatizo la kibali cha kazi, Mbrazili Wellington Silva sasa njia ni nyeupe.
Silva (22) alisajiliwa na Arsenal kutoka Fluminense tangu 2011 lakini akashindwa kucheza kwa vile hakupewa kibali cha kazi kwa vile hakuwa na uzoefu mkubwa na anatoka nje ya Umoja wa Ulaya (EU).Walichofanya Arsenal ni kumpeleka kwa mkopo katika klabu tano tofauti za Hispania (imo kwenye AU) na sasa baada ya miaka minne amepewa uraia...
11 years ago
Habarileo30 Dec
‘Miradi ya umeme kwa maji kutoanzishwa’
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema serikali haitaanzisha miradi ya kufua umeme kwa njia ya maji nchini kutokana na nchi kukumbwa na ukame unaotokana na mabadiliko ya tabia nchi.
10 years ago
Mwananchi21 Sep
Tanesco wajivunia uzalishaji wa umeme kwa maji
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Tanesco: Mgawo wa umeme kwa sasa hauzuiliki