Sumbawanga walia kukosa madawati
Baadhi ya wanafunzi wa shule za msingi katika Manispaa ya Sumbawanga Mkoa wa Rukwa wanalazimika kukaa sakafuni kutokana na halmashauri hiyo kukabiliwa na upungufu wa madawati 6490.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi07 Feb
KIJITONYAMA SASA WALIA KWA KUKOSA UMEME NA MAJI
Ila kwa sasa matatizo yetu yameongezeka maana kwa muda wa siku tatu sasa tunalala usiku bila ya huduma ya umeme na mchana tunaupata kwa mgao.
Kwa kweli wakazi wa maeneo haya tunateseka sana na huduma hizi mbili na hakuna maelezo yeyote kutoka kwa wahusika. Tunaomba mawaziri husika watusaidie kama sio kupata huduma hizo basi angalau...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/1.Barabara-ya-Kawawa-maeneo-ya-Kinondoni-Biafra-hali-ilivyoonekana..jpg?width=650)
KISA UCHAGUZI...MADEREVA DALADALA DAR WALIA KUKOSA ABIRIA
11 years ago
Habarileo14 Feb
Vibaka tishio Sumbawanga
WAKAZI wa Mji wa Sumbawanga mkoani hapa waishio maeneo ya Majengo walilitaka Jeshi la Polisi kufanya doria za mara kwa mara za usiku ili kukabiliana na visa vya kihalifu vilivyokithiri sasa katika maeneo hayo. Wengi waliohojiwa na mwandishi wa habari hizi kwa masharti ya majina yao kutoandikwa gazetini, wamekiri kuongezeka kwa visa vya kihalifu katika maeneo hayo nyakati za usiku vikiwemo ukabaji , ubakaji na uvunjaji wa nyumba.
11 years ago
Habarileo30 May
Kata K marufuku Sumbawanga
MKUU wa Wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa, Mathew Sedoyeka amepiga marufuku kwa kijana yeyote wa kiume mahali popote wilayani humo kuvaa suruali kwa staili ya Kata K.
9 years ago
Habarileo04 Nov
Sumbawanga yatathmini uharibifu wa mvua
KAMATI ya Maafa Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa bado inaendelea kutathmini uharibifu wa mali na makazi uliosababishwa na mvua kubwa iliyonyesha katika Mji wa Sumbawanga Jumapili ikiambatana na upepo mkali, imeelezwa.
9 years ago
Mwananchi18 Dec
CCM kuongoza Manispaa ya Sumbawanga
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Sumbawanga yaelemewa na taka ngumu
HALMASHAURI ya Manispaa ya Sumbawanga imezidiwa na mzigo wa uzoaji wa taka ngumu kutoka eneo lililotengwa kwa ajili ya kukusanyia kutokana na uzalishaji wake kuwa mkubwa kuliko ilivyotarajiwa. Hali hiyo...
11 years ago
Daily News31 Jan
Sumbawanga man killed over witchcraft
Daily News
A MPONDA villager, Sekule Mpupo (85), was beaten to death by a mob in Sumbawanga Municipality after being accused of practicing witchcraft. The Rukwa Police Commander, Jacob Mwaruanda, confirmed the death which occurred in the village on ...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Ghoa1QUm7TA/VdybRc19stI/AAAAAAAC-CA/ISG0Ifn31xE/s72-c/_MG_6249.jpg)
PICHA ZINGINE MAGUFULI SUMBAWANGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ghoa1QUm7TA/VdybRc19stI/AAAAAAAC-CA/ISG0Ifn31xE/s640/_MG_6249.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BsaIiqPuEfU/VdybQoxK4EI/AAAAAAAC-B0/JMDNIDl8J9w/s640/_MG_6257.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_vLuCwXZnXQ/VdykXchDPxI/AAAAAAAC-Dw/NRmG7HmOFEo/s640/_MG_6285.jpg)