Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sumbawanga walia kukosa madawati

Baadhi ya wanafunzi wa shule za msingi katika Manispaa ya Sumbawanga Mkoa wa Rukwa wanalazimika kukaa sakafuni kutokana na halmashauri hiyo kukabiliwa na upungufu wa madawati 6490.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

KIJITONYAMA SASA WALIA KWA KUKOSA UMEME NA MAJI

Uncle tumekua tukilia kilio cha muda mrefu huku kwa Ali maua Kijitonyama kuhusu tatizo la Maji, mara ya mwisho tumepata huduma hii wiki tatu zilizopita.
Ila kwa sasa matatizo yetu yameongezeka maana kwa muda wa siku tatu sasa tunalala usiku bila ya huduma ya umeme na mchana tunaupata kwa mgao.
Kwa kweli wakazi wa maeneo haya tunateseka sana na huduma hizi mbili na hakuna maelezo yeyote kutoka kwa wahusika. Tunaomba mawaziri husika watusaidie kama sio kupata huduma hizo basi angalau...

 

9 years ago

GPL

KISA UCHAGUZI...MADEREVA DALADALA DAR WALIA KUKOSA ABIRIA

Barabara ya Kawawa maeneo ya Kinondoni-Biafra hali ilivyoonekana, watu wachache barabarani. Watu wakionekana wachache tofauti na siku za kawaida. Hapa ni maeneo ya Kinondoni-Studio. Barabara ya Morogoro eneo la Magomeni-Mwembechai ikionekana kutokuwa na watu au…

 

11 years ago

Habarileo

Vibaka tishio Sumbawanga

WAKAZI wa Mji wa Sumbawanga mkoani hapa waishio maeneo ya Majengo walilitaka Jeshi la Polisi kufanya doria za mara kwa mara za usiku ili kukabiliana na visa vya kihalifu vilivyokithiri sasa katika maeneo hayo. Wengi waliohojiwa na mwandishi wa habari hizi kwa masharti ya majina yao kutoandikwa gazetini, wamekiri kuongezeka kwa visa vya kihalifu katika maeneo hayo nyakati za usiku vikiwemo ukabaji , ubakaji na uvunjaji wa nyumba.

 

11 years ago

Habarileo

Kata K marufuku Sumbawanga

MKUU wa Wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa, Mathew Sedoyeka amepiga marufuku kwa kijana yeyote wa kiume mahali popote wilayani humo kuvaa suruali kwa staili ya Kata K.

 

9 years ago

Habarileo

Sumbawanga yatathmini uharibifu wa mvua

KAMATI ya Maafa Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa bado inaendelea kutathmini uharibifu wa mali na makazi uliosababishwa na mvua kubwa iliyonyesha katika Mji wa Sumbawanga Jumapili ikiambatana na upepo mkali, imeelezwa.

 

9 years ago

Mwananchi

CCM kuongoza Manispaa ya Sumbawanga

Hatimaye meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa amepatikana jana baada ya Chadema kukubali kushiriki kupiga kura.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sumbawanga yaelemewa na taka ngumu

HALMASHAURI ya Manispaa ya Sumbawanga imezidiwa na mzigo wa uzoaji wa taka ngumu kutoka eneo lililotengwa kwa ajili ya kukusanyia kutokana na uzalishaji wake kuwa mkubwa kuliko ilivyotarajiwa. Hali hiyo...

 

11 years ago

Daily News

Sumbawanga man killed over witchcraft


Sumbawanga man killed over witchcraft
Daily News
A MPONDA villager, Sekule Mpupo (85), was beaten to death by a mob in Sumbawanga Municipality after being accused of practicing witchcraft. The Rukwa Police Commander, Jacob Mwaruanda, confirmed the death which occurred in the village on ...

 

9 years ago

Vijimambo

PICHA ZINGINE MAGUFULI SUMBAWANGA

 Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM,Mhe. Mizengo Pinda akimtambulisha mgombea Urais wa CCM Dk. John Pombe Magufuli kwa wakazi wa Sumbawanga mjini kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika ndani ya uwanja wa Nelson Mandela jioni ya leo.   Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Sumbawaga mjini mkoani Rukwa,ndani ya Uwanja wa Nelson Mandela kwenye mkutano wa kampeni,pichani nyuma ni Waziri Mkuu Pinda akishuhudia tukio hilo.
   Mgombea wa Urais kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani