Tanesco wajivunia uzalishaji wa umeme kwa maji
Likiwa linatimiza miaka 50 tangu kuanzishwa kwake, Shirika la Umeme (Tanesco), limesema kuwa uzalishaji wa umeme kwa njia ya maji (hydroelectric), ndiyo wa kutegemewa kuliko njia nyingine.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi04 Oct
Tanesco: Uzalishaji wa umeme umeshuka kwa asilimia 81
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Vyura wapunguza uzalishaji umeme wa Tanesco
9 years ago
MichuziTANESCO KUONDOLEWA KATIKA UZALISHAJI UMEME, WIND EA KUANZA KUZALISHA MWISHONI 2017.
10 years ago
Habarileo18 Dec
Tanesco wajivunia mradi wa Kinyerezi II
SHIRIKA la Umeme Nchini (TANESCO) limesema ifikapo mwishoni mwa mwaka 2016 Tanzania suala la mgawo wa umeme litabaki kuwa historia.
9 years ago
MichuziZiara ya Dkt.Kalemani katika kituo cha uzalishaji umeme kwa kutumia Gesi Kinyerezi.
10 years ago
Habarileo05 Dec
Tanesco yafafanua kukatika kwa umeme
SHIRIKA la Umeme Nchini (Tanesco) limetoa sababu ya kukatika kwa umeme katika maeneo mbalimbali nchini katika kipindi cha Novemba 26 hadi Desemba Mosi.
9 years ago
StarTV12 Nov
Tanesco yasema kukatika kwa umeme kwa baadhi ya mikoa yatokana na hitilafu.
Shirika la umeme tanesco lamesema kukatika kwa umeme katika baadhi ya mikoa nchini kumesababishwa na hitilafu katika kituo kidogo cha kupoozea umeme wa gridi ya taifa kilichoko mkoani singida
Meneja wa tanseco mkoa wa singida gamba mahugila amesema hitilafu hiyo imetokea leo asubuhi na kusababisha kukatika kwa umeme katika mikoa ya singida, tabora, mwanza, mara, manyara, geita na sehemu ya mkoa wa arusha
Amesema tayari mafundi wa tanesco wanaendelea na matengenezo yaliyoanza saa tano asubuhi...
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Tanesco: Mgawo wa umeme kwa sasa hauzuiliki
10 years ago
MichuziSHIRIKA LA UMEME TANESCO LAIBIWA NYAYA ZA UMEME KITUO CHA KIPAWA