Escrow yakwamisha miradi
Na Jonas Mushi, Dar es Salaam
SAKATA la uchotwaji wa fedha katika Akaunti ya Tegeta Escrow, limechangia kukwamisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya mwaka 2014/15.
Hatua hiyo imesababisha hadi kufikia Machi mwaka huu, ni asilimia 38 tu ya miradi ndiyo iliyotekelezwa.
Hayo yalibainishwa jana na Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Dk. Philip Mpango, wakati akihojiwa na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti.
Kamati hiyo iliitaka Tume ya Mipango kutoa sababu za kutotekelezeka kwa miradi huku...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima20 Nov
Miradi mingi yakwamisha kilimo cha umwagiliaji
SERIKALI imesema kuanzishwa kwa miradi mingi na Halmashauri kumesababisha kutokamilika kwa miradi ya kilimo cha umwagiliaji. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfery Zambi,...
10 years ago
Mwananchi29 Aug
Akidi yakwamisha Bunge la Eala
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/omkt7cwbhXKIC7bU-7R7MgWqD92GgSt*pheBPgDYYw1RQmYkXiAHzIf-tg2giJhjHUhZAY4sHOaiPYFteo0**4Tpow6w-xy4/shija.jpg?width=650)
MASOMO YAKWAMISHA NDOA YA SHIJA
9 years ago
Habarileo15 Nov
Teknolojia yakwamisha wachimbaji wadogo
WACHIMBAJI wadogo mkoani hapa wamesema ukosefu wa teknolojia ya uchimbaji imesababisha kuchimbachimba hovyo bila kujua kama eneo husika linaweza kuwa na madini wanayotafuta, jambo ambalo linaweza kuwa na athari ya kimazingira.
10 years ago
BBCSwahili16 Jul
Ufaransa yakwamisha shambulio la Kigaidi
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Victoria yakwamisha udhibiti biashara haramu
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
Mabomba yakwamisha ufunguaji barabara Dar
MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imesema kutokamilika kwa barabara ya Posta ya zamani hadi Kivukoni, Dar es Salaam kumekwamishwa na mabomba ya maji taka...
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Migogoro yakwamisha sekta ya mifugo nchini
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Wizara yakwamisha ufadhili Shule ya Miono