Wizara yakwamisha ufadhili Shule ya Miono
Bagamoyo. Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi inadaiwa kukwamisha ufadhili wa Sh200 milioni katika Shule ya Sekondari ya Miono Bagamoyo, kwa mchepuo ya Sayansi, baada ya kompyuta zaidi ya 10 zilizotolewa na Kampuni ya Wakefield and Cushman ya Ubelgiji kupotea wizarani katika mazingira tata.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLBANTU SPORTS AND FITNESS ENTERPRISE WATOA MSAADA WA VIFAA VYA MICHEZO KWA SHULE YA MSINGI MIONO, CHALINZE PWANI
11 years ago
MichuziKAMPUNI YA BANTU SPORTS AND FITNESS ENTERPRISE WATOA MSAADA WA VIFAA VYA MICHEZO KWA SHULE YA MSINGI MIONO, CHALINZE PWANI
10 years ago
GPLWIZARA YA NISHATI NA MADINI YATANGAZA UFADHILI WA MASOMO NCHINI CHINA KWA MWAKA 2015
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iSKynTDTb-Y/VQmI4IzBMMI/AAAAAAAHLSc/Yt2maeQgSP4/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
KATIBU MKUU WIZARA YA UJENZI AIPONGEZA JICA KWA UFADHILI WA MIRADI MBALIMBALI YA BARABARA NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-iSKynTDTb-Y/VQmI4IzBMMI/AAAAAAAHLSc/Yt2maeQgSP4/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lcK-IIMwllI/VQmI4fmy-tI/AAAAAAAHLSk/DuyNmQfhQ8w/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
11 years ago
Habarileo22 Jul
Wizara yatishia kuifuta shule ya Mkorea
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Amali imetishia kuifutia usajili shule ya kimataifa ya Eden iliyopo Chukwani Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, kwa madai ya kubainika kutoa mafunzo ya Biblia kwa wanafunzi wa shule ya msingi kinyume na utaratibu.
10 years ago
Habarileo06 Feb
Wizara ya Elimu yazidi kuzibana shule binafsi
WIZARA ya Elimu na Ufundi imesema itazifutia usajili shule zote za serikali au binafsi, zitakazobainika kukaidi agizo la wizara hiyo lililotolewa wiki iliyopita la kuacha kuweka viwango maalumu na tofauti za ufaulu kutoka kidato kimoja kwenda kingine.
9 years ago
Michuzitimu ya Wizara ya Habari yatembelea shule ya msingi Mtendeni jijini Dar es Salaam
9 years ago
StarTV19 Nov
Wizara ya elimu nchini yaombwa kuangalia upya mitaala ya kufundishia wanafunzi wa shule za msingi na sekondari
Wizara ya elimu nchini imeombwa kuangalia upya mitalaa ya kufundishia wanafunzi wa shule za msingi na sekondari ili iwe na uhusiano na mazingira halisi ya Watanzania.
Elimu inayotolewa sasa imekuwa ikilalamikiwa kuwa haimwezeshi mwanafunzi kumudu mazingira yanayomzunguka na badala yake inamsaidia kufaulu kutoka darasa moja kwenda jingine.
Katika mkutano huo Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima, Dokta Fidelis Mafumiko ameyasema hayo jijini Dar es salaam katika mkutano wa kufunga...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6t1-iQ0hMFA/XoyJzLRnWeI/AAAAAAALmZU/GHHwfqtIFM0l4TVW42y80ewIySU2zos1ACLcBGAsYHQ/s72-c/MIFUGOOOOOOO.jpg)
DIWANI MPWIMBWI ALALAMIKIA MIFUGO HOLELA KATA YA MIONO
![](https://1.bp.blogspot.com/-6t1-iQ0hMFA/XoyJzLRnWeI/AAAAAAALmZU/GHHwfqtIFM0l4TVW42y80ewIySU2zos1ACLcBGAsYHQ/s640/MIFUGOOOOOOO.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI,BAGAMOYO
DIWANI wa Kata ya Miono ,Halmashauri ya Chalinze ,Bagamoyo Mkoa wa Pwani Juma Mpwimbwi, amelalamikia mifugo holela ikiwa ni pamoja na inayomilikiwa na mfugaji , aliyemtaja kwa jina la Malimengi,ambayo inasababisha kundi la wakulima kupata hasara ya kilimo chao kutokana na uharibifu.
Mbele ya Kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilayani hapa chini ya Mwenyekiti wake Alhaj Abdul Sharifu, Mpwimbwi alisema ,mfugaji huyo amekuwa na kiburi cha fedha alizonazo,...