DIWANI MPWIMBWI ALALAMIKIA MIFUGO HOLELA KATA YA MIONO

NA MWAMVUA MWINYI,BAGAMOYO
DIWANI wa Kata ya Miono ,Halmashauri ya Chalinze ,Bagamoyo Mkoa wa Pwani Juma Mpwimbwi, amelalamikia mifugo holela ikiwa ni pamoja na inayomilikiwa na mfugaji , aliyemtaja kwa jina la Malimengi,ambayo inasababisha kundi la wakulima kupata hasara ya kilimo chao kutokana na uharibifu.
Mbele ya Kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilayani hapa chini ya Mwenyekiti wake Alhaj Abdul Sharifu, Mpwimbwi alisema ,mfugaji huyo amekuwa na kiburi cha fedha alizonazo,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
Mwenyekiti wa CCM Kata ya Miono,Saleh Mpwimbwi afariki Dunia leo

Chanzo cha ajali hiyo,kinaelezwa kuwa ni kupasuka kwa tairi ya nyuma wakati akiwa kwenye mwendo na kushindwa kuliongoza gari hilo na kupelekea kupinduka.
Mwili wa Marehemu umepelewa kuhifadhiwa kwenye Hospitali ya Wilaya ya Bagamoyo.
Taratibu zote za msiba huo,zinafanyika Nyumbani kwake...
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Diwani Mathius wa kata ya Malangarini afunga kampeni za uchaguzi kwenye kata yake
Diwani wa kata ya Mlangarini, Mathius Manga akizungumza na wananchi wa kata hiyo katika mkutano wa hadhara wa kuhitimisha kampeni za uchaguzi wa CCM kwa ajili yakuwachagua viongozi wa serikali za mitaa utakaofanyika jumapili Desemba 14 mwaka huu.
Diwani Manga amewaasa wananchi wote kujitokeza kwa wingi kuwapigia kura wagombea wa CCM kwani wanasifa stahiki za kuwaongoza.
Aidha amesisitiza kulimnda amani kipindi chote cha uchaguzi na hata matokeo yatakapo tangazwa na kuepuka vitendo vya...
10 years ago
Habarileo05 Jan
Kata ya Lemara yakabiliwa na uuzwaji holela wa viwanja
KATA ya Lemara jijini hapa, inakabiliwa na changamoto ya uuzwaji holela wa viwanja sambamba na baadhi ya watu kuziba njia za watembea kwa miguu na matumizi mengine.
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
Diwani apinga ongezeko la mitaa, kata
DIWANI wa Misufini katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea, Ruvuma, Salum Mfamaji (CHADEMA), amesema kuongezwa kwa mitaa katika manispaa hiyo ni kuibebesha mzigo serikali na wananchi. Mfamaji alisema hayo wakati...
9 years ago
Habarileo09 Dec
Kata ya Ipala Dodoma yapata Diwani
GEORGE Magawa jana alitangazwa kuwa Diwani wa Kata ya Ipala katika wilaya ya Dodoma Mjini baada ya kupita bila kupingwa kutokana na wagombea wawili wa nafasi hiyo kujitoa.
5 years ago
Michuzi
CCM Njombe wamnasa Diwani wa kata ya MjiMwema
10 years ago
Mwananchi17 Sep
Diwani Kata ya Ubungo kizimbani kwa kujeruhi
11 years ago
GPL
AJALI YAUA DIWANI WA CCM KATA YA LUPINGU LEO
10 years ago
MichuziDiwani Urio akabidhiwa hati ya uteule kata ya Kunduchi.