AJALI YAUA DIWANI WA CCM KATA YA LUPINGU LEO
![](http://api.ning.com:80/files/A1Qs8*3Ts4xQEE5Qtrxl*c8aUWUGvZtpdu6lm14*dIaBhxMVDlTwvj33HDGzYy0FZeWU4mC22fzLAdj5cLWgEH5452d1kxJB/ajali.jpg?width=650)
Gari aina ya Toyota Coaster iliyokuwa ikifanya safari zake kutoka Ludewa Mjini kuelekea Lupingu baada ya kupata ajali iliyoondoa uhai wa Diwani wa Viti Maalum CCM Kata ya Lupingu, Prisca Kayombo (Zaruta). Diwani wa Viti Maalum CCM Kata ya Lupingu, Prisca Kayombo (Zaruta) wa  tatu  kushoto enzi za uhai wake…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXvlaSGV2VWSwInsKnvSagOkIGI5UaRcTQzo00tifTYfyyaIFXl4H67ncRvHUTRm2RFtkvF4A3QQofDbFUZgNu-T/ccm.jpg?width=450)
DIWANI WA KATA YA NYIDA SHINYANGA (CCM) AMEFARIKI KWA AJALI YA PIKIPIKI
11 years ago
Michuzi09 Jul
DIWANI WA TLP LUPINGU ASEMA YEYE SI MPINZANI ,AMFAGILIA MBUNGE FILIKUNJOMBE KWA KASI YA MAENDELEO
Na Francis Godwin Blog.
DIWANI wa chama cha Tanzania Labour Party (TLP) kata ya Lupingu wilaya ya Ludewa mkoani Njombe John Kiowi amempongeza mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe kwa jitihada zake anazozifanya katika kuwapelekea maendeleo wananchi wa Ludewa huku akiwashangaa wapinzani wanaopinga jitihada mbali mbali zinazofanywa na serikali ya chama cha Mapinduzi (CCM) na kudai kuwa yeye si mpinzani wa uchwara wa kupinga maendeleo .
Akizungumza na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AtvCqIAk4Pc/XufaY3tfSSI/AAAAAAALt8U/OAtryLERFL8r76vYfX6kU5sUSd2i_L5CACLcBGAsYHQ/s72-c/MTAMIKE.jpg)
CCM Njombe wamnasa Diwani wa kata ya MjiMwema
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
DIWANI WA CCM AFARIKI DUNIA KATA YA IGALULA TABORA
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-yAYpHm7aiMo/VdO5ApYzWOI/AAAAAAAD3is/D--C63biwDc/s72-c/bg1.jpg)
RAIS KIKWETE NA WAZIRI MAGUFULI KATIKA MAZISHI YA DIWANI WA KATA YA YOMBO, BAGAMOYO, LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-yAYpHm7aiMo/VdO5ApYzWOI/AAAAAAAD3is/D--C63biwDc/s640/bg1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BmUJm5YLqGQ/VdO5BEEUw_I/AAAAAAAD3iw/wpoWJLnJKyY/s640/bg2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Diwani Mathius wa kata ya Malangarini afunga kampeni za uchaguzi kwenye kata yake
Diwani wa kata ya Mlangarini, Mathius Manga akizungumza na wananchi wa kata hiyo katika mkutano wa hadhara wa kuhitimisha kampeni za uchaguzi wa CCM kwa ajili yakuwachagua viongozi wa serikali za mitaa utakaofanyika jumapili Desemba 14 mwaka huu.
Diwani Manga amewaasa wananchi wote kujitokeza kwa wingi kuwapigia kura wagombea wa CCM kwani wanasifa stahiki za kuwaongoza.
Aidha amesisitiza kulimnda amani kipindi chote cha uchaguzi na hata matokeo yatakapo tangazwa na kuepuka vitendo vya...
10 years ago
GPLDIWANI WA KATA YA VIJIBWENI (CCM), ATOA PIKIPIKI MBILI KWA AJILI YA KUSAIDIA UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA
10 years ago
GPLAJALI YAUA 10 NA KUJERUHI 7 MBALIZI MKOANI MBEYA LEO