Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jaji Mkuu alia bajeti finyu

WAKATI Rais Jakaya Kikwete akiwataka majaji na mahakimu kumaliza kesi kwa wakati, Jaji Mkuu, Chande Othman, amelalamikia bajeti ya Mahakama kucheleweshwa. Jaji Mkuu alitoa kilio hicho juzi mbele ya Kamati...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Bajeti finyu yakwamisha ufunguaji mabaraza

SERIKALI imesema ukosefu wa bajeti ya kutosha umesababisha kushindwa kutekeleza mpango wa kufungua mabaraza ya ardhi kila kata au wilaya. Hayo yalielezwa bungeni jana na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bajeti finyu yakwamisha ujenzi barabara

SERIKALI haina mpango wa kuijenga kwa kiwango cha lami barabara ya kutoka Kivukoni Kinesi hadi Makutano Kinesi kupitia Kuruya katika barabara kuu ya Mwanza hadi Sirari kutokana na ufinyu wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lissu alia upendeleo wa bajeti

MBUNGE wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (CHADEMA), ameilaumu serikali kwa kutoa fedha za miradi ya maji kwa kupendelea baadhi ya maeneo wanayotoka viongozi. Lissu, alitoa lawama hizo jana bungeni alipokuwa...

 

10 years ago

Habarileo

Jaji Mahakama Kuu alia na ada kubwa za mawakili

JAJI Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Iringa, Mary Shangali amesema serikali ina wajibu wa kuhakikisha wananchi wanapata huduma za kimahakama bila vikwazo vya kiufundi wala gharama kubwa za ada au malipo ya mawakili.

 

10 years ago

GPL

DKT. SHEIN AWAAPISHA KAIMU JAJI MKUU NA NAIBU KATIBU MKUU AFYA ZANZIBAR LEO

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Mkusa Issack Sepetu kuwa Kaimu Jaji Mkuu wa Mahakama Kuu ya Zanzibar katika hafla iliyofanyika leo Ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Halima  Maulid Salum kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya katika hafla iliyofanyika leo Ukumbi wa Ikulu Mjini… ...

 

10 years ago

Michuzi

MHE JAJI MKUU MOHAMED OTHMAN CHANDE AKABIDHI RIPOTI YA JOPO LAKE KWA KATIBU MKUU

 Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako  Manongi na  Mwakilishi wa Kudumu wa Malta katika Umoja wa Mataifa,  Balozi Christopher  Grima wakipongezana  mara  baada ya  kutia sahihi  hati  walizoshika za kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia katika ngazi ya Mabalozi. Hati hizo baadaye ya zitawasilishwa  rasmi  kwa  Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa. 
Na Mwandishi Maalum, New York
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya  Malta zimekubaliana kuanzisha uhusiano  wa...

 

10 years ago

Vijimambo

MHE. JAJI MKUU MOHAMED OTHMAN CHANDE AKABIDHI RIPOTI YA JOPO LAKE KWA KATIBU MKUU

Wawakilishi wa Kudumu wa Tanzania,  Balozi Tuvako  Manongi na  Christopher  Grima Malta wakitia sahihi hati za kuanzisha uhusiano wa  kidiplomasia katika ngazi ya Mabalozi. Wanaoangalia utiaji sahihi  ni   Tully Mwaipopo Afisa Mwandamizi  wa Uwakilishi wa Kudumu wa Tanzania na Bw. Alan Cordina, Afisa wa Uwakilishi wa  Kudumu wa Malta.
 Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako  Manongi na  Mwakilishi wa Kudumu wa Malta katika Umoja wa Mataifa,  Balozi...

 

10 years ago

Michuzi

JAJI MKUU WA TANZANIA AMUAPISHA MHE. VINCENT LYIMO KUWA MSULUHISHI MKUU WA MIGOGORO YA BIMA NCHINI

Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Mohamed Chande Othman, akimwapisha Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania Mh. Vincent Lyimo kuwa Msuluhishi Mkuu wa Migogoro ya Bima nchini, wakati wa hafla fupi iliyofanyika mapema leo ofisini kwa Mhe. Jaji Mkuu. kulia ni Msajili Mwandamizi wa Mahakama Kuu ya Tanzania. Mhe. Jaji Vincent Lyimo, Msuluhishi Mkuu wa Migogoro ya Bima akisaini hati ya uteuzi mbele ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Mh. Mohamed Chande Othman (hayupo pichani) Jaji Mkuu wa Tanzania Mh....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani