Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MHE JAJI MKUU MOHAMED OTHMAN CHANDE AKABIDHI RIPOTI YA JOPO LAKE KWA KATIBU MKUU

 Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako  Manongi na  Mwakilishi wa Kudumu wa Malta katika Umoja wa Mataifa,  Balozi Christopher  Grima wakipongezana  mara  baada ya  kutia sahihi  hati  walizoshika za kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia katika ngazi ya Mabalozi. Hati hizo baadaye ya zitawasilishwa  rasmi  kwa  Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa. 
Na Mwandishi Maalum, New York
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya  Malta zimekubaliana kuanzisha uhusiano  wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MHE. JAJI MKUU MOHAMED OTHMAN CHANDE AKABIDHI RIPOTI YA JOPO LAKE KWA KATIBU MKUU

Wawakilishi wa Kudumu wa Tanzania,  Balozi Tuvako  Manongi na  Christopher  Grima Malta wakitia sahihi hati za kuanzisha uhusiano wa  kidiplomasia katika ngazi ya Mabalozi. Wanaoangalia utiaji sahihi  ni   Tully Mwaipopo Afisa Mwandamizi  wa Uwakilishi wa Kudumu wa Tanzania na Bw. Alan Cordina, Afisa wa Uwakilishi wa  Kudumu wa Malta.
 Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako  Manongi na  Mwakilishi wa Kudumu wa Malta katika Umoja wa Mataifa,  Balozi...

 

10 years ago

Michuzi

JAJI MKUU WA TANZANIA MHE MOHAMED CHANDE OTHMAN ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA, WASHINGTON DC

Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Mohamed Chande Othman ametembelea Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliopo Washington DC, Marekani, na kufanya mazungumzo na wafanyakazi wa Ubalozi huo Ubalozini hapo Tanzania House. Katika mazungumzo yake hayo, Mhe. Chande, ambaye yuko Marekani katika ziara ya kikazi na ujumbe wake,  aliwaeleza watumishi wa Ubalozi namna mihimili mitatu ya dola inavyofanya kazi pamoja na mipaka yake. Alibainisha kwamba Tanzania inajivunia mahusiano mazuri yaliyopo baina...

 

10 years ago

Vijimambo

MHE. JAJI MKUU WA TANZANIA MOHAMED CHANDE OTHMAN ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA LUSAKA ZAMBIA



MHE. JAJI MOHAMED CHANDE OTHMAN AKIWA NA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA MHE. GRACE J. MUJUMA 
MHE JAJI MKUU AKIONGEA NA WAFANYAKAZI WA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA WAKIWEMO MHE BALOZI GRACE J. MUJUMA, KAIMU MKUU WA UTAWALA NA KONSULA RICHARD LUPEMBE (HAYUPO PICHANI) NA MWAMBATA FEDHA HUDDY KIANGI WAKIMSIKILIZA KWA MAKINI JAJI MKUU AKIELEZA JAMBO 

JAJI MKUU WA TANZANIA MHE. MOHAMED CHANDE OTHMAN ALIKUWA NA ZIARA YA KIKAZI NCHINI ZAMBIA KUANZIA TAREHE 2 HADI 6 MEI 2015 KWA...

 

10 years ago

Michuzi

JAJI MKUU WA TANZANIA MHE. MOHAMED CHANDE OTHMAN AWAAPISHA JUMLA YA MAWAKILI 412 KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE JIJINI DAR ES SALAAM

 Mhe. Mohamed Chande Othman, Jaji Mkuu wa Tanzania akiwa katika meza  kuu pamoja na Wahe. Majaji wa Mahakama ya Rufani na Mahakama Kuu ya Tanzania katika Sherehe za kuwakubali na kuwasajili Mawakili wapya,  katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam.

Sehemu  ya Mawakili wapya walioapishwa  na Mhe. Jaji Mkuu ambaye  ameapisha jumla ya Mawakili 412 na kuongeza idadi ya jumla ya Mawakili 4874. Mhe. Mohamed Chande Othman, Jaji Mkuu wa Tanzania (aliyeketi katikati) akiwa katika picha ya...

 

10 years ago

Vijimambo

MHE. MOHAMED CHANDE OTHMAN, JAJI MKUU WA TANZANIA ATEMBELEA UBALOZI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WASHINGTON DC 19/11/2014

Mhe. Mohamed Chande Othman, Jaji Mkuu wa  Tanzania ametembelea Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliopo Washington DC na kufanya mazungumzo na wafanyakazi wa Ubalozi huo Ubalozini hapo Tanzania House. Katika mazungumzo yake hayo, Mhe. Chande aliwaeleza watumishi wa Ubalozi namna mihimili mitatu ya dola inavyofanya kazi pamoja na mipaka yake. Alibainisha kwamba Tanzania inajivunia mahusiano mazuri yaliyopo baina ya mihimili hiyo ambayo kutokana na misingi thabiti imekuwa ikifanya...

 

10 years ago

Vijimambo

BAN KI MOON AMTEUA JAJI MKUU OTHMAN CHANDE MOHAMMED KUONGOZA JOPO HURU

Na Mwandishi Maalum,  New York

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban  Ki Moon  amemteua Jaji Mkuu wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mhe. Mohamed Chande Othman  kuongoza jopo  huru la wataalam watakaopitia taarifa mpya  kuhusu kifo cha   Bw. Dag  Hammarskjold ambaye  aliwahi kuwa   Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa.

“ Katibu Mkuu anayofuraha ya  kutangaza kwamba amewateua wafuatao kuwa wajumbe wa   jopo huru la wataalamu. Bw.  Mohamed Chande Othman kutoka Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

 

9 years ago

Michuzi

JAJI MKUU WA TANZANIA MHE. OTHMAN CHANDE ATOA SOMO KWA WAANDISHI WA HABARI

Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande akitoa ufafanuzi kwa wanabari (hawapo pichani) kuhusu uandishi bora wa habari za Mahakama wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya kuwajengea uwezo waandishi wa Habari za Mahakama leo jijini Dar es salaam.Rais wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Jaji Mstaafu Thomas Mihayo akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa Habari namna wanavyoweza kuandika habari za Mahakama kwa kuzingatia weledi wa taaluma zao.Baadhi ya wanahabari wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa...

 

10 years ago

Michuzi

JAJI MKUU OTHMAN CHANDE KUOGOZA JOPO HURU KUHUSU KIFO CHA DAG HAMMARSKJOLD

Na Mwandishi Maalum,  New York

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban  Ki Moon  amemteua Jaji Mkuu wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mhe. Mohamed Chande Othman (pichani)   kuongoza jopo  huru la wataalam watakaopitia taarifa mpya  kuhusu kifo cha   Bw. Dag  Hammarskjold ambaye  aliwahi kuwa   Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa.

“ Katibu Mkuu anayofuraha ya  kutangaza kwamba amewateua wafuatao kuwa wajumbe wa   jopo huru la wataalamu. Bw.  Mohamed Chande Othman kutoka Jamhuri ya Muungano wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande atoa somo kwa Waandishi wa Habari za Mahakama

Mahakama -1

Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande akitoa ufafanuzi kwa wanabari (hawapo pichani) kuhusu uandishi bora wa habari za Mahakama wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya kuwajengea uwezo waandishi wa Habari za Mahakama jana jijini Dar es salaam.

Mahakama -2

Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande (kushoto) na Meneja wa Maadili wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Allan Lawa (kulia) wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo waandishi wa habari za Mahakama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani