MHE JAJI MKUU MOHAMED OTHMAN CHANDE AKABIDHI RIPOTI YA JOPO LAKE KWA KATIBU MKUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-_m103K69cOY/VX5TK60GqZI/AAAAAAAHfcc/kXcYikuajg0/s72-c/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi na Mwakilishi wa Kudumu wa Malta katika Umoja wa Mataifa, Balozi Christopher Grima wakipongezana mara baada ya kutia sahihi hati walizoshika za kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia katika ngazi ya Mabalozi. Hati hizo baadaye ya zitawasilishwa rasmi kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa.
Na Mwandishi Maalum, New York
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Malta zimekubaliana kuanzisha uhusiano wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Km9B6739o3I/VX5Ta07FTrI/AAAAAAAHfcs/CwmY8czR1L4/s72-c/New%2BPicture.png)
MHE. JAJI MKUU MOHAMED OTHMAN CHANDE AKABIDHI RIPOTI YA JOPO LAKE KWA KATIBU MKUU
![](http://2.bp.blogspot.com/-Km9B6739o3I/VX5Ta07FTrI/AAAAAAAHfcs/CwmY8czR1L4/s640/New%2BPicture.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_m103K69cOY/VX5TK60GqZI/AAAAAAAHfcc/kXcYikuajg0/s640/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YzmP8xqILFM/VHP9m7Ti92I/AAAAAAAGzO4/7j-4JWRV_zg/s72-c/unnamed%2B(91).jpg)
JAJI MKUU WA TANZANIA MHE MOHAMED CHANDE OTHMAN ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA, WASHINGTON DC
10 years ago
VijimamboMHE. JAJI MKUU WA TANZANIA MOHAMED CHANDE OTHMAN ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA LUSAKA ZAMBIA
MHE. JAJI MOHAMED CHANDE OTHMAN AKIWA NA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA MHE. GRACE J. MUJUMA
MHE JAJI MKUU AKIONGEA NA WAFANYAKAZI WA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA WAKIWEMO MHE BALOZI GRACE J. MUJUMA, KAIMU MKUU WA UTAWALA NA KONSULA RICHARD LUPEMBE (HAYUPO PICHANI) NA MWAMBATA FEDHA HUDDY KIANGI WAKIMSIKILIZA KWA MAKINI JAJI MKUU AKIELEZA JAMBO
JAJI MKUU WA TANZANIA MHE. MOHAMED CHANDE OTHMAN ALIKUWA NA ZIARA YA KIKAZI NCHINI ZAMBIA KUANZIA TAREHE 2 HADI 6 MEI 2015 KWA...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8WDTSZ1nmNE/VZhc9pbO_4I/AAAAAAAHm-I/kJU7FOzJo2A/s72-c/a1.jpg)
JAJI MKUU WA TANZANIA MHE. MOHAMED CHANDE OTHMAN AWAAPISHA JUMLA YA MAWAKILI 412 KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-8WDTSZ1nmNE/VZhc9pbO_4I/AAAAAAAHm-I/kJU7FOzJo2A/s640/a1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HoC_5r5i6t4/VZhc_7eE0eI/AAAAAAAHm-Q/3O_PMXNWSMY/s640/a3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-j4SCO-GPt6c/VZhdOARElpI/AAAAAAAHm-Y/K1-_dM5biuM/s640/a2.jpg)
10 years ago
VijimamboMHE. MOHAMED CHANDE OTHMAN, JAJI MKUU WA TANZANIA ATEMBELEA UBALOZI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WASHINGTON DC 19/11/2014
10 years ago
Vijimambo17 Mar
BAN KI MOON AMTEUA JAJI MKUU OTHMAN CHANDE MOHAMMED KUONGOZA JOPO HURU
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/1632564/lowRes/431531/-/5gbhil/-/jaji_chande.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rVQuuRWjF-g/VlWzihH-5ZI/AAAAAAAIIXc/P5ggGhe7O_0/s72-c/Mahakama%2B-1.jpg)
JAJI MKUU WA TANZANIA MHE. OTHMAN CHANDE ATOA SOMO KWA WAANDISHI WA HABARI
![](http://2.bp.blogspot.com/-rVQuuRWjF-g/VlWzihH-5ZI/AAAAAAAIIXc/P5ggGhe7O_0/s640/Mahakama%2B-1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AqBjSIgkF_k/VlWzkIQWpOI/AAAAAAAIIXs/TyMjb7jq53o/s640/Mahakama%2B-3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YQBRmEwwFkk/VlWzif76JkI/AAAAAAAIIXU/PoYDjvl1QTE/s640/Mahakama%2B-%2B5.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zNohjXAYiOU/VQe9Rzw2k3I/AAAAAAAHK18/3ZlpilYjziU/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
JAJI MKUU OTHMAN CHANDE KUOGOZA JOPO HURU KUHUSU KIFO CHA DAG HAMMARSKJOLD
![](http://1.bp.blogspot.com/-zNohjXAYiOU/VQe9Rzw2k3I/AAAAAAAHK18/3ZlpilYjziU/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
9 years ago
Dewji Blog26 Nov
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande atoa somo kwa Waandishi wa Habari za Mahakama
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande akitoa ufafanuzi kwa wanabari (hawapo pichani) kuhusu uandishi bora wa habari za Mahakama wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya kuwajengea uwezo waandishi wa Habari za Mahakama jana jijini Dar es salaam.
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande (kushoto) na Meneja wa Maadili wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Allan Lawa (kulia) wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo waandishi wa habari za Mahakama...