Lissu alia upendeleo wa bajeti
MBUNGE wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (CHADEMA), ameilaumu serikali kwa kutoa fedha za miradi ya maji kwa kupendelea baadhi ya maeneo wanayotoka viongozi. Lissu, alitoa lawama hizo jana bungeni alipokuwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
Jaji Mkuu alia bajeti finyu
WAKATI Rais Jakaya Kikwete akiwataka majaji na mahakimu kumaliza kesi kwa wakati, Jaji Mkuu, Chande Othman, amelalamikia bajeti ya Mahakama kucheleweshwa. Jaji Mkuu alitoa kilio hicho juzi mbele ya Kamati...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GqrN3rIpOy0/Xk6acvew03I/AAAAAAALejw/E0JDyMppPykK3i1b8qn8mfDM95PQzPxiQCLcBGAsYHQ/s72-c/Lissu%2BTundu.jpg)
WADHAMINI WA LISSU WAOMBA AMRI ITOLEWE YA KUMKAMATA KWA LISSU
![](https://1.bp.blogspot.com/-GqrN3rIpOy0/Xk6acvew03I/AAAAAAALejw/E0JDyMppPykK3i1b8qn8mfDM95PQzPxiQCLcBGAsYHQ/s640/Lissu%2BTundu.jpg)
Madai hayo yamewasilishwa leo Februari 20, 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba wakati kesi dhidi ya Lissu ilipopangwa kwa ajili ya kutajwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam.
Mapema wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo...
11 years ago
Mwananchi13 Jun
BAJETI 2014/2015: Bajeti yawagawa wabunge, CCM waipongeza, upinzani waiponda
11 years ago
Mwananchi14 Jun
MAONI BAJETI: Wananchi mikoani waiponda Bajeti 2014
10 years ago
Mwananchi21 Sep
Upendeleo ni ishara ya kutojali
10 years ago
Mwananchi02 Jun
UCHAMBUZI WA BAJETI: Bajeti ya Ujenzi imekidhi vigezo
10 years ago
Habarileo07 Nov
Wasimamizi watakiwa kuacha upendeleo
OFISI ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa ya Serikali za Mitaa (TAMISEMI), imewataka wasimamizi wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa, kuacha upendeleo kwa wagombea, ushabiki wa kisiasa kwa vyama vya siasa ama wagombea wa vyama na hivyo kutakiwa kuwashirikisha wadau wa uchaguzi hasa viongozi wa vyama vya siasa vilivyopo katika maeneo yao.
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Kuna ajira ngapi za upendeleo serikalini?
WIZARA ya Mambo ya Ndani, imetangaza kufuta ajira 228 baada ya kuthibitika kuwa zilitolewa kinyume na taratibu kwa upendeleo. Hatua hii ya wizara inafuatia malalamiko kutoka katika jamii, kupitia vyombo vya...
9 years ago
Habarileo19 Nov
Tulia: Nitafanya kazi bila upendeleo
MGOMBEA nafasi ya Naibu Spika wa Bunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Tulia Ackson amesema akichaguliwa kushika wadhifa huo atafanya kazi kwa kufuata kanuni na hataegemea upande wa serikali kama inavyodhaniwa na baadhi ya watu.