Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Upendeleo ni ishara ya kutojali

Ajira za upendeleo huko Uhamiaji tumezisikia na uamuzi wa Serikali kuzifuta nao tumeusikia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kutojali lishe kwaua watoto 179,000 kwa mwaka nchini

>Licha ya Serikali kutangaza mara kadhaa kuwa inataka hadi kufikia mwaka 2015 iwe  imepunguza tatizo la utapiamlo  kutoka asilimia 15 ilivyo mpaka asilimia 5, hali ya tatizo hilo bado inaonekana ni mbaya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lissu alia upendeleo wa bajeti

MBUNGE wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (CHADEMA), ameilaumu serikali kwa kutoa fedha za miradi ya maji kwa kupendelea baadhi ya maeneo wanayotoka viongozi. Lissu, alitoa lawama hizo jana bungeni alipokuwa...

 

10 years ago

Habarileo

Wasimamizi watakiwa kuacha upendeleo

OFISI ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa ya Serikali za Mitaa (TAMISEMI), imewataka wasimamizi wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa, kuacha upendeleo kwa wagombea, ushabiki wa kisiasa kwa vyama vya siasa ama wagombea wa vyama na hivyo kutakiwa kuwashirikisha wadau wa uchaguzi hasa viongozi wa vyama vya siasa vilivyopo katika maeneo yao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Upendeleo maalum,usawa kwa wote

Kenya iko katika njia sahihi kisheria na inatambua umuhimu wa usawa kati ya wanaume na wanawake na inahimiza upendeleo maalum.

 

10 years ago

Mwananchi

Uhamiaji msirudie kutoa ajira za upendeleo

Kufutwa kwa ajira 200 za konstebo na koplo katika Idara ya Uhamiaji mwishoni mwa Agosti, mwaka huu kutokana na kutolewa kwa upendeleo, bila shaka kutakuwa kumetoa fursa kwa wahusika kujipima kama kweli wanafaa kuendelea kushikilia nyadhifa zao.

 

10 years ago

Mwananchi

Ajira za upendeleo haziko Uhamiaji pekee

Kufutwa kwa ajira 200 za konstebo na koplo katika Idara ya Uhamiaji hivi karibuni ni hatua ambayo bila shaka imewashangaza wengi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kuna ajira ngapi za upendeleo serikalini?

WIZARA ya Mambo ya Ndani, imetangaza kufuta ajira 228 baada ya kuthibitika kuwa zilitolewa kinyume na taratibu kwa upendeleo. Hatua hii ya wizara inafuatia malalamiko kutoka katika jamii, kupitia vyombo vya...

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri: Magereza, polisi hakuna upendeleo

Wizara ya Mambo ya Ndani imekanusha madai ya kuwapo kwa upendeleo katika jeshi la polisi kuhusu watumishi kujiendeleza kimasomo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wazawa hawahitaji upendeleo, bali kuwezeshwa

NILIMSIKILIZA Rais Jakaya Kikwete akizungumza katika kongamano kuhusu gesi asilia Jumanne iliyopita. Kwa hakika alijitahidi kujenga hoja kwanini serikali haiwezi kuwapendelea wazawa katika suala la uwekezaji katika gesi asilia. Nimemuelewa,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani