Upendeleo maalum,usawa kwa wote
Kenya iko katika njia sahihi kisheria na inatambua umuhimu wa usawa kati ya wanaume na wanawake na inahimiza upendeleo maalum.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
NMB Mbele Kuhakikisha Upatikanaji wa Usawa kwa Wote
Tukiadhimisha ‘Siku ya Wanawake Duniani’, Benki ya NMB imekua katika mstari wa mbele kuunga mkono kauli mbiu ya Siku ya Wanawake Duniani #EachForEqual, ambayo inaangazia Usawa kwa Wote. Katika Maadhimisho yaliyofanyika kitaifa Wilayani Bariadi Mkoani Simiyu mapema leo, NMB imekua miongoni mwa wadhamini wakuu walionogesha maadhimisho hayo kwa kutoa shilingi Milioni 26 ambapo pesa taslimu ni milioni 5 pamoja na fulana zenye thamani ya shilingi Milioni 21.

Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu...

Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu...
11 years ago
Michuzi.jpg)
TAMWA WATOA ELIMU KWA WABUNGE WANAWAKE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA KUZINGATIA MASUALA YA USAWA WA KIJINSIA WAKATI WA UTUNZI WA KATIBA MPYA.
Na Tiganya Vincent-Dodoma
Mwenyekiti wa Wabunge Wanawake wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anna Abdallah ametoa wito kwa wajumbe wanawake wa Bunge Maalum la Katiba kufanya kazi kwa ushirikiano katika kuhakikisha kuwa wanaweka maslahi ya mwanamke mbele katika uandishi wa Katiba mpya na sio vinginevyo.
Mwenyekiti huyo ametoa kauli hiyo leo mjini Dodoma wakati anafungua semina ya siku moja ya wajumbe wanawake wa Bunge Maalum la Katiba iliyoandaliwa na Chama cha Waandishi wa...
11 years ago
Michuzi26 Jul
Wajumbe Bunge Maalum kupigania usawa na mgawanyo wa rasilimali



10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Vijimambo
11 years ago
Tanzania Daima30 Apr
Tunapima hoja kwa upendeleo wa kiitikadi?
MDHARAU mwiba, guu huota tende. Huu ni msemo maarufu wa Kiswahili. Lakini inaelekea “Waswahili” sisi hatuujui huu msemo au tumeamua kuudharau. Mambo ya msingi tunayafanya mepesi kama vile ni kucheza...
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Michuzi30 Sep
UPENDELEO WA KISHERIA KWA NYUMBA YA MAKAZI KABLA YA KUNADISHWA.
KUSOMA ZAIDI links goes to sheriayakub.blogspot.comNa Bashir Yakub. KISHERIA haizuiwi kuweka rehani nyumba ya makazi kwa ajili ya kupata mkopo kutoka taasisi yoyote ya fedha. Jambo la msingi sana ni kuwa watoa mkopo wajiridhishe na umiliki wa nyumba hiyo hasa kwa kuangalia ikiwa ni mali ya familia au hapana ili wachukue hadhari za kisheria.
Nyumba ya makazi ni ipi. Nyumba ya makazi ni ile nyumba ambayo inatumiwa na binadamu ...
Nyumba ya makazi ni ipi. Nyumba ya makazi ni ile nyumba ambayo inatumiwa na binadamu ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
11-May-2025 in Tanzania