Tunapima hoja kwa upendeleo wa kiitikadi?
MDHARAU mwiba, guu huota tende. Huu ni msemo maarufu wa Kiswahili. Lakini inaelekea “Waswahili” sisi hatuujui huu msemo au tumeamua kuudharau. Mambo ya msingi tunayafanya mepesi kama vile ni kucheza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili18 Mar
Upendeleo maalum,usawa kwa wote
Kenya iko katika njia sahihi kisheria na inatambua umuhimu wa usawa kati ya wanaume na wanawake na inahimiza upendeleo maalum.
9 years ago
Michuzi30 Sep
UPENDELEO WA KISHERIA KWA NYUMBA YA MAKAZI KABLA YA KUNADISHWA.
KUSOMA ZAIDI links goes to sheriayakub.blogspot.comNa Bashir Yakub. KISHERIA haizuiwi kuweka rehani nyumba ya makazi kwa ajili ya kupata mkopo kutoka taasisi yoyote ya fedha. Jambo la msingi sana ni kuwa watoa mkopo wajiridhishe na umiliki wa nyumba hiyo hasa kwa kuangalia ikiwa ni mali ya familia au hapana ili wachukue hadhari za kisheria.
Nyumba ya makazi ni ipi. Nyumba ya makazi ni ile nyumba ambayo inatumiwa na binadamu ...
Nyumba ya makazi ni ipi. Nyumba ya makazi ni ile nyumba ambayo inatumiwa na binadamu ...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cuK5_9QQ0Jo/VgqHVJbTkLI/AAAAAAAAT_4/nzf1b9h7muY/s72-c/abbas-kandoro10.jpg)
WASIMAMIZI NA WARATIBU WA UCHAGUZI MIKOA YA IRINGA MBEYA WATAKIWA KUJIEPUSHA NA UPENDELEO KWA WAGOMBEA
![](http://4.bp.blogspot.com/-cuK5_9QQ0Jo/VgqHVJbTkLI/AAAAAAAAT_4/nzf1b9h7muY/s640/abbas-kandoro10.jpg)
WITO umetolewa kwa Waratibu wa uchaguzi wa mikoa ,wasimamizi wa uchaguzi na wasimamizi wasaidizi pamoja na maafisa uchaguzi wa halmashauri mikoa ya kanda za juu kusini kuhakikisha wanafanya kazi zao kwa waledi na kwa uadilifu bila kuwa na upendeleo wa chama chochote cha siasa ua mgombea.
Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Ndugu Abbas Kandoro wakati akifungua mafunzo ya wasimamizi wa uchaguzi na...
10 years ago
Michuzi20 Aug
HOJA YA HAJA: BARUA YA WAZI KWA GAZETI LA MWANANCHI NA BWANA HUMPHREY POLEPOLE KUHUSU URAIA PACHA KWA WATANZANIA.
Naomba unipe nafasi nitoe maoni yangu kuhusu Uraia pacha nikijbu maoni yaliyoandikwa kwenye gazeti la mwananchi na bwana Humphrey Polepole. Maoni yake yamenishangaza sana na mtu huyu anaonekana ana hujuzi kidogo katika mambo ya uandishi na ameamua kutumua ujuzi wake kudanganya watu kuhusu swala hili la urahia pacha kwa watanzania.Napenda iheleweke kwamba urahia pacha sio kitu kigeni Tanzania. Kimsingi na kimazingira Tanzania inaruhusu urahia pacha.
1.kwa watanzania wote walio na wazazi wenye...
1.kwa watanzania wote walio na wazazi wenye...
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Wajumbe washindane kwa hoja — Mkosamali
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Felix Mkosamali, amewataka wajumbe kuhakikisha wanashindana kwa hoja badala ya kutumia muda mwingi kujadili mambo ya chama. Mkosamali alitoa kauli hiyo muda mfupi baada...
10 years ago
Michuzi29 Jun
HOJA YA HAJA TOKA KWA MDAU
Ankal pole na hongera kwa kazi nzuri ya kutupatia taarifa mbali mbali zinazo tuhusu watanzania, napenda kutumia nafasi hii kuomba serikali ya Mh Rais Kikwete iliyopewa dhamana na watanzania kuwaonea huruma watanzania kwakuwapunguzia mzigo mzito wa malipo ya kuingia kwenye maonesho ya SABASABA.
Nimeenda kwenye maonesho hayo lakini nilichoshuhudia jana nikwamba maonesho hayo yamewalenga wenye kipato cha juu tu na si watanzania wakawaida asilani, kwa sababu inashangaza sana kwa serikali...
Nimeenda kwenye maonesho hayo lakini nilichoshuhudia jana nikwamba maonesho hayo yamewalenga wenye kipato cha juu tu na si watanzania wakawaida asilani, kwa sababu inashangaza sana kwa serikali...
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Hoja ya Kingunge isijadiliwe kwa jazba
Mmoja wa wanasiasa wakongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru juzi alitoa kauli ambayo bahati mbaya imewakasirisha baadhi ya watu, ambao wanadai mwanasiasa huyo anatetea uvunjaji wa maadili na vitendo vya rushwa.
10 years ago
Mwananchi23 Jun
Mawaziri wajibu hoja kwa vijembe
Tambo, kejeli, vijembe na kampeni vilitawala bungeni mjini hapa jana wakati mawaziri wakijibu hoja za wabunge wa upinzani waliokosoa Hotuba ya Makadirio na Matumizi ya Serikali kwa mwaka 2015/16.
10 years ago
BBCSwahili15 Oct
Ulemavu sio hoja kwa shabiki Somalia
Ahmed Hassan Osman, ni mlemavu wa macho na anaishi mjini Mogadishu lakini kikubwa ni kwamba hapitwi na mechi ya soka.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania