Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunapima hoja kwa upendeleo wa kiitikadi?

MDHARAU mwiba, guu huota tende.  Huu ni msemo maarufu wa Kiswahili. Lakini inaelekea “Waswahili” sisi hatuujui huu msemo au tumeamua kuudharau. Mambo ya msingi tunayafanya mepesi kama vile ni kucheza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Upendeleo maalum,usawa kwa wote

Kenya iko katika njia sahihi kisheria na inatambua umuhimu wa usawa kati ya wanaume na wanawake na inahimiza upendeleo maalum.

 

9 years ago

Michuzi

UPENDELEO WA KISHERIA KWA NYUMBA YA MAKAZI KABLA YA KUNADISHWA.

KUSOMA  ZAIDI  links  goes  to  sheriayakub.blogspot.comNa  Bashir  Yakub.

KISHERIA  haizuiwi  kuweka  rehani  nyumba  ya  makazi  kwa  ajili  ya  kupata  mkopo  kutoka  taasisi  yoyote  ya  fedha. Jambo la msingi  sana  ni  kuwa  watoa  mkopo   wajiridhishe   na  umiliki  wa  nyumba  hiyo  hasa  kwa  kuangalia ikiwa  ni  mali  ya  familia  au  hapana ili wachukue  hadhari  za  kisheria.


Nyumba  ya  makazi  ni  ipi.  Nyumba  ya  makazi  ni  ile  nyumba  ambayo  inatumiwa  na  binadamu ...

 

9 years ago

Michuzi

WASIMAMIZI NA WARATIBU WA UCHAGUZI MIKOA YA IRINGA MBEYA WATAKIWA KUJIEPUSHA NA UPENDELEO KWA WAGOMBEA

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro (PICHA MAKTABA)Na Kahema Emanuel,Mbeya
WITO umetolewa kwa Waratibu  wa uchaguzi wa mikoa ,wasimamizi  wa uchaguzi na wasimamizi wasaidizi pamoja na maafisa uchaguzi wa halmashauri mikoa ya kanda za juu kusini  kuhakikisha wanafanya kazi zao kwa waledi na kwa uadilifu bila kuwa na upendeleo wa chama chochote cha siasa ua mgombea.

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Ndugu Abbas Kandoro wakati akifungua mafunzo ya wasimamizi wa uchaguzi na...

 

10 years ago

Michuzi

HOJA YA HAJA: BARUA YA WAZI KWA GAZETI LA MWANANCHI NA BWANA HUMPHREY POLEPOLE KUHUSU URAIA PACHA KWA WATANZANIA.

Naomba unipe nafasi nitoe maoni yangu kuhusu Uraia pacha nikijbu maoni yaliyoandikwa kwenye gazeti la mwananchi na bwana Humphrey Polepole. Maoni yake yamenishangaza sana na mtu huyu anaonekana ana hujuzi kidogo katika mambo ya uandishi na ameamua kutumua ujuzi wake kudanganya watu kuhusu swala hili la urahia pacha kwa watanzania.

Napenda iheleweke kwamba urahia pacha sio kitu kigeni Tanzania. Kimsingi na kimazingira Tanzania inaruhusu urahia pacha. 
1.kwa watanzania wote walio na wazazi wenye...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wajumbe washindane kwa hoja — Mkosamali

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Felix Mkosamali, amewataka wajumbe kuhakikisha wanashindana kwa hoja badala ya kutumia muda mwingi kujadili mambo ya chama. Mkosamali alitoa kauli hiyo muda mfupi baada...

 

10 years ago

Michuzi

HOJA YA HAJA TOKA KWA MDAU

Ankal pole na hongera kwa kazi nzuri ya kutupatia taarifa mbali mbali zinazo tuhusu watanzania, napenda kutumia nafasi hii kuomba serikali ya Mh Rais Kikwete iliyopewa dhamana na watanzania kuwaonea huruma watanzania kwakuwapunguzia mzigo mzito wa malipo ya kuingia kwenye maonesho ya SABASABA. 
Nimeenda kwenye maonesho hayo lakini nilichoshuhudia jana nikwamba maonesho hayo yamewalenga wenye kipato cha juu tu na si watanzania wakawaida asilani, kwa sababu inashangaza sana kwa serikali...

 

10 years ago

Mwananchi

Hoja ya Kingunge isijadiliwe kwa jazba

Mmoja wa wanasiasa wakongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru juzi alitoa kauli ambayo bahati mbaya imewakasirisha baadhi ya watu, ambao wanadai mwanasiasa huyo anatetea uvunjaji wa maadili na vitendo vya rushwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Mawaziri wajibu hoja kwa vijembe

Tambo, kejeli, vijembe na kampeni vilitawala bungeni mjini hapa jana wakati mawaziri wakijibu hoja za wabunge wa upinzani waliokosoa Hotuba ya Makadirio na Matumizi ya Serikali kwa mwaka 2015/16.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ulemavu sio hoja kwa shabiki Somalia

Ahmed Hassan Osman, ni mlemavu wa macho na anaishi mjini Mogadishu lakini kikubwa ni kwamba hapitwi na mechi ya soka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani