Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ulemavu sio hoja kwa shabiki Somalia

Ahmed Hassan Osman, ni mlemavu wa macho na anaishi mjini Mogadishu lakini kikubwa ni kwamba hapitwi na mechi ya soka.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Hoseah: Chagueni kwa ushawishi wa hoja sio fedha

MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU), Dk Edward Hoseah amewatahadharisha wananchi kuwachagua viongozi bora na waadilifu ambao wana ushawishi wa hoja na sio ushawishi wa fedha.

 

5 years ago

Michuzi

MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI JAMES MBATIA AWATAKA WANASIASA KUSHINDANA KWA HOJA SIO KULUMBANA

* Kauli ya Rais Magufuli ya Uchaguzi mkuu  kuwa huru na haki yawafurahisha vyama vya siasa
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya Jamii

MWENYEKITI wa Chama cha NCCR-Mageuzi James Mbatia amesema kuwa Rais Dk.John Magufuli amewathibitishia vyama vya upinzani nchini Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu unaotarajia kufanyika Oktoba utakuwa wa huru na haki.

Mbatia ameyasema hayo leo Ikulu jijini Dar es Salaam baada ya kukutana na kufanya mazungumzo na Rais Dk.John Magufuli ambapo katika mazungumzo yao moja ya...

 

11 years ago

Michuzi

Hoja ya haja: Viongozi wa Siasa tupatieni katiba ya watu wote sio ya vyama

Mheshimiwa michuzi tunashukulu sana kwa kazi yako ya kutujulisha yanayoendelea TANZANIA leo naomba unipe nafasi niweke ya moyoni mwangu na maoni yangu kuhusu huu mstakabali wa kupata katiba ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania mengi yamekuwa yakisemwa sana kuhusu hii katiba au ni muundo ghani wa muungano tunaoutaka,watu wengi na wana siasa wamesahu kwamba muungano huu na katiba hii ya zamani ndio umetufanya tuwe na undungu  na pia tuwe na amani mpaka hapa tulipo watu wengine...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu Atoa fundisho Kwa Shabiki…

Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa juzikati aliamua kumjibu shabiki mmoja mtandaoni kutokana na kuwepo kwa watu wengi wanaomsema vibaya mitandaoni.

Akizungumza na mwanahabari wa GPL mara baada ya kumjibu shabiki Gladmarry Edwine aliyemkejeli kupitia mtandao wa Instagram kuwa ikifika siku ya Kanumba Day (Aprili 7, mwaka huu), Lulu atajiliza ndipo staa huyo alipomtolea uvivu iwe fundisho.

“Yule alinikuta siku hiyo siko vizuri halafu niko Instagram...

 

10 years ago

Michuzi

HABARI NJEMA kwa kila shabiki wa PROFESSOR JAY.

Naomba kutumia fursa hii kuitambulisha kwenu rasmi official website yangu ambayo ni http://www.profesajay.comKwa habari zangu za uhakika, kuhusu MUZIKI, VIDEOS, SHOWS, INTERVIEWS, PHOTOS na kila kinachonihusu... Kuwa wa kwanza kupata taarifa zangu, Asanteni sana kwa kunisupport siku zote!! LOVE..

 

10 years ago

Vijimambo

Master J asema sio haki kwa msanii kurekodi wimbo kwa laki 2 na kushoot video South kwa milioni 25

Mtayarishaji mkongwe wa muziki nchini, Master J amekuwa mstari wa mbele kupaza sauti kuhusiana na kutokuwepo kwa usawa kati ya watayarishaji wa muziki na wasanii nchini.Master J ameiambia Bongo5 kuwa kuna watayarishaji ameshaona wanakosa moyo wa kufanya kazi kutokana hali hiyo.“Tanzania maprodyuza ni maskini, eti wasanii wana hela kuliko producers hii ni industry gani,” amehoji Master J. “Kwa sababu hapa hizi sheria zilizopo hazimlindi producer ndo maana anadharaulika. Huyo huyo msanii yupo...

 

9 years ago

Bongo5

Cristiano Ronaldo aonesha mapenzi kwa shabiki aliyevamia uwanjani na kumkumbatia

Mchezaji wa klabu ya Real Madrid, Cristiano Ronaldo akiwa kwenye mechi ya ligi ya mabingwa wa Ulaya dhidi ya PSG iliyochezwa jijini Paris, Ufaransa ameonesha mapenzi ya juu kwa shabiki aliyevamia uwanjani. Shabiki huyo alivamia uwanjani wakati Madrid ikipambana na PSG na alipomfikia Ronaldo, alimpokea na kumkumbatia. Hata wakati walinzi wa uwanjani wanaingia ili kumtoa, […]

 

10 years ago

Michuzi

CRDB Lumumba, Yaadhimisha Siku ya Huduma kwa Wateja Kwa Kuwakumbuka Wenye Ulemavu

CRDB Bank Tawi la Lumumba, Yaadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja, kwa Kutembelea Kituo cha Watoto wenye ulemavu cha Jeshi la Wokovu, Kurasini jijini Dar es Salaam..  Huku wakiongozwa na Mkurugenzi wa CRDB Tawi la Lumumba, John Almasi, wafanyakazi hao, walijumuika na watoto hao, kwa kuwapa zawadi mbalimbali, na kushiriki kutoa huduma mbalimbali shuleni hapo.  Akizungumzia siku hiyo, Mkurugenzi wa CRDB, Tawi la Lumumba, John Almasi, amesema wameamua kuwakumbuka watu wenye uhitaji, kwa vile...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani