Lulu Atoa fundisho Kwa Shabiki…
Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa juzikati aliamua kumjibu shabiki mmoja mtandaoni kutokana na kuwepo kwa watu wengi wanaomsema vibaya mitandaoni.
Akizungumza na mwanahabari wa GPL mara baada ya kumjibu shabiki Gladmarry Edwine aliyemkejeli kupitia mtandao wa Instagram kuwa ikifika siku ya Kanumba Day (Aprili 7, mwaka huu), Lulu atajiliza ndipo staa huyo alipomtolea uvivu iwe fundisho.
“Yule alinikuta siku hiyo siko vizuri halafu niko Instagram...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wjLHhX7eljwapr8QEMbM19*5tBYXl8ffOaUDEbd7bSPUFe1gbC43iuZlnsSlcKRYZopn1KIjJDtJYQj31CwIPvZ9JnaDhtBr/lulucopy.jpg?width=650)
LULU: NILIMTOLEA UVIVU SHABIKI IWE FUNDISHO
9 years ago
Bongo Movies02 Jan
Maneno ya Lulu kwa Mama Yake ni Fundisho Tosha
Mwigizaji Lulu ameandika haya jana kwenye ukurasa wake mtandaoni, ikiwa ni siku ya kuzaliwa ya mama yake mzazi.
The pic Says all…!
Umenifundisha kujua thamani ya Mama Duniani,Umenifundisha urafiki wa kweli uko vipi,undugu WA kweli uko vipi.
Pale ambapo wote walikimbia,walikuwa kinyume Na Mimi Wewe Ndo ulisimama .
Naweza kuandika maneno Milioni lkn kiukweli hakuna namna ninayoweza kukuelezea na watu wakapata picha halisi ya ulivyo
Una mapungufu yako..Ndio sikatai .
Una mabaya yako…Ndio maana...
11 years ago
Bongo510 Jul
Wewe ni shabiki wa professor Jay? Atoa mwaliko kwa anayetaka kutokea kwenye video ya ‘Kipi Sijasikia’ Jumamosi hii (July 12)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HbsRLQ*GNXZSqPdLwpIGbnuv9Z9TOC*JjRKf43igJYq-0ixT914il58lkEhuNpOTbTPAZiXgyKXGY2Q-mG6D-6vbyrkPiczN/lulu.jpg)
LULU ATOA JIBU KWA MKONGO
10 years ago
Bongo Movies01 Jan
LULU:Mbali ya Kunizaa Kwa Uchungu, Ulizibeba Aibu Zangu...Ujumbe wa Lulu kwa Mama yake
“Huwezi kuamini Ilinibidi nianze kuandika hii risala 3day before ur birthday (mana Sio caption tena)
Kwanza nashukuru kwa MAPENZI na heshima uliyonipa kwa kuniweka tumboni kwako miezi 9,kunizaa kwa uchungu na kunilea kiroho,kiakili na ki mwili pia...Namshukuru Mungu kwa kunipa ww kama Mzazi WANGU na ninajivunia hilo sana..!
Kuna wakati nakukosea na kukuumiza Lkn kiukweli huwa naumia na kujuta sana baada Ya kujua kosa langu.
Licha Ya uchungu uliopata kwa kunizaa na kunilea upo wakati...
10 years ago
Bongo Movies01 Jan
LULU:Mbali ya Kunizaa Kwa Uchungu, Ulizibeba Aibu Zangu...Ujumbe Mzito wa Lulu kwa Mama Yake
“Huwezi kuamini Ilinibidi nianze kuandika hii risala 3day before ur birthday (mana Sio caption tena)
Kwanza nashukuru kwa MAPENZI na heshima uliyonipa kwa kuniweka tumboni kwako miezi 9,kunizaa kwa uchungu na kunilea kiroho,kiakili na ki mwili pia...Namshukuru Mungu kwa kunipa ww kama Mzazi WANGU na ninajivunia hilo sana..!
Kuna wakati nakukosea na kukuumiza Lkn kiukweli huwa naumia na kujuta sana baada Ya kujua kosa langu.
Licha Ya uchungu uliopata kwa kunizaa na kunilea upo wakati...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyVecswrnmJdqeup-CTGg448SCMbMLBRSut1abFnp72FpWX9M9NpBhgq0kqNNI1KhCGLja7*6n*s6aAEPIRSgbXJ/cheatinghusband.jpg?width=650)
FUNDISHO KWA WANAOCHATI, KUWASILIANA NA MICHEPUKO KWA SIRI!
11 years ago
Tanzania Daima23 Mar
Kalenga ni fundisho jingine kwa CHADEMA
NI mara ya tatu sasa nakiasa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuangalia pale kilipojikwaa badala ya kuangalia kilipoangukia. Kitakapoangalia pale kilipojikwaa kitaepuka kuanguka tena pindi kitakapopita njia ile. Aprili...
9 years ago
Bongo Movies05 Jan
Lulu Akanusha Kutoka na Tekno, Atoa Maelezo ya Kina
Elizabeth ‘Lulu’ Michael amelazimika kuandika maelezo marefu kukanusha tetesi zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii kuwa alivunja amri ya sita na hitmaker wa Duro, Tekno aliyekuwepo Dar siku ya mwaka mpya.
Haya ni maelezo yake aliyoandika kwenye Instagram:
Okay…naona watu Mnatafutaga Topic Na mkipata picha story mnatungaga mnazozijua NI hivi….naomba heshima Na busara vitumike Nilikutana Na Tekno Kwenye show yake Na alikuja kunisalimia kwenye meza Yangu,picha zote zilizopigwa Na yeye au mtu...