LULU ATOA JIBU KWA MKONGO
![](http://api.ning.com:80/files/HbsRLQ*GNXZSqPdLwpIGbnuv9Z9TOC*JjRKf43igJYq-0ixT914il58lkEhuNpOTbTPAZiXgyKXGY2Q-mG6D-6vbyrkPiczN/lulu.jpg)
Na waandishi wetu SiKU chache baada pedeshee Mkongo, Mwami Rajabu kutangaza kuwa anamtaka staa wa sinema Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ kwa gharama yoyote, mwigizaji huyo ametoa jibu linaloonesha dhahiri kwamba alikuwa radhi kumkubalia. Staa wa sinema Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ Akizungumza na waandishi wetu mara baada ya habari ya Mkongo huyo kuandikwa gazetini hivi karibuni, Lulu alisema...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eOkD9SMZvVrXYvejWx2BHlV2hbEIBzX7BWc9S8IJpZQ6-6pg4OyIHljg2D2C*DQP0ojrl-Zn92pZzymHVpacQib7v8bOikUI/mwami.jpg)
MKONGO WA WOLPER, HUSNA: NAMTAKA LULU KWA GHARAMA YOYOTE!
10 years ago
Bongo Movies06 Apr
Lulu Atoa fundisho Kwa Shabiki…
Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa juzikati aliamua kumjibu shabiki mmoja mtandaoni kutokana na kuwepo kwa watu wengi wanaomsema vibaya mitandaoni.
Akizungumza na mwanahabari wa GPL mara baada ya kumjibu shabiki Gladmarry Edwine aliyemkejeli kupitia mtandao wa Instagram kuwa ikifika siku ya Kanumba Day (Aprili 7, mwaka huu), Lulu atajiliza ndipo staa huyo alipomtolea uvivu iwe fundisho.
“Yule alinikuta siku hiyo siko vizuri halafu niko Instagram...
10 years ago
Bongo523 Jan
Idris Sultan atoa jibu kuhusu mjengo wake mpya kama amenunua au amepewa
10 years ago
Bongo Movies01 Jan
LULU:Mbali ya Kunizaa Kwa Uchungu, Ulizibeba Aibu Zangu...Ujumbe wa Lulu kwa Mama yake
“Huwezi kuamini Ilinibidi nianze kuandika hii risala 3day before ur birthday (mana Sio caption tena)
Kwanza nashukuru kwa MAPENZI na heshima uliyonipa kwa kuniweka tumboni kwako miezi 9,kunizaa kwa uchungu na kunilea kiroho,kiakili na ki mwili pia...Namshukuru Mungu kwa kunipa ww kama Mzazi WANGU na ninajivunia hilo sana..!
Kuna wakati nakukosea na kukuumiza Lkn kiukweli huwa naumia na kujuta sana baada Ya kujua kosa langu.
Licha Ya uchungu uliopata kwa kunizaa na kunilea upo wakati...
10 years ago
Bongo Movies01 Jan
LULU:Mbali ya Kunizaa Kwa Uchungu, Ulizibeba Aibu Zangu...Ujumbe Mzito wa Lulu kwa Mama Yake
“Huwezi kuamini Ilinibidi nianze kuandika hii risala 3day before ur birthday (mana Sio caption tena)
Kwanza nashukuru kwa MAPENZI na heshima uliyonipa kwa kuniweka tumboni kwako miezi 9,kunizaa kwa uchungu na kunilea kiroho,kiakili na ki mwili pia...Namshukuru Mungu kwa kunipa ww kama Mzazi WANGU na ninajivunia hilo sana..!
Kuna wakati nakukosea na kukuumiza Lkn kiukweli huwa naumia na kujuta sana baada Ya kujua kosa langu.
Licha Ya uchungu uliopata kwa kunizaa na kunilea upo wakati...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar03 Oct
Jibu kwa Kinana juu ya makala yake kwa gazeti la The Hill
Tanzania cannot be allowed to be the new front for state-led Islamophobia Posted on October 2, 2015 by Nathalie Arnold Koenings The ruling CCM party has a record of dismissing opposition in Zanzibar as “Islamist”. With […]
The post Jibu kwa Kinana juu ya makala yake kwa gazeti la The Hill appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Bongo Movies05 Jan
Lulu Akanusha Kutoka na Tekno, Atoa Maelezo ya Kina
Elizabeth ‘Lulu’ Michael amelazimika kuandika maelezo marefu kukanusha tetesi zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii kuwa alivunja amri ya sita na hitmaker wa Duro, Tekno aliyekuwepo Dar siku ya mwaka mpya.
Haya ni maelezo yake aliyoandika kwenye Instagram:
Okay…naona watu Mnatafutaga Topic Na mkipata picha story mnatungaga mnazozijua NI hivi….naomba heshima Na busara vitumike Nilikutana Na Tekno Kwenye show yake Na alikuja kunisalimia kwenye meza Yangu,picha zote zilizopigwa Na yeye au mtu...
9 years ago
Bongo505 Jan
Lulu akanusha kula uroda na Tekno, atoa maelezo ya kina
![10661050_464736387045632_291073524_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/10661050_464736387045632_291073524_n-300x194.jpg)
Elizabeth ‘Lulu’ Michael amelazimika kuandika maelezo marefu kukanusha tetesi zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii kuwa alivunja amri ya sita na hitmaker wa Duro, Tekno aliyekuwepo Dar siku ya mwaka mpya.
Haya ni maelezo yake aliyoandika kwenye Instagram:
Okay…naona watu Mnatafutaga Topic Na mkipata picha story mnatungaga mnazozijua NI hivi….naomba heshima Na busara vitumike Nilikutana Na Tekno Kwenye show yake Na alikuja kunisalimia kwenye meza Yangu,picha zote zilizopigwa Na yeye au mtu...
9 years ago
Bongo502 Sep
Lulu atoa sababu kwanini hafungamani na chama cha siasa