Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jibu kwa Kinana juu ya makala yake kwa gazeti la The Hill

Tanzania cannot be allowed to be the new front for state-led Islamophobia Posted on October 2, 2015 by Nathalie Arnold Koenings The ruling CCM party has a record of dismissing opposition in Zanzibar as “Islamist”. With […]

The post Jibu kwa Kinana juu ya makala yake kwa gazeti la The Hill appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

WAHANDISI TANESCO WATEMBELEA KIWANDA CHA SAO HILL KWA MAFUNZO KWA VITENDO JUU UKAGUZI WA UBORA WA NGUZO

Wahandisi wa Shirika la Umeme nchini (TANESCO) wanaonolewa katika kutambua nguzo bora za kusambazia umeme wameanza mafunzo ya vitendo ya ukaguzi na utambuzi wa nguzo bora na salama katika baadhi ya viwanda vya kuzalishia nguzo hizo mkoani Iringa. 
Ziara ya wahandisi hao wa TANESCO inalenga katika kuwawezesha katika kukabiliana na matumizi ya nguzo zisizo na ubora na ili kuongeza ufanisi na usalama katika zoezi la kusambaza umeme nchini.
Wahandisi hao wamepata fursa ya kutembela kiwanda cha Sao...

 

10 years ago

GPL

KINANA ATOA MAONI YAKE KWA WAANDISHI JUU YA MUUNGANO WA SCOTLAND

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akitoa maoni yake juu ya kile kilichotokea Scotland kwa waandishi wa habari alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Mtongani.

 

11 years ago

Dewji Blog

Kiasi cha zaidi ya shilingi Bilioni 128 zatolewa kwa ajili ya ujenzi wa barabara za juu kwa juu na Umeme

2

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) na Balozi wa Japan nchini Masaki Okada (kulia) wakisaini hati ya makubaliano ya mikataba miwili ya ujenzi wa barabara za juu kwa juu katika makutano ya TAZARA na usambazaji umeme jijini Dar es salaam leo zenye thamani ya zaidi ya bilioni 128.

1

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) na Balozi wa Japan nchini Masaki Okada (kulia) wakibadilishana hati ya makubaliano ya mikataba miwili ya ujenzi wa...

 

11 years ago

Michuzi

KINANA AMALIZA ZIARA YAKE MKOANI TABORA,ALA CHAKULA CHA MAMALISHE KUWAUNGA MKONO,AHITIMISHA ZIARA YAKE KWA MKUTANO MKUBWA WA HADHARA/

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Uwanja wa Stendi Kuu ya Zamani mjini Tabora, baada ya kumaliza ziara yake ya siku 11 katika mkoa huo, ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua, kuhimiza na kusukuma miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata  Ilani ya CCM, kukagua maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi Wakazi wa Mji wa Tabora Mjini  wakiwa wamejitokeza kwa wingi kwenye...

 

10 years ago

Vijimambo

kinana-ahitimisha-ziara-yake-kwa.html

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndg Abdulrahaman Omar Kinana akiwahutubia Wananchi wa Wilaya ya Kaskazini A katika viwanja vya Nungwi baada ya kumaliza ziara yake katika Wilaya hiyo kuimarisha Chama na kuangalia Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi kwa Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja.Katibu Mkuu Ndg Kinana akisisitija jambo wakati akiwahutubia Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja katika viwanja vya Mpira Nungwi baada ya kumaliza ziara yake katika Wilaya ya Kaskazini A Unguja Wananchi wa...

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA : CCM HAIWEZI KULAUMIWA KWA MAKOSA YASIYO YAKE


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara baada ya kupokea taarifa za chama na serikali juu ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2010
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kupasua mawe wakati wa ujenzi wa mradi wa maji Sengenya
 Ujenzi wa mradi wa maji wa Sengenya ukiwa unaendelea ambapo ukikamilika utasaidia vijiji vitatu wilayani Nanyumbu mkoa wa Mtwara.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Nick Cannon aifunika Tattoo ya Mariah Carey kwa kuchora nyingine juu yake

Nick Cannon aliwahi kuchora Tattoo yenye jina la mke wake ‘Mariah’ mgongoni mwake miaka kadhaa iliyopita, ikiwa ni moja ya ishara ya mapenzi moto moto. Baada ya ndoa yao kuingia dosari na kutengana hivi karibuni, Nick Jumapili iliyopita akiwa anatoka gym kifua wazi ameonekana akiwa amechora Tattoo nyingine kubwa zaidi mgongoni, na kuiziba ile ya […]

 

10 years ago

GPL

LULU ATOA JIBU KWA MKONGO

Na waandishi wetu SiKU chache baada pedeshee Mkongo, Mwami Rajabu kutangaza kuwa anamtaka staa wa sinema Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ kwa gharama yoyote, mwigizaji huyo ametoa jibu linaloonesha dhahiri kwamba alikuwa radhi kumkubalia. Staa wa sinema Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ Akizungumza na waandishi wetu mara baada ya habari ya Mkongo huyo kuandikwa gazetini hivi karibuni, Lulu alisema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani